Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Teddy Kalonga ashiriki kwenye kampeni moja na Jennifer Lopez, Jimmy Kimmel na mke wa John Legend, Chrissy Teigen

Aliyewahi kuwa mtangazaji wa EATV, Teddy Kalonga Haight aka TK ambaye kwa sasa anaishi nchini Marekani, ameshiriki kwenye kampeni moja pamaja na mastaa wa Marekani wakiwemo Jennifer Lopez, mtangazaji na mchekeshaji Jimmy Kimmel, mke wa John Legend, Chrissy Teigen na mastaa wengine wa Marekani kwenye kampeni ya Live L.A. Give L.A. Kampeni hiyo inawataka wakazi […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

John Legend, Chrissy watarajia mtoto

John Legend na mkeNEW YORK, MAREKANI

NYOTA wa muziki nchini Marekani, John Legend na mke wake, Chrissy Teigen, wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza.

Wawili hao walifanikiwa kufunga ndoa Septemba 2013, lakini hawakufanikiwa kupata mtoto kwa kipindi kirefu.

“Tuna furaha kubwa kutangaza kwamba tunatarajia kupata mtoto wetu wa kwanza, sio kazi rahisi lakini tunamshukuru Mungu kwa kusikia kilio chetu, tunatarajia kuongeza familia yetu,” alisema Chrissy kupitia akaunti yake ya Instagram.

Mwanamitindo huyo mwenye...

 

9 years ago

Mtanzania

Jennifer Lopez aanika mwili wake

Three Lions Entertainment Presents Fashion Rocks 2014 - ShowLOS ANGELES, MAREKANI

NYOTA wa muziki nchini Marekani, Jennifer Lopez ‘J.Lo’, juzi alishangaza mashabiki wake kutokana na vazi lake alilovaa kwenye utoaji wa tuzo za American Music Awards, ambapo vazi hilo lilionesha sehemu kubwa ya makalio yake.

Hata hivyo, msanii huyo alionekana hana wasi wasi na nguo hiyo, ambapo aliwaambia mashabiki wake kwamba, huo ulikuwa ni usiku wake na ndiyo maana aliamua kuwa tofauti na wengine.

Msanii huyo amekuwa hakauki na matukio, japokuwa umri wake umekwenda...

 

9 years ago

Mtanzania

Video za ngono za Jennifer Lopez kuwekwa hadharani

JLo-Divorce-300x300NEW YORK, MAREKANI

ALIYEWAHI kuwa mume wa msanii nyota nchini Marekani, Jennifer Lopez ‘JLo’, Noa Ojani, amesema anatarajia kuachia video za ngono za mke wake huyo wa zamani.

Video hiyo ilichezwa na wapenzi hao wawili wakati walipokuwa katika uhusiano wa kimapenzi lakini ipo mikononi mwa mwanamume huyo ambaye waliachana miezi 11 tangu kufungwa kwa ndoa yao mwaka 1997.

Pia, Ojani amesema atatoa kopi nyingi za video hiyo ili iweze kusambaa kwa kuwa J. Lo ameshindwa kutimiza
makubaliano yao...

 

10 years ago

Bongo5

New Music Video: Jennifer Lopez ft. Iggy Azalea — Booty

Kabla hata hujaanza kuitazama video ukishaona jina la wimbo lenyewe ni ‘Booty’, lazima utaanza kujenga taswira uliyoiona kwenye video ya Nicki Minaj ‘Anaconda’. Katika video hii mpya Jennifer Lopez na Iggy Azalea wamezitumia vizuri ‘assets’ zao katika kukamilisha maana nzima ya wimbo huu. Itazame

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani