Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda akagua dawati la bei nafuu na imara

PG4A0989

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua dawati  lenye ubora uliothibitishwa na Shirika la Viwango Tanzania lililouiniwa na kutengenezwa na Kampuni ya EDOSAMA HARDWARE ya jijini Dar es salaam, ofisini kwake Februari 16, 2015. Dawati hilo linalotengenezwa kwa mbao laini ambazo zimebanwa  bila kutumia misumari linakadiriwa kugharimu sh. 80,000/=. Wengine pichani  kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Eric Shigogo, Mkuu wa Idara ya Mikopo ya Benki ya TIB, Masanja Kungu, Ofisa Mazingira,...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AKAGUA DAWATI LA BEI NAFUU NA IMARA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua dawati lenye ubora uliothibitishwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) lililobuniwa na kutengenezwa na Kampuni ya EDOSAMA HARDWARE ya jijini Dar es salaam. Dawati hilo linalotengenezwa kwa mbao laini ambazo zimebanwa bila kutumia misumari linakadiriwa kugharimu sh. 80,000/=. Wengine pichani kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Eric Shigogo, Mkuu wa Idara ya Mikopo ya Benki ya TIB, Masanja Kungu, na Mkurugrnzi Msaidizi wa Kampuni hiyo,Edward...

 

9 years ago

GPL

11 years ago

GPL

MZIGO MPYA - NGUO ZA KIKE - BEI NAFUU

NEW ARRIVALS!! MZIGO MPYA!! Tuna Mzigo mpya Dukani kwetu.. Blouse, Trousers, Vikoti, Jeans, Hot-pants ni 15,000; Magauni: Marefu 30,000/= Mafupi 20,000; Viatu: Flats 25,000/= Heels 50,000/= Raba 45,000 & Handbags 40,000/= SIMU: 0774801316, Tupo Kijitonyama karibu na Police Mabatini. Tembelea www.facebook.com/SachquesClothingStore kuona nguo zaidi.… ...

 

9 years ago

Global Publishers

Magari haya yanauzwa kwa bei nafuu

TOYOTA AVENSES (3) TOYOTA AVENSES (2) TOYOTA AVENSES (1)
TOYOTA AVENSIS 1.9 CC

DIESEL ENGINE

MODEL 2005 MANUAL

THE CAR IS IN DAR ES SALAAM JUST IMPORTED FROM U.K LONDON

PRICE T.SH. 7.5 MILLION

CONTACTS:  +255 718 030 320

                          +255 774 659 895

 

LAND ROVER DISCOVERY TD5 (2) LAND ROVER DISCOVERY TD5 (1)

LAND ROVER DISCOVERY TD5

MODEL 2004 PICK UP AUTOMATIC

GEAR BOX DIESEL

PRICE 17 MILLION

THE CAR IS IN ZANZIBAR BUT WE CAN ARRANGE SHIPPING IT TO ANYWHERE

CONTACTS:  +255 718 030 320

                          +255 774 659...

 

10 years ago

Mwananchi

Ninaposhindwa kuelewa maana ya nyumba za bei nafuu

>Kama kuna msamiati mgumu kwangu, ni huu ninaousikia na kuusoma mara kwa mara kuwa kuna nyumba za bei nafuu hapa nchini.

 

10 years ago

Habarileo

JK aagiza NHC wajenge nyumba za bei nafuu

RAIS Jakaya Kikwete ametaka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kuangalia uwezekano wa kujenga nyumba za gharama nafuu zaidi, ili kuwezesha hata wenye kipato cha chini kukopa na kuishi kwenye makazi bora.

 

11 years ago

Mwananchi

Huduma za afya zitolewe kwa bei nafuu -Dk Rashid

>Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid amezitaka Taasisi na sekta binafsi zinazotoa huduma ya afya, kutoa kwa gharama nafuu ili kila mwananchi aweze kupata matibabu kwa usawa.

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AZINDUA NYUMBA ZA BEI NAFUU MKINGA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi nyumba za bei nafuu zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa( National Housing) huko Wilayani Mkinga,Mkoa wa Tanga jana.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na huduma kwa jamii Cha Shirika la Nyumba la Taifa (National Housing) Bi.Susan Omari(kushoto) akitoa maelezo na kisha kukabidhi kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete mashine za kutengeneza matofali aina ya Hydraform...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani