Sunderland wafurahia kuto shuka daraja
Klabu ya Sunderland na Arsenal jana wametunushiana misulu baada ya kutoka 0-0 na hivyo kufanikiwa kuto shuka daraja.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV21 May
Sunderland wafurahia kubaki ligi kuu Uingereza.
Klabu ya Sunderland na Arsenal jana wametunushiana misuli baada ya kutoka 0-0 na hivyo kufanikiwa kuondoa mashaka ya kushuka daraja msimu huu katika ligi ya England.
Hata hivyo kwa matokeo hayo Arsenal wanashika nafasi ya tatu nyuma ya Manchester City katika ligi hiyo inayomalizika.
Hata hivyo katika mchezo huo Sunderland wanapaswa kujilaumu kwa nafasi ambayo walipata na kushindwa kuitumia kupitia mshambuliaji wake Steven Fletcher.
Mlinda mlango Costel Pantilimon ndiye aliyeibuka shujaa...
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
Pistorius kuto shiriki mashindano
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3Vsr2OVgSbo/XtpGcAeVctI/AAAAAAALstw/yb0p5z2Z-cow-GktMUAZU6GSAoh3AlKQgCLcBGAsYHQ/s72-c/FIMBO.jpg)
Anusurika kichapo mbele ya waombolezaji makaburini kwa kuto kuhudhuria misibani
![](https://1.bp.blogspot.com/-3Vsr2OVgSbo/XtpGcAeVctI/AAAAAAALstw/yb0p5z2Z-cow-GktMUAZU6GSAoh3AlKQgCLcBGAsYHQ/s400/FIMBO.jpg)
Kijana huyo amejikuta katika wakati mgumu baada ya wanakijiji kukamilisha mazishi ya mama yake mzazi ambapo mwenyekiti wa kijiji cha Wenda Denis Mpogole akaamuru familia ya bwana...
10 years ago
MichuziWIZARA YA UJENZI KUJENGA DARAJA JIPYA LITAKALOPITA BAHARINI PEMBEZONI MWA DARAJA SELANDER
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
NHIF yakabidhi shuka za mil. 3.5/-
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoani Tabora, umeikabidhi Hospitali ya Rufaa Kitete msaada wa shuka 150 zenye thamani ya sh milioni 3.5. Akikabidhi msaada huo, Mwenyekiti wa...
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Yanga SC yakumbuka shuka mapambazuko
BAADA ya kutulizwa na maafande wa Mgambo JKT katika mchezo uliopita, mabingwa watetezi Yanga, jana walizinduka na kuwashushia kichapo cha mabao 5-1 JKT Ruvu katika mechi ya Ligi Kuu ya...
10 years ago
Habarileo10 Apr
Diwani aadhibiwa kufua shuka za hospitali
DIWANI wa Kata ya Kasanda wilayani Kakonko, Dickson Barutwa (40) wa Chadema na wenzake watatu, wamehukumiwa na Mahakama ya Wilaya ya Kibondo mkoani hapa adhabu ya kufua shuka za wagonjwa katika hospitali ya wilaya ya Kakonko na kuzibua mitaro ya barabarani kwa siku 14 baada ya kukutwa na hatia ya makosa matatu.
10 years ago
Habarileo18 Sep
Mwanafunzi ajiua kwa shuka hospitalini
KATIKA hali isiyotarajiwa, mwanafunzi wa Kidato cha Tano katika Shule ya Sekondari ya Wavulana Ihungo Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, Ezra Gerald (19), amejinyonga hadi kufa kwa kutumia shuka ya hospitali, alikokuwa amelazwa kwa kile kinachoeleza alikuwa anasumbuliwa na homa ya matumbo.
11 years ago
Tanzania Daima09 Jul
CCM inakumbuka shuka wakati kumekucha
MWANAHARAKATI Martine Luther King, aliwahi kusema, “ukimya wa rafiki yako unaumiza sana kuliko kelele za adui yako”. Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyotakiwa iwe rafiki wa wananchi kwa muda...