Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Monalisa Akiwa ‘On Set’ Tangazo Jipya la Comfy

Hizi ni baadhi ya picha za nyuma ya kamera ambazo staa mrembo wa Bongo Movies Yvonne Cherrie ‘Monalisa’ ame –share nasi kupitia ukurasa wake mtandaoni akiwa kwenye utengenezaji wa tangazo la magodoro ya comfy hiyo juzi.

MONALISA213
MONALISA234

MONALISA2341

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Picha ya Mwaka 1997 ya Monalisa Akiwa Mama Yake ‘Natasha Mamvi’, Yawafurahisha Wengi

Picha ya kitambo ya Staa wa bongo Movies, Yvonne Cherrie ‘Monalisa’ akiwa na mama yake mzazi ambaye pia ni staa wa Bongo Movies, Susan Lewis ‘Natasha’ aliyowekwa na Monalisa kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram imewafurahisha mashabiki wao wengi na kutupia komenti za kicheko na kuwasuifia kwa jinsi walivyotokelezea .

Monalisa alibandika picha hiyo hapo juu na kueleza kuwa hiyo ilikuwa ni mwaka 1997.

“Haya nyie si wajuaji wa kucheka?chekeni sasa hadi mchoke,itaneni weeeee...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Monalisa Amewakumbusha Wengi kwa Picha Hii

2003…..Ubatizo wa mtoto wangu wa kwanza Sonia kanisani hapo KKKT USharika wa Yombo Dovya pembeni nipo na baba mtoto aliyekuwa mume wangu ambae sasa ni marehemu George Tyson.
Hii nimependeza jamani msicheke basi.


Monalisa on instagram
 

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Timbwili Mitandaoni, Diamond Akiwa na Zari Huku Wema Akiwa na Ommy

Kweli mafahari wikigombana nyasi ndio uumia! Picha za mwanamziki Diamond akiwa na mpenzi wake Zari  wakiwa ndani ya gari alizoziweka mtandao usiku wa kuamkia leo siku ya wapendanao na kuandika kwa maneno ya lugha ya kingreza kuwa wanaelekea siku ya Valentine “Road to Valentine...”

Zilizua timbwili la maneno miongoni mwa mashabiki wa Diamond ambao walikuwa wakisifia “Project hii” na wale wa Wema  aka TeamWema walikuwa wakiponda na kumshabulia sana mwanadada Zari ikiwemo kumuiga mtindo wa...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Huddah Monroe achefua tena, atupia picha akiwa uc*i kitandani! (18+)

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Mashabiki wamshambulia Nonini baada ya kupost picha ya ‘tbt’ akiwa kwenye pozi za kimahaba na Wahu

Katika ule utaratibu wa watu kupost picha za zamani kwenye mitandao ya kijamii na hashtag ya ‘Throw Back Thursday (TBT) kila siku za Alhamisi , Nonini alipost picha aliyopiga zamani na Wahu wakiwa kwenye pozi za kimahaba, kitendo kilichotafsiriwa tofauti na mashabiki waliodai amemkosea heshima Nameless. Wanamuziki Wahu Kagwi na David Mathenge a.k.a Nameless wa […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Waziri mwanamke wa Jamaica azua mjadala mtandaoni kwa kupost picha akiwa nusu utupu

Waziri wa Vijana na Utamaduni wa Jamaica , Lisa Hannah amezua mjadala kwa kupost picha akiwa amevaa bikini na top yenye picha ya Bob Marley. Lisa ambaye amewahi kuwa Miss World mwaka 1993, alipost picha hiyo kwenye ukurasa wake wa facebook na kusababisha mjadala juu ya picha hiyo, wengine wakisema sio sahihi kwa kiongozi ambaye […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Director Hanscana aanza kuringishia matunda ya kazi yake, apost picha akiwa ametandaza milioni kadhaa

Director Hanscana aliyefanya video mpya ya Vanessa Mdee na Barnaba ‘Siri’ , ameanza kuonesha cheche zinazoashiria kuwa kukaa kwake nyuma ya kamera sasa kumeanza kuzaa matunda. Hanscana (kulia) akiwa na Enos Olik wa Kenya (kushoto) Baada ya kushoot video ya wimbo mpya wa Diamond Platnumz na Khadija Kopa wiki hii, Hanscana amepost picha kadhaa akiringishia […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani