SHILOLE: BILA KIUNO NISINGEFIKA ULAYA!
![](http://api.ning.com:80/files/Ov90wJC7zCwZzwgxzQQbKWhLw3Vn4TA5OBaTcM1tXcb257yl8-E60cN6nsikaE9cw7B*njn0pospUmcsI1YdHjHx1McesgP7/shilole.jpg)
MSANII wa muziki wa mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefunguka kwamba shavu la shoo alilopata la Bara la Ulaya limetokana na kukata kwake kiuno hivyo mashabiki kuvutiwa naye. Msanii wa muziki wa mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ akiwa na AT, Uingereza. Akizungumza kwa njia ya simu na gazeti hili akiwa barani humo anakoendelea kufanya shoo, Shilole alisema juhudi zake binafsi ndizo zilizompa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Ray C wa kiuno bila mfupa abadilika
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-p53ehfl8xTo/VKN2_lMpedI/AAAAAAAA1Ac/ZRgl6ghehOo/s72-c/Sholole-aliwa-na-Pendo.jpg)
SHILOLE KIUNO AJIPA JUKUMU LA KUMLEA MTOTO MDOGO ALIYEKIMBIA KWAO KUOLEWA!
![](http://2.bp.blogspot.com/-p53ehfl8xTo/VKN2_lMpedI/AAAAAAAA1Ac/ZRgl6ghehOo/s1600/Sholole-aliwa-na-Pendo.jpg)
Muimbaji wa ‘Namchukua’ Shilole, ameamua kumchukua binti aitwaye Pendo baada ya kutoroka nyumbani kwao Morogoro akikimbia kuozeshwa kwa lazima. Shilole ameposti picha Instagram na kuandika:Jaman kwa wale mbao leo mmeskiza leo tena ya clouds fm na @dahuucloudsfm milipata kuskia story ya huyo bint hapo kwenye picha! Kuwa ametoroka kwao tanga kuja dar kwA sababu ya kulazimishwa kuolewa akiwa na umri mdogo kiukweli niliposkia hivyo ikaniuma sana nikiwa kama mwanamke kama pia nikaona bora...
9 years ago
Bongo507 Sep
Ray C aurejesha mwili wake wa ‘kiuno bila mfupa’ baada ya kupungua kg 30 (Picha)
10 years ago
Bongo526 Apr
Ray C: Nimenenepa lakini kiuno bila mfupa kiko pale pale!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiKitMIZupsxcpzpwPNPKf-pDmrb-cXX-DFg-JtYWv-IUxl-*MaAyf15QB3GKGURLbJXxLuzlLv1GR2HgFUiQaB3/GFGFFG.jpg)
SHILOLE AACHA AIBU ULAYA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6Yi1*KCqJUSM*ib1BHsQYup4WRgVkvTymXSZR1prTnR63ipEITEx-QzequgvKbZFkwLEU3RIm24jS0WGQhfI6Wwcg6DPKgWV/Backpain.jpg?width=650)
MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA
10 years ago
Bongo Movies04 Jul
Mwanaume aliyezaa na Shilole Atoboa Haya Kuhusu Yeye na Shilole
Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.
‘’Mimi namshangaa sana Shilole anavyosema kuwa nilimbaka,sijawahi kumbaka nilikuwa naishi naye kama mume na mke kwa zaidi ya miaka saba, na nilimuuliza kwanini anasema uongo kuwa nilimbaka alinijibu kuwa habari hiyo inamsaidia kumpaisha (kick) kwenye muziki wake,’’alisema...
10 years ago
Bongo Movies11 May
Kauli ya Shilole na Mchumba Wake Juu ya Picha Chafu za Shilole Akiwa Stejini
Haya ndiyo maelezo ya wawili hao kuhusiana na picha za mwanadada shilole zikimuonyesha wazi sehemu ya kifua chake wakati akiwa stejini anatumbuiza huko nchini Ubelgiji.
Show ni movement na uwezi mkataza mtu kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo za show na nguo za kutoka out kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi kuchomoka akina dada mnafaham na mtu yupo stejini anakua hajitambui kama nini kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana wengine...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yLSxzyLVMuonY6FYYoQds5jsu6g5rkQqMxAPzydWgt3upV3GiBEC6Usrgnv2eAu5ZKL6qOS4QWYa7wCY4-YqWDl/arthritic_joints.jpg?width=650)
FAHAMU UGONJWA WA MAGOTI NA KIUNO (OSTEOARTHRITIS)