Picha: Weusi waacha historia Arusha, Joh Makini azungumza
Kwa zaidi ya miaka miwili wapenzi wa muziki jijini Arusha hawajashuhudia shangwe za Fiesta, lakini Jumamosi, November 1, Weusi walifanikiwa kuwapa show yenye ukubwa unaokaribiana na tamasha hilo la kila mwaka. Wakiandaa wao wenyewe, Weusi walifanikisha kuvutia nyomi la kutosha kwenye uwanja wa Triple A jijini Arusha. “Mungu ametuonesha kwamba tunaweza kufanya makubwa zaidi ya […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Exclusive: Uliyokua huyajui ya Joh Makini alivyomfata A.K.A , Davido na wanaosema WEUSI wanapendelewa
Rapper Joh Makini kutoka kwenye headlines za hiphop Tanzania alikutana na reporter wako wa nguvu Millard Ayo kwenye Exclusive Interview akaongelea kolabo yake na A.K.A na jinsi alivyojihami kama A.K.A asingetokea kwenye video, wanaosema WEUSI wanapendelewa, anamuhitaji nani mwingine kwenye kolabo na mengine mengi kwenye hii video hapa chini… Unataka kutumiwa MSG za habari zote […]
The post Exclusive: Uliyokua huyajui ya Joh Makini alivyomfata A.K.A , Davido na wanaosema WEUSI wanapendelewa...
9 years ago
Bongo525 Aug
Weusi washoot video 2 mpya na Justin Campos, Afrika Kusini. Moja ni ya Joh Makini na nyingine ya G-Nako
10 years ago
Bongo519 Oct
Picha: T.I, Davido, Waje na wengine waacha historia Serengeti Fiesta Dar 2014
10 years ago
GPLSHOO YA JOH MAKINI NDANI YA JEMBE NI JEMBE, MWANZA YAACHA HISTORIA
11 years ago
Bongo507 Jul
Picha: Joh Makini ala shavu la Coke Studio Africa, ataperform na Chidinma wa Nigeria
9 years ago
MillardAyo24 Dec
TBT:Picha 7 za Joh Makini, Quick Rocka, Vanessa Mdee, Roma, Shilole, Joti na Flaviana Matata…enzi hizo
Ni TBT!! Throwing back thursday ambapo huwa tunaitumia hii siku kushare zile picha zetu za zamani ambapo kwenye millardayo.com kila wiki tutakua tunakuletea picha mbalimbali za mastaa wakiwa kwenye pozi miaka kadhaa iliyopita. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line yatiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa […]
The post TBT:Picha 7 za Joh Makini, Quick Rocka, Vanessa Mdee, Roma, Shilole, Joti na Flaviana Matata…enzi hizo appeared first on...
9 years ago
Bongo514 Nov
Unapenda kufahamu collabo ya Joh Makini na Davido imefikia wapi? Joh afunguka
![joh davido](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/joh-davido-300x194.jpg)
Kama unawasiwasi juu akiba ya collabo za kimataifa alizonazo John Simon Mseke a.k.a Joh Makini, ondoa hofu kwasababu ile collabo yake na nyota wa Nigeria, David Adedeji Adeleke a.k.a DaVIDO imeshaingizwa kwenye computer ya studio ya The Industry.
Davido anamkubali sana Joh Makini, na alithibitisha hilo September 18, 2015 alipovujisha taarifa ambayo muda wake ulikuwa bado, kuhusu yeye na rapper wa ‘Don’t Bother’, Joh Makini kufanya collabo.
Bongo5 ilipomtafuta Joh Makini wakati huo...
5 years ago
Bongo Movies02 Mar
VideoMPYA: Nikki wa II ft. Joh Makini & S2kizzy ‘hesabu’ Joh Mwalimu.. Wanafunzi ni Ebitoke, Ben Pol, Quick na wengine
Unakaribishwa kuitazama ngoma mpya ya Nikki wa Pili ambayo amewashirikisha Joh Makini na S2Kizzy inaitwa ‘hesabu’ ambapo humo ndani Joh Makini amecheza kama Mwalimu huku Wanafunzi darasani wakiwa ni Ebitoke, Ben Pol, Quick Rocka, Linah na wengine
11 years ago
GPL25 Jun