Pinda: Vyama vijiandae kisaikolojia kwa matokeo
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amevitaka vyama vya siasa nchini kujiandaa kisaikolojia kuyapokea matokeo ya Uchaguzi Mkuu utaokaofanyika nchini, Jumapili ijayo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo21 Oct
Pinda avitaka vyama kukubali matokeo
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema demokrasia ya kweli ni kukubali ukweli, hivyo wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumapili, wanapaswa kujiandaa kisaikolojia kukubali matokeo pindi watakaposhindwa.
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Wananchi waandaliwe kisaikolojia kupokea matokeo-Askofu
9 years ago
StarTV30 Oct
Kufutwa matokeo ya uchaguzi zanzibar  Vyama vya siasa vyapinga
Baadhi ya vyama vya siasa vilivyoshiriki uchaguzi mkuu wa Zanzibar vimeeleza kutokubaliana na kauli ya mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ZEC Jecha Salim Jecha ya kufuta uchaguzi mkuu ulioelezwa kujaa mizengwe na kukiuka taratibu.
Wanadai kuwa tangazo hilo linawatia mashaka wakimtaka mwenyekiti wa Tume achambue vipengele vitakavyothibitisha kasoro zilizosababisha kufutwa kwa sheria hiyo.
Akizungumza wakati wa mkutano na wanahabari malindi visiwani Zanzibar Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi...
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Changamoto za kiafya na kisaikolojia kwa ‘single mothers’-2
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Pinda, vyama visivyo na wabunge wateta
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Vyama vya siasa kumvaa Pinda
9 years ago
VijimamboViongozi wa Vyama vya Siasa Zanzibar Wakiwa katika Ukumbi wa Salama Bwawani Zanzibar Wakisubiri Matokeo ya Kura ya Urais wa Zanzibar
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lu7fZBLnWM0/VdzP08A2dNI/AAAAAAAHz_0/jiVDwEF4Sd4/s72-c/tume1.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Jeshi la Polisi lijiandae kisaikolojia
MIEZI michache kabla ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba kuwasilisha rasimu ya pili, Rais Jakaya Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, alitoa ushauri wa bure...