Pistorius:Daktari apata mshtuko wa moyo
Daktari wa akili anayetathmini hali ya mwanariadha Oscar Pistorius katika kesi ya mauaji amepatwa na mshtuko wa moyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Je,talaka husababisha mshtuko wa moyo?
Watu walio katika talaka wana uwezekano mkubwa wa kupatwa na ugonjwa wa mshtuko wa moyo, utafiti umesema.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TLmRyEsKEA9Uz*4PPqPLoJiO0V-*BodPPNZshg4V*kAxX50Ps-XCa-JkvPoJFWyEoqs5WBQxpkBXGGBp-tWAR3zkACS-WPO/FRONTWIKIENDA.jpg?width=650)
MAMA NAY APATA MSHTUKO!
Waandishi Wetu JAMBO limezua jambo! Siku chache baada staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ kudaiwa kumfumania mpenzi wake Siwema Edson kisha kuondoka na mtoto wa miezi mitatu (Curtis), mrembo huyo ameibuka na kudai mtoto huyo si mali ya Mbongo Fleva huyo hali ambayo imesababisha mama yake mzazi Nay apate mshtuko, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo hatua kwa hatua. Mbongo Fleva, Emmanuel Elibariki...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-mBjhe3EVbeI/VS6YTMtCgAI/AAAAAAAAGTk/SJeHGfelUMM/s72-c/Black-Couple-Arguing-pointing.jpg)
Talaka Hupelekea Ugonjwa wa Mshtuko wa Moyo Hasa kwa Wanawake
![](http://2.bp.blogspot.com/-mBjhe3EVbeI/VS6YTMtCgAI/AAAAAAAAGTk/SJeHGfelUMM/s1600/Black-Couple-Arguing-pointing.jpg)
Watu walio katika talaka wana uwezekano mkubwa wa kupatwa na ugonjwa wa mshtuko wa moyo ukilinganisha na wenzao ambao bado wako katika ndoa ,kulingana na utafiti nchini Marekani.Utafiti uliofanyiwa watu 15,827 unaonyesha kuwa wanawake ndio walioathirika zaidi na kwamba hupunguza hatari hiyo baada ya kuolewa tena.Utafiti huo uliochapishwa katika jarida la Journal unasema kuwa msongo wa mawazo kupitia kiasi unaohusishwa na talaka una athari za mda mrefu katika mwili.
Wakfu wa moyo nchini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLTmlbkHS8epMRacGR2CFE8clM4K8NtUVjOrdOVfy56-E2JplE4Pf0O2IfalBzPKK2701HtVdb30gUZGibgTsKV7/1.jpg)
DIAMOND APATA MSHTUKO DENI LA MIL.800
Musa Mateja/mchanganyiko
MSANII nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amepatwa na mshtuko mkubwa baada ya kuwepo madai ya kudaiwa kiasi cha zaidi ya shilingi milioni 800 na serikali kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Risasi Mchanganyiko linakupa mchapo kamili. Msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. ILIKUWAJE?
Mwishoni...
5 years ago
BBCSwahili09 Jun
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amepatwa na mshtuko wa moyo akiwa na miaka 55
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza aaga dunia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dHlpmXXOuPXEMZnOkTOHUIKnzDOxhNSn8BRi8TjWYXKQP-wq2dBOd3SMF1FlR6DquaH8lqeF*nkDevS2ItBjR35Jvd580gLF/okwi.jpg)
Daktari: Moyo wa Okwi ulisimama
Mshambuliaji Emmanuel Okwi akibebwa baada ya kuzimia.
Sweetbert Lukonge na Ibrahimu Mussa
MOYO wa mshambuliaji Emmanuel Okwi ulisimama kwa sekunde kadhaa alipogongwa kisogoni na beki Aggrey Morris wa Azam FC. Okwi aligongwa katika mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC iliyomalizika kwa sare ya bao 1-1 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, jana.Daktari wa Simba, Yassin Gembe, amesema moyo wa Okwi ulisimama kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-N6WFUQDvW7g/VeNuWL0zffI/AAAAAAAH1FQ/dhAyV90CO-k/s72-c/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
Daktari Bingwa Mshauri maradhi ya Moyo kutoka Tanzania kupewa Tuzo ya Kimataifa nchini Uingereza Leo
Daktari wa Kwanza Bingwa Mshauri wa Maradhi ya Moyo kutoka Hospitali ya Rufaa ya Morogoro nchini Tanzania Dr.Harun Elmada Nyagori azawadiwa Tuzo ya Kimataifa na kutambuliwa na Baraza la Madaktari Bingwa wa shirikisho la Nchi za Ulaya(European Society of Cardiology) -London Uingereza'Akipewa hiyo Tuzo ya Heshima na Rais wa Shirikisho Hilo Prof.Pinto alimwelezea imekuwa Historia kubwa kumpata Daktari aliyewakilisha Mada za Utafiti wa Maradhi ya Moyo kutoka Tanzania na hawajawahi kumpata...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Abigail Chamungwana: Mwanamuziki mwenye umri mdogo aliye na ndoto ya kuwa Daktari bingwa wa upasuaji moyo wa watoto
Abigail Chamungwana anasoma masomo ya sayansi yaani Fizikia, Kemia, Baiolojia na Hesabu kwa sababu mbali na kuwa mwanamuziki anataka kuwa Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo wa watoto.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-A38czSsSNTA/XqMJhnFtfUI/AAAAAAABMBM/KPL1nyXxMLcCIAYHqyfoQQ2on2sjYkz9QCLcBGAsYHQ/s72-c/Amana%2B3.jpg)
TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA MOYO WALIOPATWA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-A38czSsSNTA/XqMJhnFtfUI/AAAAAAABMBM/KPL1nyXxMLcCIAYHqyfoQQ2on2sjYkz9QCLcBGAsYHQ/s400/Amana%2B3.jpg)
Na Mwandishi maalum – Dar es Salaam24/04/2020 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) itawahudumia wagonjwa wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam.Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Janabi alipotembelea kituo hicho kwa ajili ya kuona ni namna gani wataalamu wa Taasisi yake wataweza kutoa huduma kwa ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania