Ninaposhindwa kuelewa maana ya nyumba za bei nafuu
>Kama kuna msamiati mgumu kwangu, ni huu ninaousikia na kuusoma mara kwa mara kuwa kuna nyumba za bei nafuu hapa nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Sep
JK aagiza NHC wajenge nyumba za bei nafuu
RAIS Jakaya Kikwete ametaka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kuangalia uwezekano wa kujenga nyumba za gharama nafuu zaidi, ili kuwezesha hata wenye kipato cha chini kukopa na kuishi kwenye makazi bora.
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-YLuPHg7A_cY/U7-ah4sD4DI/AAAAAAAF03o/sRLAlPKri8U/s1600/D92A9346.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AZINDUA NYUMBA ZA BEI NAFUU MKINGA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YLuPHg7A_cY/U7-ah4sD4DI/AAAAAAAF03o/sRLAlPKri8U/s72-c/D92A9346.jpg)
Rais Kikwete azindua nyumba za bei nafuu Mkinga
![](http://4.bp.blogspot.com/-YLuPHg7A_cY/U7-ah4sD4DI/AAAAAAAF03o/sRLAlPKri8U/s1600/D92A9346.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o73Yx6WtfvI/U7-an1rkzDI/AAAAAAAF03w/k1pFxoflaiA/s1600/D92A9364.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Mar
Waziri Lukuvi azindua nyumba za bei nafuu za NHC Longido
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi akipewa na Mkurugenzi Mkuu wa NHC maelezo ya uendelezaji wa eneo la Usa-river lililonunuliwa na NHC kwa ajili ya kujenga Jiji la kisasa hapo jana.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Williama Vangimembe Lukuvi jana alifungua nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na NHC Wilayani Longido na kuwataka wananchi kununua nyumba hizo ili NHC iweze kujenga zingine kusaidia Wilaya hiyo kupata makazi...
10 years ago
MichuziMwenyekiti wa Shirika la Nyumba la Serikali ya Dubai atembelea mradi wa nyumba za gharama nafuu Kigamboni
10 years ago
Michuzi01 Jun
WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI AWEKA JIWE LA MSINGI NYUMBA 50 ZA GHARAMA NAFUU ZA NHC MJINI KAHAMA
![New Picture (7)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/New-Picture-7.png)
![New Picture (2)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/New-Picture-2.png)
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/1.png)
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/New-Picture-7.png)
WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI AWEKA JIWE LA MSINGI NYUMBA 50 ZA GHARAMA NAFUU ZA NHC MJINI KAHAMA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zYvUvcLXovBEWeWukIaOyMzU-S-3R8bkNXhuZ5N0zvNgKwjH-ctkhEmdGw*y-QfRCOY8gSWO5M4htjw1Ztv88UkYF9lZqtIl/vyoo.gif?width=550)
10 years ago
Dewji Blog16 Feb
Pinda akagua dawati la bei nafuu na imara
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua dawati lenye ubora uliothibitishwa na Shirika la Viwango Tanzania lililouiniwa na kutengenezwa na Kampuni ya EDOSAMA HARDWARE ya jijini Dar es salaam, ofisini kwake Februari 16, 2015. Dawati hilo linalotengenezwa kwa mbao laini ambazo zimebanwa bila kutumia misumari linakadiriwa kugharimu sh. 80,000/=. Wengine pichani kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Eric Shigogo, Mkuu wa Idara ya Mikopo ya Benki ya TIB, Masanja Kungu, Ofisa Mazingira,...