PINDA ATETA NA MUSEVENI BAADA YA SHEREHE ZA SKAUTI NCHINI UGANDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-iq9trXKHOy0/VdXqAtdMHTI/AAAAAAAAX-Y/CAslSkevmfQ/s72-c/IMGS0698.jpg)
Rais wa Uganda Yoweri Museni akiongea na Waziri mkuu Mizengo Pinda katika sherehe ya Skauti kutimiza miaka 100 nchini Uganda. Kulia ni Waziri wa Jinsia Kazi na Maendeleo ya Jamii nchini humo, Hajatt Rukia Isanga Nakadama. Waziri Mkuu alimuwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika sherehe hizo
Waziri mkuu Mizengo Pinda akiwa anateta jambo na Makamu wa Raisi wa Sudani Kusini, James Wani Igga ambaye aliwakilisha nchi yake katika sherehe hizo. Kulia ni afisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AHUDHURIA MIAKA MIAMOJA YA SKAUTI NCHINI UGANDA
10 years ago
Dewji Blog28 Oct
Pinda ateta na wawekezaji nchini Poland wenye nia ya kujenga hoteli ya kimataifa Zanzibar
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiandika maelezo muhimu wakati akimsikiliza Mkurugenzi wa kampuni ya Katanja-Neoval Oil, Bw. NICODEMO SWIACKI (kushoto) akiwasilisha mada kuhusu kampuni yao ambayo inataka kuwekeza Tanzania kwenye kiwanda cha kusafisha dhahabu (gold refinery) na ujenzi wa hoteli ya kimataifa huko Zanzibar. Wa pili kulia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Dk. Mahadhi Juma Maalim na Naibu Waziri wa Fedha, Bw. Mwigulu Nchemba. (Picha na Irene Bwire wa OWM).
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vFnqKAuS0NQ/VA2nvNtp2EI/AAAAAAAAXBE/D8hz6H64urw/s72-c/president-yoweri-museveni-state-house-uganda%5B1%5D.jpg)
Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni kufanya ziara ya kikazi nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-vFnqKAuS0NQ/VA2nvNtp2EI/AAAAAAAAXBE/D8hz6H64urw/s1600/president-yoweri-museveni-state-house-uganda%5B1%5D.jpg)
Katika ziara hiyo nchini, Mhe. Museveni atakuwa na mazungumzo na mwenyeji wake, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ikulu, Dar es Salaam. Rais Museveni ataondoka baadaye siku hiyo hiyo kurejea nyumbani.
IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI,WIZARA YA MAMBO YA NJE NA...
10 years ago
Dewji Blog19 May
Pinda ateta na Lowassa kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri Mkuu, Mstaafu, Edward Lowassa kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Mei 19, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Aliyemuudhi Museveni aachiliwa Uganda
10 years ago
BBCSwahili13 Oct
Museveni agharamia Uganda Cranes
9 years ago
Mtanzania26 Sep
Museveni, JK wajadili mafuta ya Uganda
NA MWANDISHI WETU
RAIS Jakaya Kikwete na mwenzake Yoweri Museveni wa nchini Uganda, wamekutana jijini New York, Marekani na kujadili mambo mbalimbali ikiwemo maendeleo ya uchimbaji wa mafuta yanayopatikana nchini Uganda.
Marais hao walikutana juzi katika Hoteli ya Trump International and Tower iliyopo jijini humo ambako viongozi hao wapo huko ili kuhudhuria shughuli za mwaka huu za Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
Taarifa iliyotolewa jana na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, ilisema...
9 years ago
TheCitizen10 Dec
I’m not in Uganda to campaign for Museveni, says Ruto
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10