TRL YAPOKEA MABEHEWA 50 YA KUBEBA MAKONTENA, NI MKAKATI WA KUTEKELEZA BRN
![](http://4.bp.blogspot.com/-A1PGqdMKqN4/VGxkX_XlO9I/AAAAAAAANMo/QGp072BwG6w/s72-c/DSC_3594.jpg)
Katibu Mkuu wizara ya Usafirishaji, Shaaban Mwinjaka, (Kushoto), akipokelewa na Mkurugenzi Mkuu wa TRL, Kipallo Amani Kisamfu, wakati akiwasikli bandarini jijini Dar es Salaam, leo Jumatano Nov 19, 2014, kupokea mabehewa 50 ya kubeba makontena.
Moja kati ya mabehewa 50 ya kubebe makasha, likishushwa kutoka kwenye meli, bandarini jijini Dar es Salaam leo Jumatano Nov 19, 2014. Mabehewa hayo yataongeza utoaji huduma wa Kampuni ya reli Tanzania, (TRL), kutoka kutoa huduma za usafirishaji mizigo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EmUEwx4yNEA/VIXGHkE3wMI/AAAAAAAG2G8/9OXrHU3LqqE/s72-c/unnamed%2B(87).jpg)
WAZIRI MKUU AKAGUA MABEHEWA MABEHEWA MAPYA YA TRL LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-EmUEwx4yNEA/VIXGHkE3wMI/AAAAAAAG2G8/9OXrHU3LqqE/s1600/unnamed%2B(87).jpg)
10 years ago
Dewji Blog09 Dec
Pinda apokea mabehewa mapya ya TRL
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Uchukuzi, Dr. Harrison Mwakyembe wakikagua moja ya mabehewa mapya ya TRL yaliyonunuliwa kwa fedha ya serikali wakati alipokwenda kwenye Bandari ya Dar es salaam Desemba 8, 2014 kupokea mabehewa hayo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongozwa na Waziri wa Uchukuzi, Dr. Harrison Mwakyembe (kulia kwake) na Naibu Waziri wake, Dr. Charles Tizeba (kulia) kukagua baadhi ya mabehewa mapya ya Shirika la Reli nchini (TRL)...
10 years ago
Habarileo17 Apr
Mabehewa chakavu yang’oa vigogo TRL
SERIKALI imewasimamisha kazi karibu viongozi wote wakuu wa Kampuni ya Reli nchini (TRL), kwa kile kilichoelezwa kuwa hujuma ya mabilioni ya shilingi yaliyotumika kununua mabehewa chakavu.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-JOJmg6W_KwQ/VIRSj7_J3OI/AAAAAAAA-m4/6Su5hjCU4pU/s72-c/trl%2B1.jpg)
TANZANIA YAPOKEA MABEHEWA 22 YA ABIRIA NA 50 YA MIZIGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-JOJmg6W_KwQ/VIRSj7_J3OI/AAAAAAAA-m4/6Su5hjCU4pU/s640/trl%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lEoGo9rYOAQ/VIRSkMoX8tI/AAAAAAAA-nE/16_ewxfYD28/s640/trl3.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari, Waziri wa Uchukuzi Dk Harrison Mwakyembe amesema kuingia kwa mabehewa hayo ni ishara ya jitihada za serikali katika kuimarisha huduma ya usafiri wa reli ambapo amesema serikali imetumia zaidi ya bilioni 200 katika kuboresha sekta ya reli nchini.
Mkurugenzi Mtendaji wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ubXR7YtztVw/VQAfiYycuRI/AAAAAAAHJio/P5HbO1WIRCs/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
MABEHEWA 22 YA TRENI YA ABIRIA YA DELUXE NI MAPYA! - TRL
![](http://4.bp.blogspot.com/-ubXR7YtztVw/VQAfiYycuRI/AAAAAAAHJio/P5HbO1WIRCs/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
Hoja kuwa tokea yawasili nchini mwezi Desemba , 2014 hayajaanza kutumika kwa vile ni mabovu ni upotoshaji wa ukweli. Ukweli ni kwamba kuanzia Novemba 24, 2014 TRL ilipeleka ...
10 years ago
VijimamboPINDA APOKEA MABEHEWA MAPYA YA TRL LEO
10 years ago
Habarileo31 May
Vigogo 5 TRL kupandishwa kizimbani kashfa ya mabehewa
MAOFISA watano wa Serikali, wanatarajiwa kupandishwa kizimbani hivi karibuni, kutokana na kashfa ya uagizaji wa mabehewa 274 kutoka India, huku wengine wakitarajiwa kuchukuliwa hatua za kiutawala.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GxNpMVtIVlk/VmAB0YWkzvI/AAAAAAAIJ7A/_UHcjvQ7n6E/s72-c/8.jpg)
TAZARA yapokea mabehewa 18 na vichwa 4 kutoka Serikali ya Watu wa China
![](http://3.bp.blogspot.com/-GxNpMVtIVlk/VmAB0YWkzvI/AAAAAAAIJ7A/_UHcjvQ7n6E/s640/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-W3b2HJc_pzU/VmAB1E7pMVI/AAAAAAAIJ7E/gXjIUTb1Cpg/s640/9.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qkNwhIt-cDw/VmAB83P42hI/AAAAAAAIJ7Y/3qSesLVbGHM/s640/10.jpg)
11 years ago
Michuzi25 Jul
SERIKALI YAPOKEA MABEHEWA 25 YENYE THAMANI YA SH.BILIONI 4.3 KUTOKA INDIA