Picha:Miss U.S.A 2015 — Olivia Jordan kutoka Oklahoma
Jana July 12 katika jiji la Baton Rouge nchini marekani lilifanyika tukio kubwa la kumsaka mrembo wa kuiwakilisha USA kwa mwaka 2015 ambapo mwana dada Olivia ndie aliibuka mshindi kwa kuchukua tuzo ya heshima ya kuwa miss Usa mwaka 2015.
wadhifa wa miss Olivia pia ni muigizaji maarufu katia series tofauti tofati ambazo pia zimefanya vizuri.Olivia Jordan mwenye umri wa miaka 26 ushindi wake unalinganishwa na mwana dada Sancez 25 ambae alitwaa taji hilo mwaka jana.Washiriki walikuwa ni wengi...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo521 Dec
Miss Universe 2015: Mc amtangaza Miss Colombia kimakosa kuwa mshindi, na baadaye kumvua taji na kumvisha mshindi halali Miss Philippines (Video/Picha)
![miss universe1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/miss-universe1-300x194.jpg)
Shindano la kumtafuta Miss Universe 2015 limefanyika Jumapili Dec.19 huko Hollywood, Marekani, ambapo Pia Alonzo Wurtzbach wa Philippines alitangazwa mshindi.
Miss Universe 2015 Pia Alonzo
Kabla ya Pia kutangazwa mshindi ilijitokeza hali ya sintofahamu, pale ambapo Mc wa tukio hilo Steve Harvey alipomtangaza kimakosa Miss Colombia kuwa ndio mshindi na kuvishwa kabisa taji.
Kwa dakika kadhaa Miss Colombia alikaa na taji hilo huku akipunga bendera ya nchi yake akionekana mwenye furaha.
Miss...
9 years ago
Vijimambo07 Sep
10 years ago
Bongo527 Aug
Philadelphia 76ers wamnunua Hasheem Thabeet kutoka Oklahoma City Thunder, lakini..
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Picha ya Lorraine Marriot -Miss Universe Tanzania 2015 akiwa Las Vegas
Picha rasmi ya Lorraine Marriot – Mwakilishi wetu katika mashindano ya Miss Universe yanayofanyika Las Vegas nchini Marekani. (Picha imepigwa na Fadil Berisha).
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Pia Alonzo kutoka Ufilipino ashinda taji la Miss Universe 2015
Miss Universe wa Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach katika picha ya pamoja washiriki wenzake wa Miss Universe 2015 baada ya kuvikwa taji hilo.(Picha kwa hisani ya @MissUniverse).
Miss Universe wa Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach.
Miss Universe wa Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach katika ubora wake.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Miss Universe wa Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach ameshinda taji la Miss Universe 2015 katika fainali ya mashindano hayo yamefanyika usiku wa jumapili, Planet Hollywood Las...
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Miss Tanzania USA 2015-2016 Aeesha Kamara ashinda kuwa Cover Girl kwenye kalenda ya Miss Africa USA 2015-2016
![](http://1.bp.blogspot.com/-VYvD1cQL68I/Vl0Hwko5TII/AAAAAAAEHX8/PDfYs9mIjwo/s640/12274298_1690775631145762_1039428417739292760_n.jpg)
Miss Tanzania USA 2015-2016 Aeesha Kamara (kushoto) akiibuka mshindi na kuwa Cover Girl kwenye Kalenda ya Miss Africa USA 2015-2016 shindano ililofanyika New York siku ya Jumamosi Novemba 28, 2015.
Mamiss wengine walioshiriki shindano hilo wakipita mbele ya majaji.
Wadau wakipata picha na mamiss wakati mratibu wa mashindano ya miss Africa Lady Kate alipokua akitangaza shindi.
Ma Winny Casey (gauni jeusi) pamoja na Lady Kate (mwenye miwani) wakiwa na mamiss.
11 years ago
Bongo529 Jul
Picha: Wema Sepetu aivaa jezi ya Michael Jordan (23), asherehekea Eid na shemejiye, Dimpoz
9 years ago
Bongo521 Oct
Picha: Video vixen wa video ya Sauti Sol ‘Shake Yo Bam Bam’ ashinda Miss World Kenya 2015
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FXkXptW89jJ*T8rGAetlkdYmKrh6Dh8GIiM*7NI0CSIo4f5Hh-V*GYUqUULgEFNLIzFraP8Q6cKdy9em0n96ncG-7aLFHRQh/1.jpg?width=650)
MISS COLOMBIA PAULINA VEGA ATWAA TAJI LA MISS UNIVERSE 2015, UMATI WAZOMEA