Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha:Miss U.S.A 2015 — Olivia Jordan kutoka Oklahoma

uJana July 12 katika jiji la Baton Rouge nchini marekani lilifanyika tukio kubwa la kumsaka mrembo wa kuiwakilisha USA kwa mwaka 2015 ambapo mwana dada Olivia ndie aliibuka mshindi kwa kuchukua tuzo ya heshima ya kuwa miss Usa mwaka 2015.

wadhifa wa miss Olivia pia ni muigizaji maarufu katia series tofauti tofati ambazo pia zimefanya vizuri.Olivia Jordan mwenye umri wa miaka 26 ushindi wake unalinganishwa na mwana dada Sancez 25 ambae alitwaa taji hilo mwaka jana.Washiriki walikuwa ni wengi...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Miss Universe 2015: Mc amtangaza Miss Colombia kimakosa kuwa mshindi, na baadaye kumvua taji na kumvisha mshindi halali Miss Philippines (Video/Picha)

miss universe1

Shindano la kumtafuta Miss Universe 2015 limefanyika Jumapili Dec.19 huko Hollywood, Marekani, ambapo Pia Alonzo Wurtzbach wa Philippines alitangazwa mshindi.

miss universe1
Miss Universe 2015 Pia Alonzo

Kabla ya Pia kutangazwa mshindi ilijitokeza hali ya sintofahamu, pale ambapo Mc wa tukio hilo Steve Harvey alipomtangaza kimakosa Miss Colombia kuwa ndio mshindi na kuvishwa kabisa taji.

miss colombia

Kwa dakika kadhaa Miss Colombia alikaa na taji hilo huku akipunga bendera ya nchi yake akionekana mwenye furaha.

miss universe-2
Miss...

 

9 years ago

Vijimambo

10 years ago

Bongo5

Philadelphia 76ers wamnunua Hasheem Thabeet kutoka Oklahoma City Thunder, lakini..

Oklahoma City Thunder wamemuuza Hasheem Thabeet kwa timu ya Philadelphia 76ers. Vyanzo vinadai kuwa mabadilishano hayo yaliyofanyika Jumanne hii yataifanya Sixers kupata kile kiitwacho ‘cash considerations’ kuchukua mkataba wa Thabeet. Sixers, wanadaiwa kuwa watamwacha Thabeet mapema na Oklahoma City itaokoa kiasi cha dola milioni 1.25 kwa kumuuza Thabeet bila kuchukua mshahara wowote. Thabeet hatarajiwi kuwa […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Picha ya Lorraine Marriot -Miss Universe Tanzania 2015 akiwa Las Vegas

photographer_uploaded_1_79_0_1449785611_2015

Picha rasmi ya Lorraine Marriot – Mwakilishi wetu katika mashindano ya Miss Universe yanayofanyika Las Vegas nchini Marekani. (Picha imepigwa na Fadil Berisha).

 

9 years ago

Dewji Blog

Pia Alonzo kutoka Ufilipino ashinda taji la Miss Universe 2015

CWulpSyUkAQPa2y

Miss Universe wa Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach katika picha ya pamoja washiriki wenzake wa Miss Universe 2015 baada ya kuvikwa taji hilo.(Picha kwa hisani ya @MissUniverse).

pia-alonso-miss-universe-philippines-winner-five-things-to-know-ftr-600x901

Miss Universe wa Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach.

CWt_6bSUkAE_O-F

Miss Universe wa Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach katika ubora wake.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Miss Universe wa Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach ameshinda taji la Miss Universe 2015 katika fainali ya mashindano hayo yamefanyika usiku wa jumapili, Planet Hollywood Las...

 

9 years ago

Dewji Blog

Miss Tanzania USA 2015-2016 Aeesha Kamara ashinda kuwa Cover Girl kwenye kalenda ya Miss Africa USA 2015-2016

Miss Tanzania USA 2015-2016 Aeesha Kamara (kushoto) akiibuka mshindi na kuwa Cover Girl kwenye Kalenda ya Miss Africa USA 2015-2016 shindano ililofanyika New York siku ya Jumamosi Novemba 28, 2015.

Mamiss wengine walioshiriki shindano hilo wakipita mbele ya majaji.

Wadau wakipata picha na mamiss wakati mratibu wa mashindano ya miss Africa Lady Kate alipokua akitangaza shindi.

Ma Winny Casey (gauni jeusi) pamoja na Lady Kate (mwenye miwani) wakiwa na mamiss.

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Wema Sepetu aivaa jezi ya Michael Jordan (23), asherehekea Eid na shemejiye, Dimpoz

Wema Sepetu ni shabiki wa mchezaji wa zamani wa kikapu wa timu ya Chicago Bulls, Michael Jordan? Mapenzi yake kwa mchezaji kikapu huyo tajiri, yameonekana kwenye picha alizopiga wiki hii (kama sio Jumanne hii) akiwa amevaa jezi nyeupe ya Chicago Bulls yenye namba 23, namba aliyokuwa akitumia Jordan. Jezi hiyo imempenza zaidi Mrs Naseeb baada […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Video vixen wa video ya Sauti Sol ‘Shake Yo Bam Bam’ ashinda Miss World Kenya 2015

Kama ilivyokuwa kwa mrembo wa Tanzania, Carolyne Benard aliyekuwa video vixen kwenye video ya Damian Soul ‘Ni Penzi’ na baadaye kuja kushinda taji la Miss Universe TZ 2014 (ingia hapa), video vixen wa video ya Sauti Sol ‘Shake Yo Bambam, Charity Mwangi naye ameshinda taji la Miss World Kenya 2015. Charity katikati (kwenye video ya […]

 

10 years ago

GPL

MISS COLOMBIA PAULINA VEGA ATWAA TAJI LA MISS UNIVERSE 2015, UMATI WAZOMEA

Miss Colombia, Paulina Vega baada ya kuvishwa taji la Miss Universe 2015. Miss Jamaica Kaci Fennell (22) aliyetarajiwa na wengi kutwaa taji hilo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani