Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LULU: Bata la Watu Wa Bukoba Ni Noumer…Naendelea Kuoga Hela

Mwigizaji wa filamu,mrembo na mwenye mvuto wa kufanya wengi wapagawe, Elizabeth Michael aka Lulu ambae kwasasa yupo Mjini Bukoba kwa mapumziko mafupi. Akiwa katika viwanja vya kula bata mjini hapo Lulu hakusita kuwasifia watu wa kabira la Wahaya kwa njinsi alivyo furahia GOOD TIME alilopewa na kumfanya afunguke mwenyewe kwenye mitandao ya kijamii

 “Wahaya noma......
Hili Bata la Watu wa Bukoba ni Noumer...! likizo isiishe jamani”

Haikuishiahapo, alitupia picha nyingi mtandaoni akiwa...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

LULU AWATIKISA MAPEDESHEE BUKOBA

Stori:Hamida Hassan
Staa wa Filamu za Kibongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ hivi karibuni alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya mapedeshee wa Bukoba kumganda na kumzonga huku kila mmoja akitaka namba yake ya simu. Staa wa Filamu za Kibongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ akisherehesha. Lulu aliongozana na wasanii wengine akiwemo Kulwa Kikumba ‘Dude’ kwenye uzinduzi wa hoteli iitwayo Nalfin...

 

9 years ago

Mwananchi

Yanayosababisha mwili kuwasha baada ya kuoga

Katika hali ya kawaida, kitendo cha kuoga kinapaswa kutazamwa kama jambo la kufurahisha kutokana na ukweli kwamba kuoga huufanya mwili uburudike na kuwa safi.

 

10 years ago

Vijimambo

PELE NAENDELEA VIZURI

Mchezaji wa zamani wa timu ya Brazil Pele anendelea kupata afueni lakini bado amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi akiwa na maambukizi ya eneo la kupitisha mkojo mapema wiki hii.

Habari hizo zinajiri baada ya gwiji huyo wa soka kusema katika mtandao wa twitter kwamba anaendelea kupata afueni katika hospitali moja ya Albert Einstein iliopo mjini Sao Paulo.

Hatahivyo msaidizi wa mzee huyo mwenye umri wa miaka 74, Jose Fornos alipuuzia habari hizo.Lakini hospitali hiyo imesema kuwa Pele...

 

10 years ago

Bongo Movies

Riyama:Naendelea Vizuri

Alhamdulilah sijambo kiasi na mshukuru MUNGU NINA MALARIA WADUDU WAWILI na tumbo la chango chamoto nimekiona kwa muda mfupi tu waungwana wangu mwenye dawa nzuri ya tumbo la chango tusaidiane dah nimebebwa wallah nguvu zote kwisha asante sana kwa familia yangu na kwa mume Wangu mtarajiwa @leomysteriotz pia shukran kwa Mikumihospital Mungu awajazekheri ishalah Amin duwa zenu vipenzi vyangu

Riyama Ally on instagram

 

10 years ago

Bongo Movies

Anti Lulu Awatishia Wake za Watu

Staa wa Bongo Movies na mtangazaji mwenye vituko vingi na kujiachia kwa sana amekuja na mpya nyingine ya kuwakanya wanaomtukana katika mitandao ya kijamii kila anapoweka picha zake. Anti Lulu amesema asilimia kubwa ya watu wanamtukana anapoweka picha zinamuonesha maumbile yake wanawake.

"Asilimia kubwa ya wanawake ndio wanaongoza kuniyukana nikiweka picha zangu za Mungu alivoniumba ..mapaja yangu,hips zangu ma**ko yangu...sasa sijui kwanini mwatukana nyie wanawake angalieni nisiwabebee...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Baby Boy Ft Mr Blue – Naendelea

Baby Boy

Msanii Baby Boy baada ya kuwa kimya kwa mda ameachia wimbo mpya unaitwa “Naendelea”, Amemshirikisha Mr Blue. Studio Kiri Records.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Awaacha Watu Njia Panda…..Je ni Kweli Mjamzito?

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewacha njia panda  mashabiki na wafuasi wake kwenye mtandao wa INSTAGARM baada ya hapo jana usiku kubadika picha ya mwanamke mwenye ujauto na kuandika maneno ambayo hayaelezi wazi kuwa ni yeye.

“Happy New Month Lovies….Si ruksa kuitana wala ku munch”-Lulu aliandika.

Kitendo cha Lulu kuchimba mkwala akiwata watu wasiitane  kuja kuona wala kufanya kijiwe cha  kujadiliana juu ya picha hiyo (Kama inavyoonekana hapo juu) ndio kuliamsha...

 

11 years ago

GPL

MZEE MAJUTO, LULU, MILLARD AYO WANG’ARA TUZO ZA WATU

Baadhi ya mastaa wote waliyojipatia tuzo wakiwa kwenye pozi la pamoja muda mfupi baada ya zoezi la utoaji tuzo kukamilika.
Miss Tanzania 2004, Faraja Kota (kulia), akimkabidhi tuzo ya Msanii Bora wa Filamu Anayependwa, Mzee Majuto.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani