Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda afungua mkutano wa PACF — Bagamoyo

PG4A0144

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama dawa mbali mbali  zilizotengenezwa kwa kutumia Karafuu kabla ya kufungua  mkutano wa Pan African Competitiveness Forum (PACF)  kwenye hoteli ya Stella Maris mjini Bagamoyo August 13, 2014. Kulia ni Waziri wa Sayansi na Tekinolojia  Profesa Makame Mbarawa. (Picha na Ofisi ya Wairi Mkuu). PG4A0218 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu  Mahiza (kushoto) na Waziri wa Sayansi na Tekinolojia, Profesa  Makame Mbarawa baada ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

PINDA AFUNGUA MKUTANO WA PACF- BAGAMOYO, AADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA

  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama dawa mbali mbali  zilizotengenezwa kwa kutumia Karafuu kabla ya kufungua  mkutano wa Pan African Competitiveness  Forum (PACF)  kwenye hoteli ya Stella Maris mjini Bagamoyo leo Agosti 13, 2014. Kulia ni Waziri wa Sayansi na Tekinolojia  Profesa Makame Mbarawa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu  Mahiza (kushoto) na Waziri wa Sayansi na Tekinoloji, Profesa  Makame Mbarawa baada ya kufungua Mkutano wa Mwaka wa  Pan...

 

10 years ago

Dewji Blog

PINDA afungua mkutano wa REPOA

PG4A7202

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifunga Mkutano wa Taasisi ya Research  on Poverty Alleviation in Tanzania  (REPOA) kwenye hoteli ya Bahari Beach Jijini Dar es salaam Machi 25, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A7205

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda afungua mkutano wa afya Dar

PG4A9958

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua mkutano mkuu wa mwaka wa Afya (Annual Health Summit ) kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Julis Nyerere jijini Dar es salaam Novemba 14, 2014. (Picha na Ofisi ya Wazri Mkuu)

PG4A9973

Baadhi ya washiriki wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Afya (Annual Health Summit ) wakimsikiliza Waziri Mkuu,Mizengo Pinda wakati alipofungua mkutano wao kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam Novemba 14, 2014. (Picha na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Pinda afungua mkutano wa mabasi yaendayo kasi

PG4A1223

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akifungua Mkurano wa Majadiliano wa Kutangaza Mradi wa Mabasi yaendayo haraka (Dar Rapid Transit) kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam,  Juni 3, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A1241

 Waziri Mkuu,, Mizengo Pinda akizungumza na   Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia nchini, Bw. Philippe Dongier baada ya kufungua  Mkutano waMajadiliano wa kutangaza Mradi wa Mabasi yaendayo  haraka kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam.

PG4A1269

Waziri Mkuu,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda afungua mkutano wa magavana wa benki ya PTA

PG4A2627 1

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua mkutano wa Bodi ya Magavana wa Benki ya  Maendeleo ya Biashara, Mashariki na Kusini mwa Afrika (PTA) kwenye kituo cha Mikutano cha Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaaam August 22, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda afungua mkutano wa tano wa wadau wa NSSF

IMGL7668

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua mkutano wa tano wa wadau wa Mfuko wa Hifadhi za Jamii wa  NSSF kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), Juni 2, 2015. Wengine kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Felix Tibenda, Mkurugenzi Mkuu wa NSSF ,Dr. Ramadhani Dau na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya NSSF Abubakari Rajab. (Picha na Ofisi ya Wziri Mkuu).

IMGL7676

Baadhi ya washiriki wa mkutano wa tano wa Mfuko wa hifadhi ya jamii, NSSF wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo PInda wakati...

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA PWANI BI. MWANTUMU MAHIZA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA UCHUKUZI MJINI BAGAMOYO

 Mwenyekiti wa Baraza, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, akitoa hotuba ya utangulizi kabla ya Mkuu wa mkoa wa Pwani, B. Mwantumu Mahiza hajafungua rasmi Baraza la Wafanyakazi la Wizara ya Uchukuzi, lililofanyika mjini Bagamoyo katika hoteli ya Millenium Beach Resort, leo asubuhi.

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Bi. Mwantumu Mahiza akitoa hotuba wakati akifungua Baraza la Wafanyakazi la Wizara ya Uchukuzi, lililofanyika mjini Bagamoyo, leo asubuhi katika Hoteli ya Millenium Beach...

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda afungua mkutano wa chama cha wafanyakazi wa vyuo

PG4A2510

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimaiana na Mwenyekiti wa  Wanawake  wa Chama cha Wafanyakazi wa Vyuo  vya Elimu ya Juu  (THTU) Leah  Ntara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro  kwa ajili ya kufungua mkutano wa Baraza Kuu la Pili la THTU kwenye Hoteli ya Naura Spring mjini Arusha August 21, 2014.Katikati ni Mwenyekiti wa THTU, Yusufu Singo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A2520

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua mkutano Mkuu wa Pili wa Chama cha Wafanyakazi wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

PINDA afungua mkutano wa nne wa mfuko wa PSPF — Dodoma

PG4A1227

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Nne wa PSPF  baada   ya kufangua mkutano huo kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma  Februari  18, 2015.

PG4A1225

PG4A1153

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi Tuzo  Kaimu Mkurugenzi  Msaidizi  wa Rasirimaliwatu, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ernest Maalugu, ikiwa ni heshima kwa wizara  hiyo kutokana na umakini wa hali ya juu katika kuwasilisha makto ya michango ya watumishi  wake kwa Mfuko wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani