Pistorius kuto shiriki mashindano
Kamati ya Olimpiki ya Walemavu imesema mwanariadha Oscar Pistorius hatashiriki mashindano ya walemavu hata akitoka gerezani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 May
Sunderland wafurahia kuto shuka daraja
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1Jrgheb-n*obR-kAGoc4lOU27zVNV8162IyGYxzC5cjALggmVxsWSR0QTi7EZdNyOp0gCUFuoC0WzXfGbZGf-1GMg9/SHAFIIPIKIPIKI7667777777.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3Vsr2OVgSbo/XtpGcAeVctI/AAAAAAALstw/yb0p5z2Z-cow-GktMUAZU6GSAoh3AlKQgCLcBGAsYHQ/s72-c/FIMBO.jpg)
Anusurika kichapo mbele ya waombolezaji makaburini kwa kuto kuhudhuria misibani
![](https://1.bp.blogspot.com/-3Vsr2OVgSbo/XtpGcAeVctI/AAAAAAALstw/yb0p5z2Z-cow-GktMUAZU6GSAoh3AlKQgCLcBGAsYHQ/s400/FIMBO.jpg)
Kijana huyo amejikuta katika wakati mgumu baada ya wanakijiji kukamilisha mazishi ya mama yake mzazi ambapo mwenyekiti wa kijiji cha Wenda Denis Mpogole akaamuru familia ya bwana...
10 years ago
Dewji Blog08 Jun
VIDEO Sheikh Sharifu: Kiongozi Fisadi, Mla Rushwa na atakaetumia shiriki kutopita Uchaguzi Mkuu 2015
Shekeh Sharifu alizungumza na Waandishi wa Habari Juu ya Swala zima la Uchaguzi Mkuu 2015 na kusema kuwa Mwaka huu Kiongozi atatoka kwa Mungu Kiongozi Fisadi, Mla Rushwa na atakae Tumia Shiriki hatopita katika Uchaguzi Huu.
Sharifu amewataka viongozi wote wanaotaka kugombea basi waende wakaombewe wamegungua zoezi maalumu kuhusu maombi ya Viongozi ambao watagombea Mwaka Huu, Na kusema kuwa kiongozi yeyote ambaye atatumia shiriki hatokaa madarakani atapata ajili kutokana na mwaka huu...