Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda hajakomaa kisiasa

MJADALA unaoendelea nchini hivi sasa ni kuhusu uwajibikaji na utendaji wa baadhi ya viongozi wetu ambao wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tumewaajiri na tunawalipa mishahara kwa kodi zetu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

‘Dk Mahanga bado hajakomaa kisiasa’

BAADHI ya wakazi wa jimbo la Segerea, Dar es Salaam, wamesema masanduku ya kura wakati wa uchaguzi mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu, ndio yatakayoamua nani ni mkomavu wa kisiasa baina yao na Mbunge wa jimbo hilo ambaye pia ni Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongoro Mahanga.

 

10 years ago

Michuzi

PINDA: VIONGOZI WA MKOA TUMIENI BUSARA KUMALIZA MGOGORO WA KISIASA KAGERA

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda ameutaka uongozi wa mkoa wa Kagera ukae na kuzungumza ili kutafuta ufumbuzi wa mgogoro wa kisiasa katika Manispaa ya Bukoba kwa manufaa ya wananchi. 
Ametoa wito huo jana usiku (Jumamosi, Oktoba 5, 2014) wakati akizungumza na viongozi na watendaji wa Serikali wa mkoa huo mara baada ya kupokea taarifa ya mkoa huo iliyowasilishwa kwake na Mkuu wa Mkoa huo, Kanali (Mst) Fabian Massawe.
Waziri Mkuu aliwasili Bukoba jana jioni akitokea Dodoma ili kumwakilisha Rais Jakaya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani