Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LULU AWATIKISA MAPEDESHEE BUKOBA

Stori:Hamida Hassan
Staa wa Filamu za Kibongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ hivi karibuni alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya mapedeshee wa Bukoba kumganda na kumzonga huku kila mmoja akitaka namba yake ya simu. Staa wa Filamu za Kibongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ akisherehesha. Lulu aliongozana na wasanii wengine akiwemo Kulwa Kikumba ‘Dude’ kwenye uzinduzi wa hoteli iitwayo Nalfin...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Lulu: Mapedeshee ndiyo wanawalipa wasanii wa kike siyo filamu

ELIZABERTH Michael‘ Lulu’ amefunguka kuwa wasanii wa kike wa filamu wana biashara nyingine iliyojificha ndani ya ile ya filamu ambayo inawalipa zaidi.

Lulu amepasua kuwa wasanii hao wanawategemea mapedejee kuendesha maisha yao huku wengi wakiamini kwamba mabinti hao wa Bongo Movie wanalipwa vizuri kutokana na filamu wanazoigiza.

“Ukweli hauko hivyo, hali hii inatokana na wengi wetu kudumaa na hatuwazi kufanya mambo makubwa kwa kuigiza na wasanii wakubwa lakini hakuna anayeliona hili,”...

 

10 years ago

Bongo Movies

LULU: Bata la Watu Wa Bukoba Ni Noumer…Naendelea Kuoga Hela

Mwigizaji wa filamu,mrembo na mwenye mvuto wa kufanya wengi wapagawe, Elizabeth Michael aka Lulu ambae kwasasa yupo Mjini Bukoba kwa mapumziko mafupi. Akiwa katika viwanja vya kula bata mjini hapo Lulu hakusita kuwasifia watu wa kabira la Wahaya kwa njinsi alivyo furahia GOOD TIME alilopewa na kumfanya afunguke mwenyewe kwenye mitandao ya kijamii

 “Wahaya noma......
Hili Bata la Watu wa Bukoba ni Noumer...! likizo isiishe jamani”

Haikuishiahapo, alitupia picha nyingi mtandaoni akiwa...

 

11 years ago

GPL

SALHA: MAPEDESHEE NI JANGA MISS TZ

Stori: Jelard Lucas
MISS Tanzania 2011, Salha Israel ametoboa siri kuhusiana na mapedeshee ambao wamekuwa wakiwapa usumbufu mkubwa kiasi cha kuonekana ni janga la kitaifa kwa warembo. Miss Tanzania 2011, Salha Israel. Akizungumza na Ijumaa kwenye mahojiano maalum hivi karibuni ndani ya ofisi za gazeti hili, Salha alikiri kuwepo kwa watu wenye nia mbaya wanaotumia utajiri wao kujipatia wasichana hali inayosababisha kuichafua...

 

11 years ago

GPL

MAPEDESHEE, CHIEF KIUMBE KAWAZIDI UJANJA

Mohamed Abdallah Kiumbe,'Chif kiumbe' mwenye kanzu yanjano. JINA alilopewa na wazazi wake ni Mohamed Abdallah Kiumbe, lakini baada ya mihangaiko yake huku na kule, akipiga hatua taratibu za maendeleo, akajikuta amepata umaarufu mkubwa mno, sasa akijulikana kama Chief Kiumbe. Ninamfahamu kiasi huyu jamaa, ni mchangamfu, mtu wa watu, lakini usisahau, ni kijana wa kisasa. Enzi hizo ukikutana naye kwenye kumbi za starehe, huwezi...

 

10 years ago

GPL

MH! ETI RAY, STEVE NYERERE NAO MAPEDESHEE

MIAKA michache iliyopita, nilipata kuwa mdau mkubwa wa muziki wa dansi, nikipatikana katika karibu kumbi zote ambazo bendi kubwa zilifanya mambo yao jijini Dar es Salaam. Huko, nilikutana na watu wengine waliokuwa na ‘wazimu’ zaidi kuliko mimi. Hawa, waliitwa majina ya kutukuzwa na wanamuziki, wengi wao wakitajwa kwenye nyimbo. Ninamkumbuka ‘mshkaji’ Fikiri Madinda, Papaa Chosta, Hussein Makabureta,...

 

10 years ago

GPL

MALAIKA: KWA PENZI LANGU, MAPEDESHEE WAJIPANGE

Mwanamuziki anayefanya poa, Diana Malaika ‘Malaika’. Andrew Carlos  Mwanamuziki anayefanya poa, Diana Malaika ‘Malaika’ amefunguka kuwa wapo wanaume kibao wanaomtaka kimapenzi lakini kutokana na namna alivyoweka muziki mbele, mapedeshee hao wajipange sana kumnasa. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1J3UnJ1

 

10 years ago

Michuzi

TAMASHA LA TIGO LAFANA BUKOBA LEO! WASANII WA ORIGINAL COMEDY WAFUNIKA MJINI BUKOBA!

Mpoki(kulia) akitamba!!Wasanii wa Original Comedy wakiwapa buradani wananchi waliohudhuria Tamasha hilo katika uwanja wa Kaitaba Bukoba Mjini leo Jumapili Novemba 9, 2014. Nani zaidi??Mwana-FA akiimba mbele ya umati wa wakazi wa Bukoba leo kwenye Tamasha la Tigo lililofanyika leo Jumapili jioni kwenye Uwanja wa Kaitaba.Kiingilio ilikuwa ni wewe kuvaa uhusika wa Tigo!!Mwana-FAKwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

Daily News

Bukoba residents demand rest of compensation over Bukoba airport


Bukoba residents demand rest of compensation over Bukoba airport
Daily News
ABOUT 18 people are demanding to be paid over 400m/- compensation as a result of the rehabilitation and upgrading of the Bukoba Airport. Bukoba Airport Manager, Mr Julius Mlungwana told the 'Daily News on Saturday' in an interview that government ...

 

10 years ago

Bongo Movies

LULU: Mimi ni Mchamungu,Mwenye Matarajio Makubwa Maishani…That’s Lulu

"Mimi ni mcha Mungu, mpenda maendeleo,ni mtu ambae nipo focused,ni mtu ambae nina matarajio makubwa,mtuambae nataka kufika mbali-That’s Lulu "

Muigizaji wa Filamu, Elizabeth Michael “Lulu” aliyasema  hayo leo akiwa studio kabla ya kuimbiwa wimbo Dogo Aslay msanii kutoka yamoto Band.

 

 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani