LULU AWATIKISA MAPEDESHEE BUKOBA

Stori:Hamida Hassan Staa wa Filamu za Kibongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ hivi karibuni alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya mapedeshee wa Bukoba kumganda na kumzonga huku kila mmoja akitaka namba yake ya simu. Staa wa Filamu za Kibongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ akisherehesha. Lulu aliongozana na wasanii wengine akiwemo Kulwa Kikumba ‘Dude’ kwenye uzinduzi wa hoteli iitwayo Nalfin...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies13 Jan
Lulu: Mapedeshee ndiyo wanawalipa wasanii wa kike siyo filamu
ELIZABERTH Michael‘ Lulu’ amefunguka kuwa wasanii wa kike wa filamu wana biashara nyingine iliyojificha ndani ya ile ya filamu ambayo inawalipa zaidi.
Lulu amepasua kuwa wasanii hao wanawategemea mapedejee kuendesha maisha yao huku wengi wakiamini kwamba mabinti hao wa Bongo Movie wanalipwa vizuri kutokana na filamu wanazoigiza.
“Ukweli hauko hivyo, hali hii inatokana na wengi wetu kudumaa na hatuwazi kufanya mambo makubwa kwa kuigiza na wasanii wakubwa lakini hakuna anayeliona hili,”...
10 years ago
Bongo Movies08 Dec
LULU: Bata la Watu Wa Bukoba Ni Noumer…Naendelea Kuoga Hela
Mwigizaji wa filamu,mrembo na mwenye mvuto wa kufanya wengi wapagawe, Elizabeth Michael aka Lulu ambae kwasasa yupo Mjini Bukoba kwa mapumziko mafupi. Akiwa katika viwanja vya kula bata mjini hapo Lulu hakusita kuwasifia watu wa kabira la Wahaya kwa njinsi alivyo furahia GOOD TIME alilopewa na kumfanya afunguke mwenyewe kwenye mitandao ya kijamii
“Wahaya noma......
Hili Bata la Watu wa Bukoba ni Noumer...! likizo isiishe jamani”
Haikuishiahapo, alitupia picha nyingi mtandaoni akiwa...
11 years ago
GPL
SALHA: MAPEDESHEE NI JANGA MISS TZ
11 years ago
GPL
MAPEDESHEE, CHIEF KIUMBE KAWAZIDI UJANJA
10 years ago
GPL
MH! ETI RAY, STEVE NYERERE NAO MAPEDESHEE
10 years ago
GPLMALAIKA: KWA PENZI LANGU, MAPEDESHEE WAJIPANGE
10 years ago
Michuzi10 Nov
TAMASHA LA TIGO LAFANA BUKOBA LEO! WASANII WA ORIGINAL COMEDY WAFUNIKA MJINI BUKOBA!






11 years ago
Daily News04 Oct
Bukoba residents demand rest of compensation over Bukoba airport
Daily News
ABOUT 18 people are demanding to be paid over 400m/- compensation as a result of the rehabilitation and upgrading of the Bukoba Airport. Bukoba Airport Manager, Mr Julius Mlungwana told the 'Daily News on Saturday' in an interview that government ...
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
LULU: Mimi ni Mchamungu,Mwenye Matarajio Makubwa Maishani…That’s Lulu
"Mimi ni mcha Mungu, mpenda maendeleo,ni mtu ambae nipo focused,ni mtu ambae nina matarajio makubwa,mtuambae nataka kufika mbali-That’s Lulu "
Muigizaji wa Filamu, Elizabeth Michael “Lulu” aliyasema hayo leo akiwa studio kabla ya kuimbiwa wimbo Dogo Aslay msanii kutoka yamoto Band.