Picha: Lulu, Mama Kanumba wafuturu na watoto yatima
Msanii wa filamu, Elizabeth ‘Lulu’ Michael, Alhamis ya wiki hii, alienda kufuturu pamoja na watoto yatima wa kituo cja Chakuwama kilichopo Sinza Mori jijini Dar es Salaam. Lulu alimbatana na Mama yake mzazi, Mama Kanumba na Dk Cheni. Hizi ni baadhi ya picha. Lulu akiwa na Mama ambaye ndo mlezi wa kituo hicho Watoto wakipata […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAFUTURU KWA PAMOJA NA WATOTO YATIMA WA MWANDALIWA BUNJU JIJINI DAR


11 years ago
GPL
WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAFUTURU KWA PAMOJA NA WATOTO YATIMA WA MWANDALIWA BUNJU JIJINI DAR
11 years ago
CloudsFM18 Jul
Picha: Lulu Afuturu pamoja na Watoto yatima wa "Chakuwama"






10 years ago
MichuziCHAMA CHA WANAWAKE WANASHERIA TANZANIA(TAWLA) WAFUTURU NA WATOTO YATIMA WA KITUO CHA MWANA VINGUNGUTI JIJINI DAR.
11 years ago
GPL
MAMA LULU, MAMA KANUMBA WAENDA KULA KIAPO
10 years ago
GPL
MAMA KANUMBA: MAMA LULU ANGENIPELEKA JELA
10 years ago
Bongo Movies01 Nov
Mama Kanumba Adai Kutukanwa na Mama Lulu
MAMA wa aliyekuwa staa wa filamu Bongo, Steven Kanumba, Flora Mtegoa amedai kwamba mama wa msanii Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresa Kalugira amemtukana matusi mazito yaliyomsababishia presha na vidonda vya tumbo.
Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, mama Kanumba alisema wiki mbili zilizopita mama Lulu alimpigia simu usiku wa manane na kuanza kumporomoshea matusi na kumtaka aache kumfuatilia na mwanaye.
“Kweli hayo matusi yameniumiza, mpaka sasa ninaumwa kwani presha inapanda kila...
10 years ago
GPL
MAMA KANUMBA, MAMA LULU KIMENUKA!
11 years ago
GPL
LULU AMSHANGAZA MAMA KANUMBA