USAILI WA JESHI LA POLISI TANZANIA KWA WAKAAZI WA MBEYA
Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, BARAKAEL .N. MASAKI – ACP anawatangazia Wananchi wote ya kuwa orodha ya majina ya vijana waliomaliza Kidato cha Nne mwaka 2013 na cha Sita mwaka 2014 na kuchaguliwa kufanya usalii wa kujiunga na Jeshi la Polisi inapatikana kwenye tovuti ya Polisi: www.policeforce.go.tz au wafike ofisi ya kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya iliyopo Forest jirani na Mahakama kuangalia majina yao.
Muhimu:
• Mwombaji anaruhusiwa kufanya usaili kwenye kituo chochote cha usaili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-r7HunoaZLwo/U-i0l-fl8fI/AAAAAAAF-a8/vKZO8sYhn_I/s72-c/Police1.jpg)
USAILI WA JESHI LA POLISI TANZANIA KWA WAKAZI WA MBEYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-r7HunoaZLwo/U-i0l-fl8fI/AAAAAAAF-a8/vKZO8sYhn_I/s1600/Police1.jpg)
Muhimu:
• Mwombaji anaruhusiwa kufanya usaili kwenye kituo chochote cha...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tqQjhz9VL6w/VCUL9aYcpoI/AAAAAAAGl3E/x-FApij-H7Q/s72-c/Ahmed%2BMsangi-June4-2014.jpg)
JUST IN: TANGAZO LA USAILI WA JESHI LA POLISI KWA MKOA WA MBEYA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-tqQjhz9VL6w/VCUL9aYcpoI/AAAAAAAGl3E/x-FApij-H7Q/s1600/Ahmed%2BMsangi-June4-2014.jpg)
Muhimu:· Mwombaji aliyeitwa kwenye usaili aje na vyeti vyake vyote vya masomo [(Academic...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fRyyi-swue4/VeS2ClHGeII/AAAAAAAH1ac/cGf8-NGgl04/s72-c/polisi.jpg)
TANGAZO KWA UMMA:JESHI LA POLISI TANZANIA LINAWAITA KWENYE USAILI
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHIJESHI LA POLISI TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-fRyyi-swue4/VeS2ClHGeII/AAAAAAAH1ac/cGf8-NGgl04/s200/polisi.jpg)
RPC. Ofisi ya Kamanda wa Polisi, ...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1IakUtC7aAc/VdOesSMNIuI/AAAAAAAHyD0/Ao_K4d4xP_o/s72-c/aaa.png)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 18.08.2015. KUFANYA KAZI YA ULINZI NA USALAMA ILIYOKASIMIWA KWA JESHI LA POLISI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-1IakUtC7aAc/VdOesSMNIuI/AAAAAAAHyD0/Ao_K4d4xP_o/s640/aaa.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E_TqgsZUVxA/VdOd8pH2pxI/AAAAAAAHyDo/ZHeA-B7qXco/s640/unnamed%2B%252841%2529.jpg)
KATIKA MSAFARA WAKE KUTOKA UWANJA WA NDEGE [SONGWE] KULIONEKANA GARI MOJA (PICHANI) AINA YA LAND CRUISER – PICK UP YENYE RANGI NYEUSI NA NDANI YAKE LILIKUWA LIMEBEBA VIJANA AMBAO WALIKUWA WAMEVAA MAVAZI MEUSI, KOFIA – BERETI NYEUSI NA MIWANI...
10 years ago
Michuzi10 Nov
KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA AHMED .Z. MSANGI-SACP ANAWATANGAZIA WAHITIMU WA KIDATO CHA SITA MWAKA 2014 NA KIDATO CHA NNE MWAKA 2013 WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI BAADA YA USAILI KUKAMILIKA
10 years ago
Michuzi08 Jul
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HFQqnDfkm2w/XrVv5O-ussI/AAAAAAALpgg/hwlAEQOUcwULbr1owUwHsq-Ly1QJ8yttgCLcBGAsYHQ/s72-c/JB9A1478AAA-768x512.jpg)
TAARIFA YA UHALIFU KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HFQqnDfkm2w/XrVv5O-ussI/AAAAAAALpgg/hwlAEQOUcwULbr1owUwHsq-Ly1QJ8yttgCLcBGAsYHQ/s640/JB9A1478AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/JB9A1489AAA-1024x682.jpg)
…………………………………………………………………………….
KUJIPATIA FEDHA KWA NJIA YA UDANGANYIFU [MTANDAO WA KIJAMII].
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wawili 1. SOPHIA ELIA MWALUANDA [22] Mfanyabiashara na Mkazi wa Sistila Jijini Mbeya na 2. MPAJI SELEMAN MWINYIMVUA [38] Mkazi wa Manzese Jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kwa kutumia akaunti feki ya “facebook” yenye jina la Mheshimiwa Mama Janeth Magufuli Mke wa Mheshimiwa Rais wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wQ7kZ3OTaLw/Xqf3VEptmMI/AAAAAAALodU/9JLqPRCX4CQhhYm9EM1nTfhITo-4Crz0ACLcBGAsYHQ/s72-c/_111266929_corona.png)
JESHI LA POLISI LAMSHIKILIA MKAZI WA MBEYA KWA UPOTOSHAJI KUHUSU CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wQ7kZ3OTaLw/Xqf3VEptmMI/AAAAAAALodU/9JLqPRCX4CQhhYm9EM1nTfhITo-4Crz0ACLcBGAsYHQ/s640/_111266929_corona.png)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia JOYCE KEPHAS AKYOO @ MANKA [31] Mfanyabiashara na Mkazi wa Stereo Jijini Mbeya kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo kuhusu ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu [COVID 19] katika Mtandao wa Kijamii.
![](https://1.bp.blogspot.com/-F1lqXtPYoJA/Xqf3LyGxEII/AAAAAAALodQ/yRWhlKnfTpkJhV6TRx11IP1UmKy5V7BPACLcBGAsYHQ/s400/b24d587caf18043272513493cc06329f.png)