TANZANIA YAPOKEA MABEHEWA 22 YA ABIRIA NA 50 YA MIZIGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-JOJmg6W_KwQ/VIRSj7_J3OI/AAAAAAAA-m4/6Su5hjCU4pU/s72-c/trl%2B1.jpg)
Serikali imepokea mabehewa 50 ya mizigo na mabehewa 22 ya kisasa ya abiria ikiwa ni sehemu ya mabehewa 274 yanayotawarajiwa kuwasili nchini ili kuboresha huduma za usafiri wa mizigo na abiria.
Akizungumza na waandishi wa habari, Waziri wa Uchukuzi Dk Harrison Mwakyembe amesema kuingia kwa mabehewa hayo ni ishara ya jitihada za serikali katika kuimarisha huduma ya usafiri wa reli ambapo amesema serikali imetumia zaidi ya bilioni 200 katika kuboresha sekta ya reli nchini.
Mkurugenzi Mtendaji wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi25 Jul
SERIKALI YAPOKEA MABEHEWA 25 YENYE THAMANI YA SH.BILIONI 4.3 KUTOKA INDIA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-A1PGqdMKqN4/VGxkX_XlO9I/AAAAAAAANMo/QGp072BwG6w/s72-c/DSC_3594.jpg)
TRL YAPOKEA MABEHEWA 50 YA KUBEBA MAKONTENA, NI MKAKATI WA KUTEKELEZA BRN
![](http://4.bp.blogspot.com/-A1PGqdMKqN4/VGxkX_XlO9I/AAAAAAAANMo/QGp072BwG6w/s640/DSC_3594.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TWz6w2xU2c0/VGxkaPrwJcI/AAAAAAAANMw/KeHDmCIqW5w/s640/DSC_3493.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LeU3A1XcyeI/VGxkNdB5dwI/AAAAAAAANMA/2J5_NOf1tr0/s640/CONTAINER%2BCARRIER1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GxNpMVtIVlk/VmAB0YWkzvI/AAAAAAAIJ7A/_UHcjvQ7n6E/s72-c/8.jpg)
TAZARA yapokea mabehewa 18 na vichwa 4 kutoka Serikali ya Watu wa China
![](http://3.bp.blogspot.com/-GxNpMVtIVlk/VmAB0YWkzvI/AAAAAAAIJ7A/_UHcjvQ7n6E/s640/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-W3b2HJc_pzU/VmAB1E7pMVI/AAAAAAAIJ7E/gXjIUTb1Cpg/s640/9.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qkNwhIt-cDw/VmAB83P42hI/AAAAAAAIJ7Y/3qSesLVbGHM/s640/10.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ubXR7YtztVw/VQAfiYycuRI/AAAAAAAHJio/P5HbO1WIRCs/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
MABEHEWA 22 YA TRENI YA ABIRIA YA DELUXE NI MAPYA! - TRL
![](http://4.bp.blogspot.com/-ubXR7YtztVw/VQAfiYycuRI/AAAAAAAHJio/P5HbO1WIRCs/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
Hoja kuwa tokea yawasili nchini mwezi Desemba , 2014 hayajaanza kutumika kwa vile ni mabovu ni upotoshaji wa ukweli. Ukweli ni kwamba kuanzia Novemba 24, 2014 TRL ilipeleka ...
10 years ago
Vijimambo![](http://lh6.ggpht.com/-8_vL2PkOT3s/VGh9sOVZpuI/AAAAAAAAJ_o/wplRV52oKJE/s72-c/IMG-20141116-WA0006.jpg)
LORI LA MIZIGO LAGONGA BASI LA ABIRIA TABATA MATUMBI JIJINI DAR
![](http://lh6.ggpht.com/-8_vL2PkOT3s/VGh9sOVZpuI/AAAAAAAAJ_o/wplRV52oKJE/s640/IMG-20141116-WA0006.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dGVc0hTVm3k/VGmnk_KscAI/AAAAAAAAJ_0/673NkKR26C8/s1600/tabata%2B022.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YovtH7SM0Lw/VGmnnzoOlvI/AAAAAAAAKAE/qJd3edANcBA/s1600/tabata%2B023.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7c8qxTYZ_n8/VGmnr3q8VoI/AAAAAAAAKAU/ZpORng9bWqc/s1600/tabata%2B029.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fb4ppi5SZCE/VGmnm65bcFI/AAAAAAAAJ_8/l-Ho59pfkIY/s1600/tabata%2B024.jpg)
10 years ago
Michuzi10 Dec
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EmUEwx4yNEA/VIXGHkE3wMI/AAAAAAAG2G8/9OXrHU3LqqE/s72-c/unnamed%2B(87).jpg)
WAZIRI MKUU AKAGUA MABEHEWA MABEHEWA MAPYA YA TRL LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-EmUEwx4yNEA/VIXGHkE3wMI/AAAAAAAG2G8/9OXrHU3LqqE/s1600/unnamed%2B(87).jpg)
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Picha na kilichonifikia kutoka kwenye ajali ya basi la abiria na lori la mizigo Njombe.. #RIP
Siku chache zimepita toka taarifa zitufikie kuhusu ajali ya basi la abiria lililotumbukia mtoni eneo la Iyovi ambalo lina kona kali sana mkoa wa Iringa, taarifa nyingine ya huzuni inatufikia kutoka mkoa wa Njombe leo January 04 2016. Ni taarifa ya ajali ya basi la abiria ambalo limegonga lori la mizigo kwa nyuma na kusababisha […]
The post Picha na kilichonifikia kutoka kwenye ajali ya basi la abiria na lori la mizigo Njombe.. #RIP appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Mwananchi06 Dec
Treni ya mizigo yaanguka, abiria 1,000 wa treni wakwama Dodoma