PICHA: WASANII WAMUAGA RAIS KIKWETE
![](http://3.bp.blogspot.com/-xrejKDXM2g0/VcQb5z7850I/AAAAAAAHu_g/8RImiSTUD08/s72-c/1.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Jakaya Kikwete akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali (hawapo pichani),waliofika ndani ya ukumbi wa Mlimani City katika hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na Muungano wa Wasanii kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia tangu alivyoingia madarakani kwa miaka 10 na pia kumtambulisha Mgombea wa Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli,Dkt Jakaya Kikwete alizungumza mambo mbalimbali zikiwemo haki na hatimiliki za...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog07 Aug
Wasanii wamuaga Dr. Jakaya Kikwete na kumkaribisha Dr. John Pombe Magufuli Mlimani City
Rais Dr. Jakaya Kikwete akifurahia jambo na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli kupitia CCM wakati alipowasili Mlimani City jijini Dar es salaam kwa ajili ya kushiriki hafla ya chakula cha jioni kilichondaliwa na Muungano wa wasanii Kumshukuru Mh. Dr. Jakaya Kikwete kwa jinsi alivyowasaidia katika uongozi wake wa miaka 10 kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Kumkaribisha Mgombea wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe...
11 years ago
CloudsFM16 Jun
Picha: Mh. Rais Kikwete alipowaalika Wasanii chakula cha jioni IKULU ndogo Dodoma, #TanzaniaNaiaminia
![](http://4.bp.blogspot.com/-9WikTilW0VE/U537n7zqK-I/AAAAAAAAFFA/Zis5C3NPlGU/s1600/Mpoto+1+copy.jpg)
#TanzaniaNaiaminia
![](http://4.bp.blogspot.com/-M7CIZMvFeAg/U537icpfb5I/AAAAAAAAFE8/Vip3wEfEQcg/s1600/Kadinda%252C+Baby+an+Ommy+copy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DuXcw6gdhHM/U537XazH-LI/AAAAAAAAFEk/B1HT78Ei_gI/s1600/Izzo%252C+Perfect+an+Quick+copy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-itGX_OLSMAM/U537-_ypl8I/AAAAAAAAFFc/t_bdjsu9sWY/s1600/Uwoya%252C+Johari.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hkyVFzqn1Zw/U537ah_TGaI/AAAAAAAAFEs/vkWdoaYhstA/s1600/Jb.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zYVLYn3ko_w/U53751O3l1I/AAAAAAAAFFU/GXmx9e8yuDY/s1600/Shilole+an+Mziwanda.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rti-jlB17QY/U537U4xINYI/AAAAAAAAFEU/bCfEcOkayX8/s1600/Fauzia+2+copy.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-C5J-v2XNSAI/U537yY2wpYI/AAAAAAAAFFM/fkazfl6HUKE/s1600/Queen+copy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7M0_e9IIeLA/U538I4T3WMI/AAAAAAAAFFs/BsF2FZq-f9o/s1600/Wolper+copy.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ADC1Qhv9MPA/U538ELZjnVI/AAAAAAAAFFk/r2zjRBrVEsM/s1600/Wolper+an+Kajala.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-d6Lp0wumc2Q/U537XWYkW5I/AAAAAAAAFEg/dA1QgUCiToU/s1600/G+copy.jpg)
9 years ago
MichuziWATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE WAMUAGA RAIS KIKWETE
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
VijimamboMabalozi India,Ubelgiji na Sweden wamuaga Rais Kikwete ikulu
Mabalozi walioagana na Rais leo ikulu jijini Dar es Salaam ni pamoja na Mhe.Debnath Shaw wa India,Balozi Koenraad Adam wa Ubelgiji na balozi Lennarth Hjelmaker wa Sweden.
11 years ago
CloudsFM15 Jun
Picha ya pamoja Mh. Rais na Wasanii...
Picha ya pamoja Mh. Rais na Wasanii kwenye uwanja wa Jamhuri, #TanzaniaNaiaminia
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/pBXF_V9p8ms/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Zjo7a7NFGXg/U57oeyhwvLI/AAAAAAAFrA0/Pw-4R9EUZ_g/s72-c/unnamed+(11).jpg)
Rais Kikwete ateta na Wasanii Dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-Zjo7a7NFGXg/U57oeyhwvLI/AAAAAAAFrA0/Pw-4R9EUZ_g/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-h74Ya0AXuJc/U57ofJjMiCI/AAAAAAAFrA4/QFCwwkABsI4/s1600/unnamed+(12).jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 Aug
Umoja wa wasanii wa fani mbalimbali wamuaga JK, wamtangaza kuwa shujaa wa sanaa ya muziki nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-xrejKDXM2g0/VcQb5z7850I/AAAAAAAHu_g/8RImiSTUD08/s640/1.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali (hawapo pichani),waliofika ndani ya ukumbi wa Mlimani City katika hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na Muungano wa Wasanii kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia tangu alivyoingia madarakani kwa miaka 10 na pia kumtambulisha Mgombea wa Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli,Dkt Jakaya Kikwete alizungumza mambo mbalimbali zikiwemo haki na hatimiliki za wasanii wa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CRSBBUYH96I/U8VBgUGq5MI/AAAAAAAF2bU/_x2uN0W2dqs/s72-c/jk1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA WASANII KUTOKA MAREKANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-CRSBBUYH96I/U8VBgUGq5MI/AAAAAAAF2bU/_x2uN0W2dqs/s1600/jk1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-s12-OBG1Qyc/U8VBia7EcSI/AAAAAAAF2bg/P63aa2LrdeU/s1600/jk11.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na wasanii nyota wa filamu na muziki kutoka Marekani walioko nchini kwa ziara ya kutoa mafunzo kwa wasanii wa Tanzania. Wasanii hao ni na Terrence J. Jenkins, mwendeshaji wa kipindi cha muziki kwenye televisheni ya E! Entertainment (wa pili kulia) Chaka Zulu, Mtendaji wa Shughuli za Muziki kutoka Kampuni ya Disturbing The Peace Records (wa pili kushoto) na Davis Banner, mwigizaji, mwanamuziki, mtunzi na msimamizi wa shughuli za muziki ambaye amepata...