Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi waonya wazazi wanaoweka picha za watoto Facebook

Polisi nchini Ujerumani wameonya wazazi dhidi ya kuweka picha za watoto wao hadharani katika mtandao wa kijamii wa Facebook.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Hali ya watoto ya baadae ni ya utata, wataalamu waonya

Shirika la afya Duniani (WHO) linasema kuwa ''mabadiliko makubwa'' yanahitajika kabla haijafikiwa kiwango cha kutoweza kutatuliwa.

 

11 years ago

Dewji Blog

Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la Usonji watakiwa kuwapenda watoto hao

Mama-Salma-Kikwete

Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete.

Na Anna Nkinda – Maelezo

 Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la usonji (Autism) nchini wametakiwa kuwapenda, kuwatunza  na kuwapa mahitaji yao kama watoto wengine kwani ni makusudi na mapenzi ya Mwenyezi Mungu kuwapa watoto hao.

Mwito huo umetolewa leo na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete wakati akiongea na walimu, walezi na wazazi wa watoto hao katika Shule ya Msingi...

 

5 years ago

Michuzi

WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tandahimba Hadija Mwinuka ametoa wito kwa wazazi wenye watoto wenye mahitaji maalum wawapeleke shule badala ya kukaa nao nyumbani na kuwafungia

Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya

Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume  wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...

 

9 years ago

BBCSwahili

Picha ya nguva iliyokataliwa na Facebook

Mwanasiasa mmoja nchini Denmark alishangaa baada ya kuzuiwa kupakia picha ya sanamu ya nguva mtandaoni kwenye Facebook.

 

10 years ago

BBCSwahili

Facebook kukutambua bila picha ya uso

Facebook inakusanya taarifa katika picha zako ili kubaini migao ya maoni kutoka kwa marafiki wako pale wanapoweka mtandaoni picha.

 

10 years ago

BBCSwahili

Facebook:Korti yawakomesha polisi India

Mahakama ya juu nchini India imefutilia mbali uwezo wa polisi kuwashtaki watu kutokana na maoni yao ya Facebook.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani