Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


POLISI WAMNASA MWANGA USIKU

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
 Mtu mmoja asiyefahamika jina anayedaiwa kuwa ni mwanga amenaswa na polisi baada ya kudondoka katika eneo la Ilala Bungoni, jijini Dar  akiwa kama alivyozaliwa. Tukio hilo lilitokea Jumamosi iliyopita kuamkia Jumapili  saa kumi usiku wakati mtu huyo alipodaiwa kudondoka akiwa na ungo, hirizi na kusabababisha watu waliokuwa eneo hilo kutahamaki. Chanzo chetu kimesema...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Polisi wamnasa mtesaji wa mtoto Dar

Polisi wamefanikiwa kumnasa mwanamke anayedaiwa kumtesa kwa kipigo na kumng’ata mtoto Merina Mathayo (15), kumsababishia majeraha makubwa kichwani.

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi Mwanga walalamikia operesheni ya polisi

Moshi. Kamatakamata ya watu wanaoshukiwa kuiba mabomba ya maji nyumbani kwa Waziri mkuu mstaafu, Cleopa Msuya, imeibua malalamiko miongoni mwa wakazi wa Wilaya ya Mwanga.

 

11 years ago

Mwananchi

Shahidi aeleza mengi mauaji ya polisi Mwanga

Kamishna Msaidizi (ACP) Duan Nyanda ameieleza mahakama kuwa mshtakiwa Samwel Saitoti alimpiga risasi ya kichwa Konstebo Michael Milanzi na kufumua ubongo wake

 

11 years ago

Michuzi

KAMISHNA WA POLISI JAMII NCHINI,MUSA ALI MUSA AFANYA ZIARA WILAYA YA MWANGA

Kamishna wa Polisi Jamii,Musa Ali Musa akiwa ameambatana na kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro SACP ,Robert Boaz wakitembelea maeneo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kukagua ujenzi wa kituo kipya cha polisi.Kamanada wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro ,SACP Robert Boaz akizungumza na maofisa wa Polisi wa kada mbalimbali katika wilaya ya Mwanga (hawako pichani)kabla ya kumkaribisha kamishna wa Polisi jamii nchini ,CP ,Musa Ali Musa.Kamishna wa Polisi jamii Nchini,Musa Ali Musa akizungumza na...

 

10 years ago

Habarileo

Walioua polisi wasakwa usiku na mchana

JESHI la polisi mkoani Pwani linaendelea na msako mkali kutafuta watu walioua askari wawili wa jeshi hilo na kuiba silaha katika kituo cha polisi Ikwiriri wilayani Rufiji.

 

5 years ago

Michuzi

CCM Njombe wamnasa Diwani wa kata ya MjiMwema

Na Amiri kilagalila,Njombe Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Njombe, kimefanikiwa kumnasa na kumkabidhi kadi ya uanachama aliyekuwa diwani wa kata ya Mjimwema mjini Njombe kupitia tiketi ya CHADEMA Abuu Mtamike huku kikikiri kuwa amewasumbua kwa muda mrefu kama alivyowasumbua aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema mkoa Fakii Lulandala. Katika kikao cha kumpokea diwani huyo viongozi mbalimbali wa Chama cha Mapinduzi na serikali wamesema bwana Mtamike sasa ameutambua ukweli juu ya kazi kubwa...

 

5 years ago

CCM Blog

ASKARI HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI WAMNASA MUHALIFU WA GARI

 Kijana aliyefahamika kwa Jina la Saidi Matanga (40) ambaye ni Mkazi wa Yombo Jijini Dar es Salaam, Dereva wa Gari lenye namba za Usajili T 514 DRJ amejikuta akiwa katika Ulizi mkali chini ya Askari wa Hospitali ya Taifa Muhimbili mara baada ya kutaka kujaribu kupora gari lenye namba za Usajili T 233 DSD mali ya Abdi Kijazi Mkazi wa Yombo Vituka. ambapo amefikishwa katika Kituo cha Polisi cha Selander Bridge kilichopo Upanga. (PICHA NA KHAMISI MUSSA)
 Gari lililotaka kuporwa na Saidi Matanga...

 

5 years ago

Michuzi

CCM wamnasa Kigogo aliyewahi kuwa mkuu wa Idara ya Sera na Itifaki CHADEMA

Na Amiri Kilagalila,Njombe

Aliyewahi kuwa katibu mkuu wa Chama cha NCCR Mageuzi,Mkuu wa Idara ya Sera na Itifaki CHADEMA,Mjumbe wa kamati ya Ukawa na kampeni meneja wa Mgombea wa Makam wa Rais Ukawa Bwana,Juju Martin Danda amepokelewa na Chama cha Mapinduzi CCM na kukabidhiwa kadi ya Chama hicho na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Njombe.

Akizungumza dhamira ya kujiunga na Chama hicho,Martin Danda amesema ni kutokana na uozo uliopo katika vyama vya upinzani.

“Nilifanya harakati...

 

10 years ago

GPL

POLISI WAMKAMATA WEMA SEPETU AKIDAIWA KUPIGA MUZIKI KWA SAUTI USIKU

Stori: Waandishi Wetu/Amani
KATIKA hali ya kushangaza, polisi walijikuta wakipata shughuli pevu kumkamata staa asiyeishiwa matukio Bongo, Wema Sepetu ambaye alidaiwa kupiga muziki kwa sauti kubwa usiku kucha pasipo kuwa na kibali, Amani linakupa mchapo. Timu iliyofika nyumbani kwa Wema Sepetu kumkamta kwa usumbufu aliosababisha kwa majirani. Tukio hilo lilitokea Jumanne iliyopita, nyumbani kwa mwigizaji huyo, Kijitonyama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani