Polisi wamnasa mtesaji wa mtoto Dar
Polisi wamefanikiwa kumnasa mwanamke anayedaiwa kumtesa kwa kipigo na kumng’ata mtoto Merina Mathayo (15), kumsababishia majeraha makubwa kichwani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NFpLPbeZNYBgyDVrUvcbQXvV0t6O-JTkk-qui*cODXrl8jL5w4L43kHMdlIdOb-DXUzqavq8tkusfAeW7lREG2isGh8YNGMu/mwanga.jpg?width=650)
POLISI WAMNASA MWANGA USIKU
Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
 Mtu mmoja asiyefahamika jina anayedaiwa kuwa ni mwanga amenaswa na polisi baada ya kudondoka katika eneo la Ilala Bungoni, jijini Dar akiwa kama alivyozaliwa. Tukio hilo lilitokea Jumamosi iliyopita kuamkia Jumapili saa kumi usiku wakati mtu huyo alipodaiwa kudondoka akiwa na ungo, hirizi na kusabababisha watu waliokuwa eneo hilo kutahamaki. Chanzo chetu kimesema...
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Polisi Dar atuhumiwa kuiba mtoto Mbeya
Polisi wa kike anayefanya kazi Kituo cha Polisi Ilala, Dar es Salaam amekamatwa jijini Mbeya kwa tuhuma za kuiba mtoto mchanga wa siku saba, Goodluck Salehe wilayani Kyela.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-EiOMZqBZYlY/VDN8Ku7DUCI/AAAAAAAAD44/PEJDfj2p1WI/s72-c/NJEMBA.1.jpg)
ALIYEMLAWITI MTOTO WA DARASA LA TATU AACHIWA HURU NA ASKARI POLISI JIJINI DAR.
![](http://4.bp.blogspot.com/-EiOMZqBZYlY/VDN8Ku7DUCI/AAAAAAAAD44/PEJDfj2p1WI/s1600/NJEMBA.1.jpg)
Moja ya matukio yaliyowahi kutokea ambapo katika picha hii ya maktaba, Mtoto wa umri wa miaka sita (jina limehifadhiwa) alinusurika kubakwa Manispaa ya Tabora hivi karibuni na Mwanaume mmoja eneo la Kaloleni.
Kesi ya mwanafunzi wa darasa la tatu (jina linahifadhiwa) katika Shule ya Msingi Ukombozi iliyofunguliwa katika Kituo cha Polisi cha Urafiki, jijini Dar es Salaam baada ya kudaiwa kulawitiwa imefutwa.
Kesi hiyo ambayo ilifunguliwa Septemba 15, mwaka huu kituoni hapo, ikimkabili mtuhumiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YFKpWo8xoJQ/VMOMrmLWPyI/AAAAAAAG_Uw/l-2FcASe20k/s72-c/kova18_232_300.jpg)
TAARIFA YA POLISI JIJINI DAR: MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA DAR WAKATI WA MAPAMBANO KATI YAO NA ASKARI WA JESHI LA POLISI
![](http://4.bp.blogspot.com/-YFKpWo8xoJQ/VMOMrmLWPyI/AAAAAAAG_Uw/l-2FcASe20k/s1600/kova18_232_300.jpg)
Tukio hilo lilitokea eneo la Kariakoo mtaa wa Mkunguni na Livingstone saa 3.00hrs usiku. Wakati wa tukio hilo umeme ulikuwa hakuna na mlalamikaji alikuwa anatumia taa za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AtvCqIAk4Pc/XufaY3tfSSI/AAAAAAALt8U/OAtryLERFL8r76vYfX6kU5sUSd2i_L5CACLcBGAsYHQ/s72-c/MTAMIKE.jpg)
CCM Njombe wamnasa Diwani wa kata ya MjiMwema
Na Amiri kilagalila,Njombe Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Njombe, kimefanikiwa kumnasa na kumkabidhi kadi ya uanachama aliyekuwa diwani wa kata ya Mjimwema mjini Njombe kupitia tiketi ya CHADEMA Abuu Mtamike huku kikikiri kuwa amewasumbua kwa muda mrefu kama alivyowasumbua aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema mkoa Fakii Lulandala. Katika kikao cha kumpokea diwani huyo viongozi mbalimbali wa Chama cha Mapinduzi na serikali wamesema bwana Mtamike sasa ameutambua ukweli juu ya kazi kubwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Ak3RpkgMWWM/XoeXtt2QuUI/AAAAAAAAnPc/gaPsBRLqNOgZxaq2KhM079klG4sucxR3QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
ASKARI HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI WAMNASA MUHALIFU WA GARI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ak3RpkgMWWM/XoeXtt2QuUI/AAAAAAAAnPc/gaPsBRLqNOgZxaq2KhM079klG4sucxR3QCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CkBXbJXbbT8/XoeXt3FUCbI/AAAAAAAAnPg/EQcCsuWH0oEkWdc8LlwdD9r-qc2kJFz0gCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
5 years ago
MichuziCCM wamnasa Kigogo aliyewahi kuwa mkuu wa Idara ya Sera na Itifaki CHADEMA
Na Amiri Kilagalila,Njombe
Aliyewahi kuwa katibu mkuu wa Chama cha NCCR Mageuzi,Mkuu wa Idara ya Sera na Itifaki CHADEMA,Mjumbe wa kamati ya Ukawa na kampeni meneja wa Mgombea wa Makam wa Rais Ukawa Bwana,Juju Martin Danda amepokelewa na Chama cha Mapinduzi CCM na kukabidhiwa kadi ya Chama hicho na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Njombe.
Akizungumza dhamira ya kujiunga na Chama hicho,Martin Danda amesema ni kutokana na uozo uliopo katika vyama vya upinzani.
“Nilifanya harakati...
Aliyewahi kuwa katibu mkuu wa Chama cha NCCR Mageuzi,Mkuu wa Idara ya Sera na Itifaki CHADEMA,Mjumbe wa kamati ya Ukawa na kampeni meneja wa Mgombea wa Makam wa Rais Ukawa Bwana,Juju Martin Danda amepokelewa na Chama cha Mapinduzi CCM na kukabidhiwa kadi ya Chama hicho na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Njombe.
Akizungumza dhamira ya kujiunga na Chama hicho,Martin Danda amesema ni kutokana na uozo uliopo katika vyama vya upinzani.
“Nilifanya harakati...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/sUP0ZTFjzlQ/default.jpg)
11 years ago
Habarileo25 Apr
Polisi kizimbani wizi wa mtoto
WATU wawili akiwemo askari Polisi wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Mbeya, wakituhumiwa kuiba mtoto. Mshitakiwa wa kwanza katika kesi hiyo konstebo wa Polisi WP 5367 Prisca Isaya (35) mkazi wa Ilala Dar es Salaam na mkazi wa Njisi wilayani Kyela mkoani hapa Salehe Mwangosi (28).
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania