Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha ya pamoja Mh. Rais na Wasanii...

Picha ya pamoja Mh. Rais na Wasanii kwenye uwanja wa Jamhuri, #TanzaniaNaiaminia

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

PICHA: WASANII WAMUAGA RAIS KIKWETE

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Jakaya Kikwete akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali (hawapo pichani),waliofika ndani ya ukumbi wa Mlimani City  katika hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na Muungano wa Wasanii kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia tangu alivyoingia madarakani kwa miaka 10 na pia kumtambulisha Mgombea wa Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli,Dkt Jakaya Kikwete alizungumza mambo mbalimbali zikiwemo haki na hatimiliki za...

 

11 years ago

CloudsFM

Picha: Mh. Rais Kikwete alipowaalika Wasanii chakula cha jioni IKULU ndogo Dodoma, #TanzaniaNaiaminia

Mh. Rais Kikwete akiwaalika wasanii kujumuika nae chakula cha jioni IKULU ndogo mjini Dodoma, baada ya kumaliza uzinduzi wa video ya #TUULINDE amabapo ndani yake wameimba wasanii zaidi ya 15....
#TanzaniaNaiaminia Martin Kadinda, Baby J an Dimpoz Perfect, Izzo B an Quick.... Uwoya, Shamsha an Johari... Jb Shilole an Nuh Mziwanda Fauzia an G... Queen Darleen Wolper... Wolper an Kajala Gerald Hando an Ruge...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Wema Sepetu na Penny wamaliza tofauti zao, wakumbatiana na kupiga picha pamoja

Hatimaye mpenzi wa sasa (Wema) na mpenzi wa zamani (Penny) wa msanii wa Bongo fleva Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platnumz wamemaliza tofauti zao zilizotokana na ‘penzi’ la hit maker huyo wa ‘Number 1’. Penny, Junaithar aliyewapatanisha, na Wema Muigizaji wa Bongo Movie Wema Sepetu na mtangazaji wa E-FM Penny Mungilwa a.k.a VJ Penny walikutana usiku […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasanii kuangusha shoo ya pamoja Bills

WASANII mbalimbali wameamua kufanya shoo ya aina yake itakayofanyika leo katika Ukumbi wa kimataifa wa Club Bilicanas uliopo katikati ya Jiji la Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa zilizoifikia...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA YA PAMOJA

Mpwa akiwa katika picha ya pamoja na maharusi George na Sandra kwenye harusi yao iliyofanyika siku ya Jumamosi July 4, 2015 jijini Dallas, Texas.

 

10 years ago

Habarileo

Waziri akataa picha ya pamoja na walimu

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tamisemi, Hawa GhasiaWAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia, amewawekea ngumu walimu wa Shule ya Sekondari Mafiga ya Manispaa ya Morogoro kupiga nao picha ya ukumbusho.

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA YA PAMOJA NDANI YA DALLAS, TEXAS

Gloria Padmore akiwa katika picha ya pamoja na Mpwa siku ya Jumamosi July 4, 2015 jijini Dallas Gloria alipokutana na Mpwa kwenye harusi ya Sandra na George

 

11 years ago

Michuzi

Rais kikwete akutana na Makamu wa Rais wa China pamoja na Mmiliki wa kampuni ya Dangote

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisisitiza jambo wakati akizungumza na makamu wa Rais wa Jamhuri  ya Watu wa China Mh. Li Yuanchao ikulu jijini Dar es Salaam leo. -Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na mmiliki wa kampuni kubwa ya kuzalisha saruji DANGOTE Industries Ltd Alhaji Aliko Dangote ikulu jijini Dar es Salaam leo  (picha na Freddy Maro)

 

10 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA MASOKO, NEC, OSIEA PAMOJA NA WASANII WAZINDUA KAMPENI YA KUHAMASISHA UPIGAJI KURA

 Mmoja wa Wakurugenzi wa Kampuni ya Masoko inayojihusisha na masuala ya mawasiliano na masoko, Conctantine Magavila (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, wakati wa uzinduzi wa kampeni maalumu ya kuhamasisha vijana kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura na hatimaye kupiga kura ilijulikanayo kama 'Kuradili". Kampuni hiyo itafanya kampeni hiyo katika mikoa kadhaa kwa kushiriakiana na  Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Shirika la Open...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani