Polisi haijakamilisha upelelezi wafanyakazi Kituo cha Sheria
Asifiwe George na Jenipher Thomas(DSJ), Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limesema linaendelea na upelelezi wa wafanyakazi na viongozi 38 wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC).
Watu hao wanadaiwa kusambaza taarifa za matokeo ya uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani kabla ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) haijayatangaza.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleimani Kova, alisema watu hao wanatuhumiwa kukusanya na kusambaza...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
KITUO CHA SHERIA PEMBA CHATOA MAFUNZO KWA JESHI LA POLISI


10 years ago
VijimamboKITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHAZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA KURA YA MAONI YA KATIBAâ€
KITUO cha Sheria na Haki za...
10 years ago
GPLKITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHAZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA KURA YA MAONI YA KATIBA
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Wafanyakazi wa kituo cha mafuta cha Puma cha Uwanja wa Ndege jijini Dar Es Salaam watekeleza agizo la Rais kwa kufanya usafi
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mafuta cha Puma cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Brown Francis akishiriki kufanya usafi katika kituo hicho ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Dk.John Magufuli kuwa maadhimisho ya Siku ya Uhuru 2015 yatumike kwa kufanya usafi nchini kote.
Meneja wa Kituo hicho, Shadrack Mwamaso naye akishiriki kufanya usafi.
Hapa usafi ukiendelea.
Hapa ni kazi usafi ukifanyika.
Ni kama anaongea ‘Ngoja nikazitupe taka taka hizi eneo...
10 years ago
VijimamboKITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA (ZLSC) ZANZIBAR CHATOA MAFUNZO KWA WASAIDIZI WA SHERIA WA MAJIMBO YA ZANZIBAR
9 years ago
MichuziAskari wa kituo cha polisi Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara wafanya usafi kwenye mazingira yanayozunguka kituo chao.
10 years ago
GPL
KITUO CHA POLISI STAKISHARI-UKONGA CHAVAMIWA, POLISI WAUAWA NA KUPORWA SILAHA
5 years ago
Michuzi
JESHI LA POLISI ARUSHA LAANZA UJENZI KITUO KIDOGO CHA POLISI KATA YA KISONGO,ARUMERU KUONDOA KERO KWA WANANCHI
Akikabidhi eneo hilo kwa kuanza kupanda miti, Mkuu wa wilaya hiyo Muro, alisema kituo hicho kitasaidia kuimarisha ulinzi kwa jamii katika eneo hilo baada ya muda mrefu kuwepo matukio ya uhalifu.
Alisema eneo hilo ambalo linakuwa kwa kasi kumekuwepo na...
10 years ago
VijimamboMAJAMBAZI WALIOVAMIA KITUO CHA POLISI CHA STAKISHARI, WAKAMATWA