Picha: Hizi za Lulu Zimependwa Sana Leo Huko INSTA
Baada ya kuifunga akaunti yake kwenye mtandao picha wa Instagram iliyokuwa na followers zaidi ya laki nne, na kuamua kufungua tena akaunti kwenye mtandao huo, staa mrembo wa Bongo Movies, Elizaberth Michael ‘Lulu’ ametupia picha hizi mpya kwenye ukarara wake huo mpya unaopatikana kwa anuani ya @ elizabethmichaelofficia kitendo ambacho kimewavutia mashabiki wengi waliommiss mrembo huyo ambaye ni mpenzi wa fasheni.
Mashabiki wengi wamemsifia kwa kutokeleza bomba na kuonyesha furaha zao kwa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies20 Sep
Picha: Hizi za Lulu Za Sababisha Mafuriko Huko INSTA
Picha za staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiwa ametupia kimamtoni zimesababisha mafuriko ya LIKES na COMMENTS kwenye ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram hiyo jana mara baada ya kuzibandika.
Wengi wamefunguka na kummwagia sifa nyingi kwa jinsi alivyotokelezea na mapigo hayo.
“Pale unapokumbuka huna safari ya Ulaya Leo wala Kesho...!Unaamua Kujigeuza RIHANNA na kukatisha mitaa yako ya HOLLYWOOD ki roho....
Yani hapa ndo nishajikuta HOLLYWOOD sitaki Maswali wala...
10 years ago
Bongo Movies09 Apr
Picha:Siku ya Leo Hizi za Kidoti Zimependwa na Wengi
Picha za mrembo anaefanya vitu vingi hapa mjini kuanzia mitindo, utangazaji,ujasiliamali hadi uimbaji wa muziki, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ alizozitupia leo kwenye ukurasa wake wa mtandaoni zimepokea’ LIKES’ na COMMENTS kutoka kwa wadau na mashabiki wa kike na wakiume huu kila mmoja akisema lake juu ya picha hizo.
Yote kwa yote Kidoti hapo ametokelezea ile sana, kwa upande wetu hizi za Kidoti ndio picha bomba zaidi kwa siku ya leo kati ya za mastaa wote wa Bongo Movies.
Tupia mtazamo wako...
10 years ago
Bongo Movies25 Dec
PICHA:Tatu za Watatu Hawa Zimependwa Sana Mtandaoni
UZURI HAUJIFICHI: Hawa ni miongoni mwa warembo kwenye tasnia pendwa na wadada wengi hapa nchini, tasnia ya filamu za kibongo.Wakiwa kwenye “pozi” moja lakini katika “moment” tatu tofauti.Warembo hawa, Jackline Masawe “Wolper”, Kajala Masanja na Irene Uwoya walidondosha picha hizi tatu mtandaoni juzi kati, nakufanya mashabiki kumwaga “likes” za kutosha huku kila mtu aki-“comment” kile anachoona inafaa ilimradi kuelezea hisia na mtazamo wake.
Wengi waliwapenda na kuwasifia wote, lakini...
10 years ago
Vijimambo01 Oct
PICHA ZINAZOSEMA AINA YA KIONGOZI TUNAYEMUHITAJI,PICHA HIZI ZINAZUNGUMZA MENGI SANA.
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/10426171_289961904539378_3950919716198159061_n.jpg?oh=881eaf04db744756c5d1baaeb81b20cf&oe=54CF422F&__gda__=1422876055_a731588f163ffa9be575db29a5cd682e)
![](https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10370351_708920049161822_672977126855962506_n.jpg?oh=0164c1a19321226f66a5becc325bcada&oe=54D068E7&__gda__=1420972974_554da57f239a0d29f91e8f1bd94847ed)
![](https://scontent-a-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/1966847_708922799161547_3745377763552786263_n.jpg?oh=e4a260f98d743b6b462c04de459ed80d&oe=5484CA9A)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/10421154_297784523757116_3841041684266685019_n.jpg?oh=e5f1aee5019e1cfdc1d1d2c19120a894&oe=54CEBB58&__gda__=1418246510_9917f2e3993fe3fc0c78b02dc168de21)
![](https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/1525244_297187963816772_1840951361995500260_n.jpg?oh=eb4fdede0a4793ec34351912dabd0c46&oe=54C55FD3&__gda__=1421110766_92ea34b613e58b00530e648af275ec25)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/10606408_297784037090498_2469290746865829578_n.jpg?oh=de7728875867bb0db94cfcc0f6f8f6d5&oe=54C9E13D&__gda__=1417987252_d8fde1c883d802f2b496bf8b5d84e495)
![](https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10635815_297187920483443_6799336518551112566_n.jpg?oh=4589901056a4b843e600c931c617337e&oe=5482FCCC&__gda__=1422835728_b003ee15bbde43f02f147e2780d3ddc6)
![](https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10670115_297188040483431_7030630794709207357_n.jpg?oh=be8ce1fefaefc9a08d649c3f6afb9226&oe=54C8B12E&__gda__=1417987826_7566075eb1215044645e3882e3ef1979)
![](https://scontent-a-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10420041_276267639242138_1706817427871385090_n.jpg?oh=36deb4a47bc4a059876b8f1f2b421ce5&oe=54CCA059)
![](https://scontent-b-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/10411278_253138758221693_8438807295919895765_n.jpg?oh=988c7a3889e13484cc4f1838529699f1&oe=54BFAC07)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/10245541_241262216076014_3897404221853706429_n.jpg?oh=b6ba2bcb31c8047092891aa919a9329a&oe=54CF0BD1&__gda__=1417947241_7925d7e69bb582ed1282fbfcd85963a4)
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
PICHA: Tazama picha tano (5) kali sana za mwanadada Elizabeth Michael a.k.a LULU. Utazipenda.
Picha kwa hisani ya blog ya http://www.domozege.blogspot.com
10 years ago
Vijimambo06 Apr
PITIA HIZI PICHA NA CHUKUA TAADHALI HUKO BARABARANI
Kwa mtaji huu basi ndugu zetu wanaendelea kufupishwa maisha kila siku dreva wa basi anaona kabisa hapa kuna mlima na kuna kona lakini bado ana ladhimisha kumpita mwenzie bila kujali usalama wa abiria ndani ya basi.
Hapa dreva wa basi anachokifanya ni uvunjaji wa sheria bila hata kujali watu waliondani ya basi hili
Madreva kama awa ni hatari sana kwa usalama wa abiria pata picha hapa nini kingetokea na basi hili la abiria na gari hili ndogo.
10 years ago
Bongo507 Jan
Lulu anajaribu ‘kubreak the Internet’ kibongobongo kwa picha hizi
9 years ago
Bongo Movies24 Nov
Lulu: Mastaa Mtaishia Kuchambana Insta
ZA uso laivu! Staa mwenye mvuto Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa mastaa wengi Bongo wataishia kuchambana kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram badala ya kutafuta elimu ili siku moja wapate nyadhifa serikalini.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Lulu alisema kwamba, amegundua kuwa elimu ndiyo kila kitu hivyo amewasihi mastaa wenzake waache kuchambana na kutuma picha kwenye mitandao ya kijamii badala yake watafute njia ya kujikwamua kielimu.
“Jamani mmemuona...