Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanayosababisha mwili kuwasha baada ya kuoga

Katika hali ya kawaida, kitendo cha kuoga kinapaswa kutazamwa kama jambo la kufurahisha kutokana na ukweli kwamba kuoga huufanya mwili uburudike na kuwa safi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

LULU: Bata la Watu Wa Bukoba Ni Noumer…Naendelea Kuoga Hela

Mwigizaji wa filamu,mrembo na mwenye mvuto wa kufanya wengi wapagawe, Elizabeth Michael aka Lulu ambae kwasasa yupo Mjini Bukoba kwa mapumziko mafupi. Akiwa katika viwanja vya kula bata mjini hapo Lulu hakusita kuwasifia watu wa kabira la Wahaya kwa njinsi alivyo furahia GOOD TIME alilopewa na kumfanya afunguke mwenyewe kwenye mitandao ya kijamii

 “Wahaya noma......
Hili Bata la Watu wa Bukoba ni Noumer...! likizo isiishe jamani”

Haikuishiahapo, alitupia picha nyingi mtandaoni akiwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Yanayosababisha mdomo kutoa harufu mbaya

Katika maisha ya kila siku inawezekana umewahi kukutana na mtu ambaye ukiwa karibu naye kimazungumzo, utagundua anatoa harufu mbaya mdomoni.

 

10 years ago

GPL

MAGONJWA YA ZINAA YANAYOSABABISHA KUZIBA KWA MRIJA WA MKOJO-2

Dalili, mtu mwenye tatizo hili anaweza kuwa na dalili zifuatazo, kwa mwanaume hutokwa na manii zilizochanganyika na damu, kukojoa mkojo mweusi au uliochanganyika na damu, kutoa mkojo kidogo sana tena kwa shida, kukojoa mara kwa mara na kushindwa kumaliza mkojo wote. Wengine huona dalili za mkojo kujitokea wenyewe, hivyo mhusika kujikojolea, kusikia maumivu wakati wa kukojoa au chini ya tumbo au kwenye kinena, mkojo kutawanyika...

 

9 years ago

Bongo5

Ray C aurejesha mwili wake wa ‘kiuno bila mfupa’ baada ya kupungua kg 30 (Picha)

Ray C amefanikiwa kuurudisha mwili wake wa zamani ambao ulikuwa ni moja ya silaha zake awapo jukwaani, kutokana na wepesi wa kukizungusha kiuno chake kilichosababisha a.k.a ya ‘Kiuno bila mfupa’ kuanza kutumika. Jinsi Ray C alivyokuwa kabla ya kupungua Toka Ray C ambaye jina lake halisi ni Rehema Chalamila aingie kwenye matatizo ya matumizi ya […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Ghadhabu Afrika kusini baada ya mwili wa mwanamke kupatikana ukining'inia kwenye mti

Tshegofatso Pule alitoweka kwa siku nne kabla ya mwili wake kupatikana.

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Missy Elliott auonesha mwonekano wake wa sasa baada ya mwili wake kupungua sanaaa!

Rapper Missy Elliot ameshare picha ya muonekano wa mwili wake ulivyo hivi sasa, baada ya kupungua kwa kiasi kikubwa sana hadi unaweza usimtambue kwa haraka. Mwonekano wa sasa wa Missy Elliott Katika picha hiyo aliyoipost Instagram aliandika “Just got off stage thanks @ALEXANDERWANGNY and @hmusa for having me perform I enjoyed.” Muonekano wa 1998 Elliot […]

 

10 years ago

Mwananchi

Majirani kuwasha moto leo

Mashabiki wa soka England, Hispania au hata Afrika Mashariki zinakopendwa timu hizo leo watatuliza kiu zao kwa kuona mechi kali baina ya majirani, maarufu derby.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Keke kuwasha moto Tamasha la Pasaka

MWIMBAJI wa Injili kutoka Afrika Kusini Kekeletso Phoofolo ‘Keke,’ amewasili jana tayari kwa tamasha la Pasaka linalotarajiwa kutimua vumbi leo katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Akizungumza mara...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajumbe Tume ya Katiba kuwasha moto

WAJUMBE wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Humphrey Polepole na Awadhi Ali, leo wanatarajiwa kuwasha moto katika mdahalo wa wazi kuhusu changamoto za mchakato wa katiba mpya utakaofanyika Ukumbi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani