PENNY AGOMA KUULIZWA KUHUSU MTOTO WA DIAMOND

Mayasa Mariwata na Gabriel Ng’osha Yamekuwa hayo? Aliyewahi kuwa mwandani wa staa wa Bongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Penniel Mwingilwa `DVJ Penny’ amegoma kuulizwa chochote kuhusu kitendo cha zilipendwa wake huyo kupata mtoto wakati yeye alidaiwa kukataa kumzalia. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1UNuQra
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
10 years ago
Michuzi22 Dec
10 years ago
Vijimambo28 Nov
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Bongo527 Nov
Exclusive: Diamond afunguka kuhusu Wema, Zari, Penny, Chameleone, Yemi Alade, Waje na mengine (Video)
9 years ago
Bongo514 Dec
Kanye West achimba mkwara, hataki kuulizwa chochote kuhusu album mpya

Baba Saint, Kanye West amecharuka na kupiga mkwara mzito kuwa hataki kuulizwa maswali kuhusu album yake mpya iitwayo ‘Swish’ ambayo amedai yuko anaimalizia.
Kupitia Twitter Kanye aliandika:
I’m finishing my album and my next collection…
— KANYE WEST (@kanyewest) December 13, 2015
no offense to anyone… I’m asking everyone DON’T ASK ME FOR ANYTHING TILL AFTER I’M FINISHED WITH MY ALBUM
— KANYE WEST (@kanyewest) December 13, 2015
Tweet hizo zinaondoa kabisa matumaini ya album hiyo ya saba ya...
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Vijimambo
11 years ago
GPL
DIAMOND,PENNY WAMWAGANA!