Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PETER MWALYANZI: Rushwa ni kirusi katika soka nchini

“LICHA ya kukosa mafanikio kisoka kunakoliandama taifa letu, lakini ukweli unabaki kuwa Tanzania kuna vipaji vingi sana, ila baadhi ya viongozi wa klabu wanaviua kwa maslahi yao binafsi. “Mchezaji unaweza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Rushwa, Kirusi kinachoitesa CCM

Rushwa!Rushwa!Rushwa! Hiki ndicho kimekuwa kilio cha wagombea wengi wa ubunge walioshiriki mchakato wa kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) karibu nchi nzima.

 

9 years ago

Dewji Blog

Rais Magufuli ahimiza Amani nchini, ashiriki misa ya Krismasi katika kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar e Salaam !

 

x12

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akitoa salamu zake za heri ya Krismasi mara baada ya kumalizika Ibada ya Krismas misa ya kwanza katika Kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar es salaam leo Desemba 25, 2015.

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akitoa salamu zake za heri ya Krismasi mara baada ya kumalizika Ibada ya Krismas misa ya kwanza katika Kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar es salaam leo Desemba 25, 2015. Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akitoa salamu zake za heri ya Krismasi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sera, sheria dhaifu, rushwa ni kikwazo katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya nchini

drug injection

 

Mtumiaji wa kujinduga akitumia dawa hizo.

mtumiaji 2

Baadhi ya watumiaji wa dawa za kulevya wakihudhuria moja semina zinazoendeshwa nchini.

Na Damas Makangale, Makangale Satellite Blog

“Kila mwaka idadi ya watumiaji wa dawa za kulevya nchini hasa kwa vijana wenye umri mdogo kabisa kati ya miaka 15 mpaka 25 inakadiliwa kufika 10,000 hadi 11,000 kila mwaka nchini ni idadi kubwa na hali inatisha,’ anasema Afisa kutoka Kitengo cha Kudhibiti dawa za kulevya nchini, Moza Makumbuli

Wiki iliyopita Kitengo...

 

5 years ago

Michuzi

CWT YAAHIDI KUFANYA MAPINDUZI KATIKA SOKA HAPA NCHINI-ALAWI

Na Mwamvua Mwinyi, PwaniCHAMA Cha Walimu Tanzania (CWT), kimeahidi kufanya mapinduzi katika soka, kwa kuwa na timu imara itayoshiriki Ligi za ndani na nje ya nchi.
Hatua hiyo inatokana na mikakati kabambe inayotarajia kuwekwa na Walimu kupitia uongozi wa Makao Mkuu, mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi Mkuu wa chama hicho unaotarajia kufanyika Mei 28 mwaka huu.
Hayo yalielezwa na Mwalimu Abubakari Alawi akizungumza na Waandishi wa Habari mjini Kibaha,ambaye ni mgombea wa nafasi ya Mhazi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rushwa:Maafisa wa Soka wakamatwa Zurich

Maafisa Sita wa Soka wamekamatwa mjini Zurich nchini Uswisi kwa shutuma za rushwa

 

10 years ago

Mtanzania

Mwalyanzi amwaga wino Simba

IMG-20150524-WA0026NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

KLABU ya Simba imejibu mapigo ya wapinzani wao wa jadi, Yanga, baada ya kumnasa aliyekuwa kiungo wa Mbeya City, Peter Mwalyanzi na kumpa mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu hiyo msimu ujao.
Jana Simba iliangukia pua kwenye mbio za kumnasa winga Deus Kaseke, aliyekuwa amemaliza mkataba wake Mbeya City kama Mwalyanzi, baada ya Yanga kumuwahi na kumsajili.
Wakati Simba ikiinasa saini ya Mwalyanzi, imefanikiwa kuzizidi kete Azam FC na Yanga ambazo awali...

 

10 years ago

Vijimambo

DJ PETER MOE ATUA NCHINI MAREKANI


Dj Peter Moe akiwa kwenye moja ya Hotel aliyafikia alipokua Washington, DC alipokua amekuja kwa kazi maalum nchini Marekani
Dj Peter Moe akipata picha ya kumbukumbu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani