POLISI ARUSHA KUWAFANYIA USAILI ASKARI WATARAJIWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-69ZEnctRvmI/VZU_irfwd5I/AAAAAAAHmcI/HcmRLh5It7U/s72-c/sabas-may10-201328.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Naibu Kamishna (DCP) Liberatus Sabas
Na Woinde Shizza,Arusha
Jeshi la Polisi Mkoani hapa linatarajia kuwafanyia usaili vijana wa Mkoa huu waliomaliza kidato cha nne mwaka 2014 ambao wamechaguliwa kupitia tovuti ya Tamisemi ambayo ni www.pmoralg.go.tz. Wanaotarajia kujiunga na mafunzo ya Jeshi la Polisi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Naibu Kamishna (DCP) Liberatus Sabas aliyasema hayo ofisini kwake leo asubuhi ambapo alisema zoezi hilo litafanyika kwa muda...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziKIINGLISHI KILIVYOWAGOMBANISHA ASKARI POLISI NA ASKARI WA MANISPAA YA MOSHI
10 years ago
Michuzi08 Jul
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-r7HunoaZLwo/U-i0l-fl8fI/AAAAAAAF-a8/vKZO8sYhn_I/s72-c/Police1.jpg)
USAILI WA JESHI LA POLISI TANZANIA KWA WAKAZI WA MBEYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-r7HunoaZLwo/U-i0l-fl8fI/AAAAAAAF-a8/vKZO8sYhn_I/s1600/Police1.jpg)
Muhimu:
• Mwombaji anaruhusiwa kufanya usaili kwenye kituo chochote cha...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tqQjhz9VL6w/VCUL9aYcpoI/AAAAAAAGl3E/x-FApij-H7Q/s72-c/Ahmed%2BMsangi-June4-2014.jpg)
JUST IN: TANGAZO LA USAILI WA JESHI LA POLISI KWA MKOA WA MBEYA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-tqQjhz9VL6w/VCUL9aYcpoI/AAAAAAAGl3E/x-FApij-H7Q/s1600/Ahmed%2BMsangi-June4-2014.jpg)
Muhimu:· Mwombaji aliyeitwa kwenye usaili aje na vyeti vyake vyote vya masomo [(Academic...
11 years ago
Michuzi11 Aug
USAILI WA JESHI LA POLISI TANZANIA KWA WAKAAZI WA MBEYA
![](https://2.bp.blogspot.com/-r7HunoaZLwo/U-i0l-fl8fI/AAAAAAAF-a8/vKZO8sYhn_I/s1600/Police1.jpg)
Muhimu:
• Mwombaji anaruhusiwa kufanya usaili kwenye kituo chochote cha usaili...
10 years ago
MichuziJeshi la polisi nchini lathibitisha kuwa mlipuko uliowajeruhi askari polisi Songea ni bomu la kienyeji
JESHI la polisi chini limethibitisha kuwa kitu kilichokuwa kinadaiwa kuwa nio bomu lililorushwa mjini Songea mkoani Ruvum Septemba 16 mwaka huu majira ya saa 1.25 usiku katika eneo la Misufini na kuwajeruhi askari polisi watatu kati ya wanne waliokuwa doria kuwa ni bomu la kutupwa kwa mkono...