Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Facebook:Korti yawakomesha polisi India

Mahakama ya juu nchini India imefutilia mbali uwezo wa polisi kuwashtaki watu kutokana na maoni yao ya Facebook.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Polisi waonya wazazi wanaoweka picha za watoto Facebook

Polisi nchini Ujerumani wameonya wazazi dhidi ya kuweka picha za watoto wao hadharani katika mtandao wa kijamii wa Facebook.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wapigwa kalamu kwa ubakaji India

Waziri mkuu wa jimbo kubwa zaidi nchini India la Uttar Pradesh amewafuta kazi polisi wawili kwa kumteka na kumbaka msichana

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi mashakani kwa kucheza densi India

Mgogoro umeibuka nchini India baada ya polisi mwanamke nchini humo kucheza densi ukumbini na muigizaji maarufu Shah Rukh Khan

 

10 years ago

Bongo5

Facebook kuja na mtandao mpya ‘Facebook at Work’

Facebook inaanzisha mtandao wa kijamii kwaajili ya wafanyakazi kuwasiliana na kushirikiana kuhusiana na masuala ya kazi. Facebook at Work utaonekana vile vile kama Facebook ya kawaida, lakini watumiaji watakuwa na uwezo wa kutengenesha akaunti zao binafsi. Watumiaji watakuwa na uwezo wa kuchat na wenzao, kutengeneza mtandao wa kazi na kushare nyaraka mbalimbali. Mtandao huo ambao […]

 

5 years ago

Michuzi

POLISI AKATWA MKONO AKIWA DORIA YA KUDHIBITI CORONA INDIA


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
POLISI mmoja nchini India amekatwa mkono kwa upanga na maafisa wengine sita kujeruhiwa vibaya mara baada ya kushambuliwa wakati wa kutekeleza zuio la watu kutoka nje (Lockdown) ikiwa ni sehemu ya kuzuia kuenea kwa virusi vya Corona (Covid -19) huko Punjab kaskazini mapema leo asubuhi, Shirika la kimataifa la utangazaji la CNN limeripoti.
Imeelezwa kuwa sehemu ya mkono (kiwiko) wa kushoto wa Harjit Singh, mkurugenzi msaidizi wa Polisi wa Punjab ulijeruhiwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Zanzibar, India zatiliana saini mkataba wa uwakala wa utangazaji Utalii wa ZNZ nchini India

01

Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Zanzibar na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JIHIL ENTERPRISES ya India Nd. Jilesh H. Babla wakitiliana saini mkataba wa makubaliano ya kuanzishwa kwa ofisi ya uwakala wa Utangazaji Utalii wa Zanzibar Nchini India. (Picha na Makame Mshenga Maelezo-Zanzibar).

                                                 Na Abdulla Ali Maelezo-Zanzibar                                                         

Wizara ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Korti yaamuru maiti kufukuliwa

MGOGORO wa kugombea mwili wa marehemu, Stephen Assei (52) umechukua sura mpya baada ya askari polisi wenye silaha za moto wakiwemo askari kanzu kusimamia zoezi la ufukuaji wa kaburi na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zitto akimbilia Korti Kuu

WAKATI Kamati Kuu (CC) ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ikitarajia kukutana leo jijini Dar es Salaam, Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, amekimbilia Mahakama Kuu kuomba mkutano huo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Korti yatupilia mbali kesi ya 'fungate'

Mahakama nchini Afrika Kusini imetupilia mbali kesi dhidi ya Shrien Dewani , mfanyabiashara mwingereza anayetuhumiwa kuwakodi mamluki waliomuua mkewe Anni Dewani wakati wa fungate yao mjini Cape Town.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani