PINDA APOKEA MABEHEWA MAPYA YA TRL LEO
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Uchukuzi, Dr. Harrison Mwakyembe wakikagyua moja ya mabehewa mapya ya TRL yaliyonunuliwa kwa fedha ya serikali wakati alipokwenda kwenye Bandari ya Dar es salaam Desemba 8, 2014 kupokea mabehewa hayo.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Uchukuzi, Dr. Harrison Mwakyembe wakikagyua moja ya mabehewa mapya ya TRL yaliyonunuliwa kwa fedha ya serikali wakati alipokwenda kwenye Bandari ya Dar es salaam Desemba 8, 2014 kupokea mabehewa hayo.
Waziri...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog09 Dec
Pinda apokea mabehewa mapya ya TRL
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Uchukuzi, Dr. Harrison Mwakyembe wakikagua moja ya mabehewa mapya ya TRL yaliyonunuliwa kwa fedha ya serikali wakati alipokwenda kwenye Bandari ya Dar es salaam Desemba 8, 2014 kupokea mabehewa hayo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongozwa na Waziri wa Uchukuzi, Dr. Harrison Mwakyembe (kulia kwake) na Naibu Waziri wake, Dr. Charles Tizeba (kulia) kukagua baadhi ya mabehewa mapya ya Shirika la Reli nchini (TRL)...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EmUEwx4yNEA/VIXGHkE3wMI/AAAAAAAG2G8/9OXrHU3LqqE/s72-c/unnamed%2B(87).jpg)
WAZIRI MKUU AKAGUA MABEHEWA MABEHEWA MAPYA YA TRL LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-EmUEwx4yNEA/VIXGHkE3wMI/AAAAAAAG2G8/9OXrHU3LqqE/s1600/unnamed%2B(87).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ubXR7YtztVw/VQAfiYycuRI/AAAAAAAHJio/P5HbO1WIRCs/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
MABEHEWA 22 YA TRENI YA ABIRIA YA DELUXE NI MAPYA! - TRL
![](http://4.bp.blogspot.com/-ubXR7YtztVw/VQAfiYycuRI/AAAAAAAHJio/P5HbO1WIRCs/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
Hoja kuwa tokea yawasili nchini mwezi Desemba , 2014 hayajaanza kutumika kwa vile ni mabovu ni upotoshaji wa ukweli. Ukweli ni kwamba kuanzia Novemba 24, 2014 TRL ilipeleka ...
10 years ago
Habarileo17 Apr
Mabehewa chakavu yang’oa vigogo TRL
SERIKALI imewasimamisha kazi karibu viongozi wote wakuu wa Kampuni ya Reli nchini (TRL), kwa kile kilichoelezwa kuwa hujuma ya mabilioni ya shilingi yaliyotumika kununua mabehewa chakavu.
10 years ago
Habarileo31 May
Vigogo 5 TRL kupandishwa kizimbani kashfa ya mabehewa
MAOFISA watano wa Serikali, wanatarajiwa kupandishwa kizimbani hivi karibuni, kutokana na kashfa ya uagizaji wa mabehewa 274 kutoka India, huku wengine wakitarajiwa kuchukuliwa hatua za kiutawala.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-A1PGqdMKqN4/VGxkX_XlO9I/AAAAAAAANMo/QGp072BwG6w/s72-c/DSC_3594.jpg)
TRL YAPOKEA MABEHEWA 50 YA KUBEBA MAKONTENA, NI MKAKATI WA KUTEKELEZA BRN
![](http://4.bp.blogspot.com/-A1PGqdMKqN4/VGxkX_XlO9I/AAAAAAAANMo/QGp072BwG6w/s640/DSC_3594.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TWz6w2xU2c0/VGxkaPrwJcI/AAAAAAAANMw/KeHDmCIqW5w/s640/DSC_3493.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LeU3A1XcyeI/VGxkNdB5dwI/AAAAAAAANMA/2J5_NOf1tr0/s640/CONTAINER%2BCARRIER1.jpg)
10 years ago
Michuzi10 Apr
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UvYKa77xdkk/VP8ax6A7eiI/AAAAAAAHJX8/XISP_zc4q-o/s72-c/trl3.jpg)
WAKAGUZI WA MABEHEWA YA TRL YALIYOINGIZWA NCHINI HIVI KARIBUNI KUCHUKULIWA HATUA
![](http://3.bp.blogspot.com/-UvYKa77xdkk/VP8ax6A7eiI/AAAAAAAHJX8/XISP_zc4q-o/s1600/trl3.jpg)
Waziri wa Uchukuzi,Samwel Sitta amesema kuwa mabehewa yaliyoingizwa nchini kutokea Kampuni ya M/S Hindusthan Engeneering Industries Limited yapo chini ya kiwango na hivyo wale ambao wamehusika na ukaguzi na kufanya mabehewa hayo yaingizwe nchini watachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam mara alipotembelea Shirika la Reli Nchini (TRL),Sitta alisema serikali ikithibitisha waliokagua na kuleta mabehewa...
11 years ago
Habarileo26 May
Mabehewa mapya kuanza kuingia Julai
MABEHEWA mapya 22 ya abiria, 274 ya mizigo na 34 ya breki pamoja na vichwa vinane vipya vya treni, yanatarajiwa kuwasili kati ya Julai na Desemba mwaka huu, imefahamika.