Picha chafu zamfikisha rumande Uganda
Msanii wa ajulikanaye kama -Panadol wa Basajja- nchini Uganda amepelekwa rumande baada ya kukanusha mashtaka ya kusambaza picha za uchi kinyume na sheria za nchi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w9JIhnUgjg-*t0jeYu1HXFoLqhQv4Z70vp9X-VTT-SrxmNGErWvZxMcy5SUgmf0aFkZSZkGlreeGJpWOQVzYLCLMdPG0eJT7/diamondpicha.jpg)
PICHA CHAFU ZA WEMA, DIAMOND ZATINGA BUNGENI
10 years ago
Bongo Movies26 Feb
Mziwanda Aomba Radhi kwa Picha ya Chafu
Nuhu Mziwanda ambae ni mchumba wa mwanamuziki na muigizaji Shilole (Shishi baby) ameomba radhi jana kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya kupost picha ambayo inaonyesha maungo ya ndani ya mpenzi wake huyo walipokuwa wakioga.
Picha hiyo ilimuonyesha Shilole akiwa kifua wazi. Kwa mujibu wa Nuhu Mziwanda amesema kuwa alipost picha hiyo ili apate Kiki kwa ajili ya video yake mpya Zimataa ambayo bado haijatoka mpaka sasa.
Baada ya juzi usiku Nuhu Mziwanda kupost picha hiyo kwenye ukurasa...
10 years ago
Bongo Movies29 May
Sakata la Zile Picha Chafu za Shilole Latinga Bungeni
Lile sakata la picha zisizo za maadili za Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva,Shilole alizopigwa nchini Ubelgiji akiwa kwenye shoo yake zimejadiliwa bungeni mjini Dodoma.
Naibu waziri wa wizara ya Habari,Vijana na Utamaduni na Michezo,Juma Nkamia aliamua kuomba radhi jana kwa niaba ya serikali kufuatia kitendo cha msanii huyo kuvaa nguo zisizo za maadili jukwaani.
Hivi karibuni baadhi ya picha za msanii huyo zilizagaa mtandaoni zikimuonyesha akiwa jukwaani amevaa mavazi ambayo...
10 years ago
Bongo Movies24 May
Andiko la Ray Kuhusu Picha Chafu za Msichana Kwenye ‘Account Fake’ FB
TANGAZO. Wadau katika watu naowaeshimu duniani ni wanawake maaana najua halisi ya mwanamke ni mama zetu wametuweka tumboni miezi 9 kwenye shida na rahaa.
Sasa wacha nirudi kwenye point yangu ya msingi kuna mtu kafungua account fake kwenye facebook nakujiita vicent kigosi kwanza kabisa kulikuwa na utapeli wa yeye mwenye account hiyo fake kwa kusema eti kuwa mimi nahitaji wasanii kwa hiyo alikuwa anawalipisha watu pesa ilo nililikanusha na kuwaambia watanzania kama ni account fake wala sio...
11 years ago
Mwananchi09 Aug
BIASHARA CHAFU: Mwanafunzi chuo kikuu alazimishwa kurekodi picha za ngono
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGjgPH8*8vm2guRTVFWexTEk3UbyVhPa4wG5VvcW2OSDMZlTqv7MiCUxxX6WITme1mFDSDLfa4fNCXO7Jgiw2GyRr8tXGEuH/FRONTWIKIENDAcopy.jpg?width=650)
AIBU JAMANI! MUME ANASA PICHA CHAFU ZA MKEWE NA MSANII WA BONGO MOVIE
10 years ago
Bongo Movies11 May
Kauli ya Shilole na Mchumba Wake Juu ya Picha Chafu za Shilole Akiwa Stejini
Haya ndiyo maelezo ya wawili hao kuhusiana na picha za mwanadada shilole zikimuonyesha wazi sehemu ya kifua chake wakati akiwa stejini anatumbuiza huko nchini Ubelgiji.
Show ni movement na uwezi mkataza mtu kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo za show na nguo za kutoka out kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi kuchomoka akina dada mnafaham na mtu yupo stejini anakua hajitambui kama nini kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana wengine...
9 years ago
Bongo531 Oct
Alikiba ashuhudia show ya Ne-Yo Uganda (Picha)
![12063120_997006573689921_868848537_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/12063120_997006573689921_868848537_n-94x94.jpg)