Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ray C aurejesha mwili wake wa ‘kiuno bila mfupa’ baada ya kupungua kg 30 (Picha)

Ray C amefanikiwa kuurudisha mwili wake wa zamani ambao ulikuwa ni moja ya silaha zake awapo jukwaani, kutokana na wepesi wa kukizungusha kiuno chake kilichosababisha a.k.a ya ‘Kiuno bila mfupa’ kuanza kutumika. Jinsi Ray C alivyokuwa kabla ya kupungua Toka Ray C ambaye jina lake halisi ni Rehema Chalamila aingie kwenye matatizo ya matumizi ya […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ray C wa kiuno bila mfupa abadilika

Mwanamuziki wa siku nyingi, Ray C ametangaza kuwa atatoka mwezi huu, lakini akiwajulisha mashabiki wake kuwa safari hii ataweka nguvu zaidi kwenye uimbaji badala ya unenguaji, ambao ulimpa umaarufu.

 

9 years ago

Bongo5

Ray C akirejesha kiuno chake kisicho na mfupa? (Picha)

Huenda jitihada za Ray C kukirejesha kiuno chake kisichokuwa na mfupa zimeanza kuzaa matunda! Kwa muda mrefu muimbaji huyo amekuwa akijaribu kuupunguza unene wake uliompoteza muonekano wake wa zamani uliompa sifa jukwaani na sasa picha zake mpya zinaonesha mafanikio. Muimbaji huyo ambaye jina lake halisi ni Rehema Chalamila, ameshare picha zake mpya kuonesha hatua aliyofikia. […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Missy Elliott auonesha mwonekano wake wa sasa baada ya mwili wake kupungua sanaaa!

Rapper Missy Elliot ameshare picha ya muonekano wa mwili wake ulivyo hivi sasa, baada ya kupungua kwa kiasi kikubwa sana hadi unaweza usimtambue kwa haraka. Mwonekano wa sasa wa Missy Elliott Katika picha hiyo aliyoipost Instagram aliandika “Just got off stage thanks @ALEXANDERWANGNY and @hmusa for having me perform I enjoyed.” Muonekano wa 1998 Elliot […]

 

10 years ago

Bongo5

Ray C: Nimenenepa lakini kiuno bila mfupa kiko pale pale!

Rehema Chalamila aka Ray C amewatoa hofu mashabiki wa muziki wake, kuwa unene wake haujakiathiri kiuno chake bila mfupa bali kimemwongezea uwezo wa kukatika kuliko zamani! Ray C ambaye alitamba na nyimbo kama ‘Sikuhitaji’ na ‘Umeniacha’, ameiambia Global TV kuwa anahisi uwezo wake wa kukatika umeongezeka zadii kutokana na unene. “Sina tofauti na Ray C […]

 

9 years ago

MillardAyo

RIP mtu mnene kuliko wote duniani, kutana na picha za mwili wake wakati wa uhai wake

Unakumbuka au umwahi kusikia zile headlines za mtu mnene kuliko wote duniani, basi imenifikia stori yake mpya japokuwa sio njema mtu wangu. Andres Moreno jamaa ambaye anashikilia rekodi ya kuwa mtu mnene duniani amefariki dunia December 25 siku ya sikukuu ya Chrismass. Stori kutoka indianexpress.com zinaeleza Andres Moreno ambaye alikuwa anatajwa kuwa na uzito wa Kilogram […]

The post RIP mtu mnene kuliko wote duniani, kutana na picha za mwili wake wakati wa uhai wake appeared first on...

 

10 years ago

GPL

SHILOLE: BILA KIUNO NISINGEFIKA ULAYA!

MSANII wa muziki wa mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefunguka kwamba shavu la shoo alilopata la Bara la Ulaya limetokana na kukata kwake kiuno hivyo mashabiki kuvutiwa naye. Msanii wa muziki wa mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ akiwa na AT, Uingereza. Akizungumza kwa njia ya simu na gazeti hili akiwa barani humo anakoendelea kufanya shoo, Shilole alisema juhudi zake binafsi ndizo zilizompa...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Kundi la Best Life Music (Burundi), lashoot video ya wimbo wake na muongozaji wa Rwanda baada ya Hanscana kuwa ‘busy’

Kundi la muziki la nchini Burundi liitwalo Best Life Music, limelazimika kufanya video na muongozaji wa video wa nchini Rwanda, Meddy baada ya Hanscana waliyemtaka awali afanye video hiyo kubanwa na majukumu mengine. Meneja wa kundi hilo Kent-P, ameiambia Bongo5 kuwa baada ya wimbo ‘Better Than’ kupata nafasi Tanzania na katika nchi za Ivory Coast, […]

 

9 years ago

Mwananchi

Hakuna RAy wa 'kutisha' bila Kanumba

Hatimaye muigizaji Vicent Kigosi wiki hii amekiri kuwa msisimko na ushindani wa kutoa, kuigiza filamu kali uliokuwepo wakati marehemu Steven Kanumba akiwa hai, haupo tena.

 

11 years ago

GPL

RAY C: NATESEKA KUISHI BILA MPENZI JAMANI

Stori: IMELDA MTEMA
STAA aliyebeba ‘taito’ kubwa ndani ya Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’  ambaye alitopea kwenye matumizi ya madawa ya kulevya kisha kuyaacha, amefunguka kuwa yupo fiti na anataka kuishi na mpenzi, hayupo tayari kuteseka. Ray C. Ray C alifunguka hayo kupitia kwenye ukurasa wake wa mtandao wa Instagram hivi karibuni ambapo bila hiyana alishindwa kuzuia hisia zake kama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani