Pinda aonyesha umahiri
Ya kale dhahabu! Huo ni usemi aliouonyesha kwa vitendo Waziri Mizengo Pinda jana baada ya kuonyesha umahiri wake wa kucheza mpira wa kikapu na pia soka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
Tuzo za Umahiri wa uandishi wa habari 2013
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Dewji Blog04 Jul
JWTZ yatambulika duniani kwa umahiri
Majeshi Maalum (Special Forces) ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania yanayolinda amani Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ni miongoni mwa vikosi bora 35 vya majeshi ya nchi mbali duniani vinavyokubali kuwa na ufanisi wa hali ya juu, uwezo mkubwa wa kupigana na vilivyofundishwa vizuri.
Kwa mujibu wa Mtandao wa Imgur Via Distractify, Tanzania na jeshi lake ni nchi pekee ya Afrika kuweza kuwa na majeshi yake miongoni mwa majeshi bora duniani.
Chini ya kichwa cha habari “35 Most...
11 years ago
Habarileo26 Feb
Waandishi 101 kuwania Tuzo za Umahiri
WAANDISHI wa habari 101 wameteuliwa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT 2013) zinazotolewa na Baraza la Habari Tanzania (MCT) ambapo kilele chake kitakuwa Machi 14, mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi17 Dec
MCL yaendelea kutesa Tuzo za Umahiri nchini
10 years ago
Dewji Blog24 Jul
Bhalalusesa asisitiza umuhimu wa umahiri katika Tehama
Kiongozi wa kitaifa wa mradi wa CFIT, Prof. Ralph Masenge akimkaribisha mgeni rasmi Kaimu Kamishina wa Elimu, Benjamin Kulwa (hayupo pichani) kufungua kongamano linalohusu upitiaji wa waraka wa mafunzo ya Tehama kwa wakufunzi wa vyuo vya ualimu linalofanyika mjini Bagamoyo.
Kaimu Kamishina wa Elimu, Benjamin Kulwa akisoma hotuba kwa niaba ya Kamishina wa Elimu, Profesa Eustella Bhalusesa wakati akifungua rasmi kongamano linalohusu upitiaji wa waraka wa mafunzo ya Tehama kwa wakufunzi wa...
10 years ago
Mwananchi17 Apr
Weledi na umahiri vipewe nafasi mradi wa mabasi Dar
10 years ago
Michuzi
5 years ago
MichuziCHUO KIKUU MZUMBE CHAPONGEZWA KWA UMAHIRI KATIKA UFUNDISHAJI MASOMO YA SHERIA
10 years ago
Michuzi
WAFANYAKAZI MGODI WA NORTH MARA WATUZWA KWA UMAHIRI NA UMAKINI KATIKA KAZI

