PETER MWALYANZI: Rushwa ni kirusi katika soka nchini
“LICHA ya kukosa mafanikio kisoka kunakoliandama taifa letu, lakini ukweli unabaki kuwa Tanzania kuna vipaji vingi sana, ila baadhi ya viongozi wa klabu wanaviua kwa maslahi yao binafsi. “Mchezaji unaweza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Rushwa, Kirusi kinachoitesa CCM
9 years ago
Dewji Blog25 Dec
Rais Magufuli ahimiza Amani nchini, ashiriki misa ya Krismasi katika kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar e Salaam !
Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akitoa salamu zake za heri ya Krismasi mara baada ya kumalizika Ibada ya Krismas misa ya kwanza katika Kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar es salaam leo Desemba 25, 2015.
![](http://2.bp.blogspot.com/-GFgCRpAfCxY/Vn0C2_RTeUI/AAAAAAAIOlc/t2cBkzh_PPw/s640/x13.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nziZB1rPgcs/Vn0C4VEg2yI/AAAAAAAIOlk/ZTlom5d_tmI/s640/x14.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Aug
Sera, sheria dhaifu, rushwa ni kikwazo katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya nchini
Mtumiaji wa kujinduga akitumia dawa hizo.
Baadhi ya watumiaji wa dawa za kulevya wakihudhuria moja semina zinazoendeshwa nchini.
Na Damas Makangale, Makangale Satellite Blog
“Kila mwaka idadi ya watumiaji wa dawa za kulevya nchini hasa kwa vijana wenye umri mdogo kabisa kati ya miaka 15 mpaka 25 inakadiliwa kufika 10,000 hadi 11,000 kila mwaka nchini ni idadi kubwa na hali inatisha,’ anasema Afisa kutoka Kitengo cha Kudhibiti dawa za kulevya nchini, Moza Makumbuli
Wiki iliyopita Kitengo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VQsvDQJX75M/XsUaGgOLaZI/AAAAAAALq8U/e6o5Hx4fNecG6ZOAH618JiJaAhwIFIDWwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200520-WA0037.jpg)
CWT YAAHIDI KUFANYA MAPINDUZI KATIKA SOKA HAPA NCHINI-ALAWI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VQsvDQJX75M/XsUaGgOLaZI/AAAAAAALq8U/e6o5Hx4fNecG6ZOAH618JiJaAhwIFIDWwCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200520-WA0037.jpg)
Hatua hiyo inatokana na mikakati kabambe inayotarajia kuwekwa na Walimu kupitia uongozi wa Makao Mkuu, mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi Mkuu wa chama hicho unaotarajia kufanyika Mei 28 mwaka huu.
Hayo yalielezwa na Mwalimu Abubakari Alawi akizungumza na Waandishi wa Habari mjini Kibaha,ambaye ni mgombea wa nafasi ya Mhazi...
11 years ago
Michuzi19 Apr
10 years ago
BBCSwahili27 May
Rushwa:Maafisa wa Soka wakamatwa Zurich
10 years ago
Mtanzania25 May
Mwalyanzi amwaga wino Simba
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KLABU ya Simba imejibu mapigo ya wapinzani wao wa jadi, Yanga, baada ya kumnasa aliyekuwa kiungo wa Mbeya City, Peter Mwalyanzi na kumpa mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu hiyo msimu ujao.
Jana Simba iliangukia pua kwenye mbio za kumnasa winga Deus Kaseke, aliyekuwa amemaliza mkataba wake Mbeya City kama Mwalyanzi, baada ya Yanga kumuwahi na kumsajili.
Wakati Simba ikiinasa saini ya Mwalyanzi, imefanikiwa kuzizidi kete Azam FC na Yanga ambazo awali...
10 years ago
Vijimambo23 Apr
DJ PETER MOE ATUA NCHINI MAREKANI
![](https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t34.0-12/11139795_10203909128837976_322987610_n.jpg?oh=93e2f0412f3090dfacb0a0d99e6f7d82&oe=553B10A0)
Dj Peter Moe akiwa kwenye moja ya Hotel aliyafikia alipokua Washington, DC alipokua amekuja kwa kazi maalum nchini Marekani
![](https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t34.0-12/11166064_10203909128117958_1559437999_n.jpg?oh=a13a559859179b2b660a40f369b1ee37&oe=553B3DC4)
Dj Peter Moe akipata picha ya kumbukumbu