Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pengo akemea ndoa za mikataba, mashoga

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Palycarp Kardinali Pengo amekema ndoa za jinsi moja na zile za mkataba kwa sababu ni kinyume cha maadili ya dini zote na zinachangia kuharibu familia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Pengo akemea masilahi binafsi Bunge la Katiba

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Kardinal Pengo amesema shughuli za mchakato wa Katiba zifanyike kwa amani na kwamba ziwalinde Watanzania katika umoja na mshikamano waliyokuwa nao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kardinali Pengo akemea utoaji mimba, ushoga

ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo, amekemea tabia ya utoaji mimba inayofanywa na baadhi ya wanawake nchini kwani kufanya hivyo ni...

 

11 years ago

GPL

RC AAGIZA MASHOGA...

Na Francis Godwin, Iringa
SERIKALI ya Mkoa wa Iringa imeagiza  kukamatwa kwa wanawake wanaouza miili (ukahaba) na wanaume mashoga kama inavyofanywa na Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM,’ ya Global Publishers. Agizo hilo limetolewa hivi karibuni katika kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Iringa kilichofanyika katika Ukumbi wa Siasa ni Kilimo chini ya mkuu wa mkoa huo, Christine Ishengoma. Hayo yamekuja baada ya...

 

11 years ago

GPL

AUNT AKERWA NA MASHOGA

Stori: Emelder Tarimo KERO! Mtendea haki sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa anakerwa sana na wanaume wenye hulka za kike (mashoga). Staa wa sinema za Kibongo Aunt Ezekiel. Akichonga na paparazi wetu, Aunt alisema mashoga wanamstaajabisha kwa jinsi wanavyojiweka na kujishaua katika jamii kitu ambacho anaamini ni tabia mbaya ambayo mtu anaweza kuiacha mara moja.
“Mashoga hunistaajabisha sana kwa kweli, kila...

 

11 years ago

BBCSwahili

Huduma za afya kwa mashoga UG

Waziri wa fedha nchini Uganda, ameambia BBC kuwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja, hawatatengwa katika kupata huduma za afya.

 

11 years ago

Mtanzania

Maaskofu Katoliki wawagomea mashoga

VaticanVATICAN CITY, VATICAN

MAASKOFU wa Kanisa la Katoliki juzi waligoma kupitisha mabadiliko makubwa ya kihistoria kuhusu msimamo wao mkali dhidi ya masuala ya ushoga, utoaji mimba na wanandoa waliotalikiana.

Uamuzi huo,ulifichua uwapo wa pengo kubwa ndani ya kanisa hilo mwishoni wa mkutano huo wa wiki mbili.

Maaskofu wa kanisa hilo walikuwa wamekutana kujadili jinsi mafunzo ya kanisa hilo yanavyoweza kufanyiwa mageuzi ili kuambatana na maisha ya kisasa.

Hiyo ni pamoja na kukaribisha ‘zawadi na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakatoliki wakataa kuwatambua mashoga.

Makundi ya kikatoliki yanayopigania haki za wapenzi wa jinsia moja yamekasirishwa na hatua ya kanisa hilo ya kuwakataa mashoga.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mswada wa kuwabagua mashoga wakatiliwa.

Gavana wa jimbo la Arizona nchini Marekani aukataa mswada ambao ungesababisha kubaguliwa kwa watu wa jinsia moja.

 

11 years ago

BBCSwahili

Gazeti lawataja 'mashoga' Uganda

Gazeti la udaku nchini Uganda la Red Pepper limechapisha orodha ya majina 200 wanayodai ni ya wale wanaojihusisha na mapenzi ya watu wa jinsia moja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani