Pinda atia saini kitabu cha maombolezo ubalozi wa Ireland
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Waziri Mkuu wa zamani wa Ireland, Albert Reynolds kwenye ubalozi wa Ireland jijini Dar es salaam August 28, 2014. kulia ni Balozi wa nchi hiyo nchini, Fionnuala Gilsenan. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Balozi wa Ireland nchini, Fionnuala Gilsenan baada ya kutia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Albert Reynolds, kwenye ubalozi wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gctU6T8RFoE/Xuo3iptHHsI/AAAAAAALuRw/TbBCpclqoEEGK63kb9vuUpiSYwl2-QbawCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_2103AAA-768x510.jpg)
WAZIRI MKUU ATIA SANI KITABU CHA MAOMBOLEZO KIFO CHA NKURUNZIZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gctU6T8RFoE/Xuo3iptHHsI/AAAAAAALuRw/TbBCpclqoEEGK63kb9vuUpiSYwl2-QbawCLcBGAsYHQ/s640/PMO_2103AAA-768x510.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitia saini katika kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kwenye Ubalozi wa Burundi, Upanga jijini Dar es salaam, Juni 17, 2020. Wa pili kulia ni Balozi wa Burundi nchini, Mhe. Abayeho Gervais.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PMO_2113AAAA-1024x610.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ncPtcXp8Ick/U_dpJYwyxpI/AAAAAAAGBes/NPBROruu87A/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
BALOZI KAMALA ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA WAZIRI MKUU WA ZAMANI WA IRELAND
![](http://4.bp.blogspot.com/-ncPtcXp8Ick/U_dpJYwyxpI/AAAAAAAGBes/NPBROruu87A/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
9 years ago
CCM BlogRAIS MAGUFULI ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO KATIKA UBALOZI WA UFARANSA NA AWASILI DODOMA KWA GARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaini kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa Ufaransa nchini kufuatia vifo vya Watu zaidi 130 vilivyotokana na mashambulizi ya kigaidi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpa pole Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Malika Berak kufuatia vifo vya Watu zaidi 130 vilivyotokana na mashambulizi ya kigaidi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Balozi wa...
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Rais Magufuli asaini Kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa Ufaransa na awasili mjini Dodoma kwa gari
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaini kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa Ufaransa nchini kufuatia vifo vya Watu zaidi 130 vilivyotokana na mashambulizi ya kigaidi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpa pole Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Malika Berak kufuatia vifo vya Watu zaidi 130 vilivyotokana na mashambulizi ya kigaidi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Balozi...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VN4bRelXZdQ/Vkt40IYVMeI/AAAAAAAIGdk/H9-D20HX7DQ/s72-c/86244950-352e-4f23-a545-f420ec704c79.jpg)
Rais Magufuli asaini Kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa Ufaransa, awasili Mjini Dodoma kwa Gari
![](http://4.bp.blogspot.com/-VN4bRelXZdQ/Vkt40IYVMeI/AAAAAAAIGdk/H9-D20HX7DQ/s640/86244950-352e-4f23-a545-f420ec704c79.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OA9I9jw6NPQ/Vkt42lgYcAI/AAAAAAAIGds/H2iav6_ELPk/s640/17c3e5df-f79c-4425-893f-0de5bc61a6e4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cFRjvHD2XT4/Vkt44lOblWI/AAAAAAAIGd0/Q_WF1I8fhs0/s640/65529ec3-b4fc-43e9-8267-8c00ab215361.jpg)
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-F-TNwUV4FB4/U8903kKNxzI/AAAAAAAF5Ds/shGFC-Oh8zs/s1600/unnamed+%2812%29.jpg?width=650)
BALOZI MDOGO WA TANZANIA DUBAI, MHE. OMAR MJENGA, ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO KATIKA UBALOZI MDOGO WA MALAYSIA.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kwRBb2OprEk/VItOQzKa4PI/AAAAAAAG23s/QS4Prxq0XAk/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
Mabalozi mbalimbali wakisaini kitabu cha maombolezo ofisi za ubalozi wa Palestina kufuatia kifo cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais nchini Palestina, Ziad Abu Ein
![](http://2.bp.blogspot.com/-kwRBb2OprEk/VItOQzKa4PI/AAAAAAAG23s/QS4Prxq0XAk/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q8cmQgYykoU/VItORO4d98I/AAAAAAAG23o/zJ2v5sikeOw/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
10 years ago
MichuziCASSIM MGANGA, AUNTY EZEKIEL WATEMBELEA MJENGO MWEUPE, AUNTY ATIA SAINII KITABU UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI, WASHINGTON, DC
Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014.
5 years ago
MichuziDKT. NDUMBARO ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO CHA RAIS NKURUNZIZA
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Damas...