‘Dk Mahanga bado hajakomaa kisiasa’
BAADHI ya wakazi wa jimbo la Segerea, Dar es Salaam, wamesema masanduku ya kura wakati wa uchaguzi mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu, ndio yatakayoamua nani ni mkomavu wa kisiasa baina yao na Mbunge wa jimbo hilo ambaye pia ni Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongoro Mahanga.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Pinda hajakomaa kisiasa
MJADALA unaoendelea nchini hivi sasa ni kuhusu uwajibikaji na utendaji wa baadhi ya viongozi wetu ambao wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tumewaajiri na tunawalipa mishahara kwa kodi zetu...
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Ben Pol: Sijajua bado nimshabikie nani kisiasa
10 years ago
GPLNISHA: KISIASA BADO NIPONIPO, NAENDA ZANGU CHINA KUTOA VICHEKESHO
10 years ago
Habarileo03 Jan
Mahanga anogewa na ubunge
MBUNGE wa Jimbo la Segerea, Dk Makongoro Mahanga (CCM) amesema atagombea tena ubunge kwenye jimbo hilo mwaka huu.
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Dk. Mahanga amfuata Lowassa
BAADA ya kuanguka kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Naibu Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, Dk. Makongoro Mahanga, amejiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Dk. Makongoro aliyekuwa Mbunge wa Segerea, pia amejiuzulu nafasi yake ya Naibu Waziri.
Akizungumza nyumbani kwake Segerea jijini hapa jana, Dk. Makongoro alisema pia kwamba amemtuma dereva wake kulirudisha serikalini gari la Wizara ya Kazi.
Hali hiyo imetokea siku moja tu baada ya...
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Ikulu yamshangaa Dk Mahanga
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Mahanga amvaa Magufuli
10 years ago
Habarileo03 Aug
Mahanga aanguka, akimbilia Chadema
NAIBU Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Milton Mahanga (60), amejiondoa katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) siku moja baada ya kushindwa katika kura za maoni za ubunge katika Jimbo la Segerea mkoani Dar es Salaam, na sasa ameomba uanachama katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
10 years ago
VijimamboWaziri Mahanga anusurika kipigo.
Dk. Mahanga, ambaye pia ni Mbunge wa Segerea (CCM) alikumbwa na masaibu hayo wakati wa hafla ya kuapisha...