Picha: Utashangaa msichana huyu anavyoweza kulikunja umbo lake
Unaweza kudhani mwili wake hauna mifupa lakini Zlata ni binadamu kama sisi na anayofanya yatakuduwaza.
Zlata ambaye ni raia wa Urusi ametoa kalenda ya mwaka 2016 yenye picha mbalimbali zinazomuonesha akiufanya mwili wake atakavyo.
Tazama picha zaidi.
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo24 Jan
KUTANA NA DONNIE KIPUSA ANAYETIKISA NIGERIA KWA UMBO LAKE HUYU HAPA
![](http://www.newsinnigeria.org/wp-content/uploads/2014/08/Dunnie2.jpg)
![](http://www.newsinnigeria.org/wp-content/uploads/2014/08/Dunnie4.jpg)
![](http://www.newsinnigeria.org/wp-content/uploads/2014/08/Dunnie5.jpg)
![](http://www.newsinnigeria.org/wp-content/uploads/2014/08/Dunnie6.jpg)
10 years ago
Bongo528 Jan
Hutaamini alichopost Youtube msichana huyu wa Kenya kumtongoza Diamond ‘I am ready to start a project with you’
9 years ago
Bongo526 Nov
Vanessa Mdee hujiskiaje akimuona Jux ‘akimbusu’ msichana mwingine kwenye video? Hili ndio jibu lake!
![12230886_926044967480796_2021833105_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12230886_926044967480796_2021833105_n-300x194.jpg)
Ukiwa girlfriend wa mwanamuziki inabidi uliondoe neno ‘wivu’ kwenye kamusi yako kichwani!
Ni kwasababu bila hivyo utaishia kuwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.
Jux ana bahati ya kuwa na girlfriend anayeelewa kuwa muziki ni kazi na wakati mwingine unatakiwa kufanya kile mtu wa kawaida hawezi kufanya.
Vanessa Mdee amepost picha ya Jux ya kile kinachoonekana kama video yake ijayo na wimbo ‘One More Night’ na kuandika sentesi inayomaanisha kuwa pale mpenzi wake anapoonesha kuwapenda wasichana...
10 years ago
Bongo Movies24 May
Andiko la Ray Kuhusu Picha Chafu za Msichana Kwenye ‘Account Fake’ FB
TANGAZO. Wadau katika watu naowaeshimu duniani ni wanawake maaana najua halisi ya mwanamke ni mama zetu wametuweka tumboni miezi 9 kwenye shida na rahaa.
Sasa wacha nirudi kwenye point yangu ya msingi kuna mtu kafungua account fake kwenye facebook nakujiita vicent kigosi kwanza kabisa kulikuwa na utapeli wa yeye mwenye account hiyo fake kwa kusema eti kuwa mimi nahitaji wasanii kwa hiyo alikuwa anawalipisha watu pesa ilo nililikanusha na kuwaambia watanzania kama ni account fake wala sio...
10 years ago
Bongo505 Dec
Kristina Pimenova: Mtoto wa miaka 9 ndiye msichana mrembo zaidi duniani (picha)
9 years ago
Bongo520 Sep
Picha: Huyu ndio Latiffah Nasibu Abdul
9 years ago
Bongo514 Dec
Q-Chief amezama kwa mrembo huyu? (Picha)
![12277431_527519090736493_1118762771_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12277431_527519090736493_1118762771_n-300x194.jpg)
Huenda Q Chief akawa amezama kwenye penzi zito na mrembo huyu na anataka kila mtu ajue.
Mwimbaji huyo aliyeachia wimbo ‘Mkungu wa Ndizi’ hivi baribuni akiwa na TID, aliposti picha katika mtandao wa Instagram akila denda na msichana huyo.
Hivi karibuni Q Chief alinukuliwa na vyombo vya habari akisema, ameamua kuingia kwenye maisha ya ndoa baada ya kuona mwanamke aliye naye ameweza kumsaidia kumuondoa katika matatizo yaliyokuwa yakimkabili.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi...