Waziri Lukuvi azindua nyumba za bei nafuu za NHC Longido
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi akipewa na Mkurugenzi Mkuu wa NHC maelezo ya uendelezaji wa eneo la Usa-river lililonunuliwa na NHC kwa ajili ya kujenga Jiji la kisasa hapo jana.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Williama Vangimembe Lukuvi jana alifungua nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na NHC Wilayani Longido na kuwataka wananchi kununua nyumba hizo ili NHC iweze kujenga zingine kusaidia Wilaya hiyo kupata makazi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi19 Mar
WAZIRI LUKUVI ATEMBELEA MRADI WA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU ZA NHC WILAYANI LONGIDO
![9](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/92.png)
![20](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/20.png)
![19](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/19.png)
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Waziri Lukuvi azindua nyumba za gharama nafuu zinazojengwa na NHC wilayani Masasi
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo Mh. William Vangimembe Lukuvi akisalimia viongozi wa NHC mara baada ya kuwasili eneo la Napupa Masasi kuzindua nyumba za gharama nafuu zinazojengwa na NHC. Anayemuongoza Mh. Waziri ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Felix Maagi.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo Mh. William Vangimembe Lukuvi akiongea na hadhira iliyofurika katika sherehe za uzinduzi wa nyumba za gharama nafuu zinazojengwa na NHC Wilayani Masasi.Alizitaka taasisi zinazotoa huduma ya...
10 years ago
Michuzi21 Jun
WAZIRI WA ARDHI WILLIAM LUKUVI AZINDUA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU ZINAZOJENGWA NA NHC WILAYANI MASASI
![New Picture (5)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/New-Picture-53.png)
![New Picture (4)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/New-Picture-43.png)
![New Picture (3)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/New-Picture-33.png)
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/New-Picture-33.png)
LUKUVI AZINDUA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU ZINAZOJENGWA NA NHC WILAYANI MASASI
10 years ago
Habarileo18 Mar
Lukuvi: NHC ipatiwe viwanja vya kujenga nyumba nafuu
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amezitaka halmashauri kote nchini kutenga maeneo ya viwanja ili Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) liweze kujenga nyumba bora na za gharama nafuu zitakazouzwa kwa wananchi.
10 years ago
Habarileo02 Sep
JK aagiza NHC wajenge nyumba za bei nafuu
RAIS Jakaya Kikwete ametaka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kuangalia uwezekano wa kujenga nyumba za gharama nafuu zaidi, ili kuwezesha hata wenye kipato cha chini kukopa na kuishi kwenye makazi bora.
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Mh. Lukuvi aweka jiwe la msingi nyumba 50 za gharama nafuu za NHC mjini Kahama
Hizi ni miongoni mwa nyumba 50 za gharama nafuu zilizojengwa na NHC katika mtaa wa Bukondamoyo kata ya Mhungula katika halmashauri ya Mji Kahama mkoani Shinyanga. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi nchini Mh.William Vangimembe Lukuvi ameweka jiwe la msingi katika nyumba hizo.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi nchini Mh.William Vangimembe Lukuvi akiwasili kuweka jiwe la msingi zilizojengwa na NHC eneo la Bukondamoyo Mjini Kahama.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ldUQYraAFOg/U8fDQmWacVI/AAAAAAAF3Bc/OvROaRoazZk/s72-c/unnamed+(22).jpg)
Rais Kikwete azindua Nyumba za gharama nafuu za NHC Mjini Songea
![](http://1.bp.blogspot.com/-ldUQYraAFOg/U8fDQmWacVI/AAAAAAAF3Bc/OvROaRoazZk/s1600/unnamed+(22).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-prPbI4ELAT0/U8fDQqq6hBI/AAAAAAAF3Bg/x3PnQqoCT74/s1600/unnamed+(23).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YLuPHg7A_cY/U7-ah4sD4DI/AAAAAAAF03o/sRLAlPKri8U/s72-c/D92A9346.jpg)
Rais Kikwete azindua nyumba za bei nafuu Mkinga
![](http://4.bp.blogspot.com/-YLuPHg7A_cY/U7-ah4sD4DI/AAAAAAAF03o/sRLAlPKri8U/s1600/D92A9346.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o73Yx6WtfvI/U7-an1rkzDI/AAAAAAAF03w/k1pFxoflaiA/s1600/D92A9364.jpg)