Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha chafu zamfikisha rumande Uganda

Msanii wa ajulikanaye kama -Panadol wa Basajja- nchini Uganda amepelekwa rumande baada ya kukanusha mashtaka ya kusambaza picha za uchi kinyume na sheria za nchi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

PICHA CHAFU ZA WEMA, DIAMOND ZATINGA BUNGENI

Stori: Mwandishi Wetu
Sakata la mastaa wakiwemo Wema Sepetu na Nasibu Abdul ‘Diamond’ kupiga picha chafu kisha kuzitundika mitandaoni limetinga bungeni baada ya juzikati baadhi ya wabunge kulishupalia. Mastaa Wema Sepetu na Nasibu Abdul ‘Diamond’ wakiwa kwenye pozi la kimahaba Hilo liliibuka Suzi mjengoni katika kipindi cha maswali na majibu ambapo Mbunge wa Jimbo la Mchinga, Saidi Mtanda alitaka...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mziwanda Aomba Radhi kwa Picha ya Chafu

Nuhu Mziwanda ambae ni mchumba wa mwanamuziki na muigizaji Shilole (Shishi baby) ameomba radhi jana kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya kupost picha ambayo inaonyesha maungo ya ndani ya mpenzi wake huyo walipokuwa wakioga.

Picha hiyo ilimuonyesha Shilole akiwa kifua wazi. Kwa mujibu wa Nuhu Mziwanda amesema kuwa alipost picha hiyo ili apate Kiki kwa ajili ya video yake mpya Zimataa ambayo bado haijatoka mpaka sasa.

Baada ya juzi usiku Nuhu Mziwanda kupost picha hiyo kwenye ukurasa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Sakata la Zile Picha Chafu za Shilole Latinga Bungeni

Lile sakata la picha zisizo za maadili za Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva,Shilole  alizopigwa nchini Ubelgiji akiwa kwenye shoo yake zimejadiliwa bungeni mjini Dodoma.

Naibu waziri wa wizara ya Habari,Vijana na Utamaduni na Michezo,Juma Nkamia aliamua kuomba radhi jana kwa niaba ya serikali kufuatia kitendo cha msanii huyo kuvaa nguo zisizo za maadili jukwaani.

Hivi karibuni baadhi ya picha za msanii huyo zilizagaa mtandaoni zikimuonyesha akiwa jukwaani amevaa mavazi ambayo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Andiko la Ray Kuhusu Picha Chafu za Msichana Kwenye ‘Account Fake’ FB

TANGAZO. Wadau katika watu naowaeshimu duniani ni wanawake maaana najua halisi ya mwanamke ni mama zetu wametuweka tumboni miezi 9 kwenye shida na rahaa.

Sasa wacha nirudi kwenye point yangu ya msingi kuna mtu kafungua account fake kwenye facebook nakujiita vicent kigosi kwanza kabisa kulikuwa na utapeli wa yeye mwenye account hiyo fake kwa kusema eti kuwa mimi nahitaji wasanii kwa hiyo alikuwa anawalipisha watu pesa ilo nililikanusha na kuwaambia watanzania kama ni account fake wala sio...

 

11 years ago

Mwananchi

BIASHARA CHAFU: Mwanafunzi chuo kikuu alazimishwa kurekodi picha za ngono

>Kweli dunia ina mambo! Kuna watu wanajaribu kutumia kila fursa inayopatikana kujinufaisha kwa kupata fedha hata ziwe ‘chafu’, kwao kitu cha maana ni kupata utajiri kwanza.

 

10 years ago

GPL

AIBU JAMANI! MUME ANASA PICHA CHAFU ZA MKEWE NA MSANII WA BONGO MOVIE

Shani Ramadhani MAMA Fanueliii! Mwanamke Elgiva Winyaeli Munisi ‘Manka’, mkazi wa Kijitonyama, Dar, amejikuta katika wakati mgumu baada ya mumewe, Alpha kudaiwa kuzinasa picha za utupu akiwa na mchepuko uliofahamika kwa jina la Crama Lucas ambaye ni msanii wa Bongo Muvi, Ijumaa Wikienda lina filamu kamili. Elgiva Winyaeli Munisi ‘Manka’ na mchepuko wake Crama Lucas ambaye ni msanii wa Bongo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kauli ya Shilole na Mchumba Wake Juu ya Picha Chafu za Shilole Akiwa Stejini

Haya ndiyo maelezo ya wawili hao kuhusiana na picha za mwanadada shilole zikimuonyesha  wazi sehemu ya kifua chake wakati akiwa stejini anatumbuiza huko nchini Ubelgiji.

Show ni movement na uwezi mkataza mtu kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo za show na nguo za kutoka out kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi kuchomoka akina dada mnafaham na mtu yupo stejini anakua hajitambui kama nini kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana wengine...

 

9 years ago

Bongo5

Alikiba ashuhudia show ya Ne-Yo Uganda (Picha)

12063120_997006573689921_868848537_nAlikiba alikuwa mmoja wa watu waliohudhuria show ya muimbaji wa Marekani, Ne-Yo jijini Kampala Uganda usiku wa kuamkia Jumamosi hii. Kiba ambaye wiki hii alikuwa nchini Afrika Kusini, alipitia Kampala kwenda kumpa support muimbaji huyo waliyefahamiana kupitia kipindi cha Coke Studio Africa. Alikiba akiwa na Jose Chameleone kwenye show hiyo Kabla ya show hiyo, Kiba […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani