Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi watawanya wachimba migodi A.Kusini

Polisi nchini Afrika Kusini wametumia maguruneti na risasi za mipira kuwatawanya wachimba migodi waliokuwa wanadai haki yao

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wachimba migodi wakwama mgodini A.Kusini

Waokozi nchini Afrika Kusini wanafanya kila juhudi kuwaokoa wachimba migodi wengi wanaohofiwa kukwama ndani ya mgodi wa dhahabu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wachimba migodi wa Guinea

Mpiga picha Tommy Trenchard, anaonyesha wachimba migodi katika machimbo ya dhahabu katika mpaka wa Guinea na Mali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wachimba migodi SA wadai haki

Polisi nchini Afrika kusini wametumia risasi za mpira kutawanya takriban wafanyikazi elfu tatu wa migodi wanaogoma karibu na mji wa Rustenburg.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wachimba migodi wafariki CAR

Watu kadha wafa ndani ya mgodi wa dhababu Afrika ya Kati katika eneo la ghasia

 

11 years ago

BBCSwahili

Wachimba migodi haramu wasakwa A.K

Polisi wa Afrika Kusini wamesema watawasaka Wachimba madini wanaoendesha kazi zao kinyume na sheria, wakati miili zaidi ikigundulikana katika mgodi wa dhahabu uliokuwa hautumiki nje ya Johannesburg.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wachimba migodi wakumbuka Marikana

Wachimba migodi wa Marikana Afrika Kusini wakumbuka wenzao waliouwawa

 

9 years ago

BBCSwahili

Wachimba migodi wapatikana hai China

Wachimba migodi wanane waliokwama ardhini kwa siku tano huko China wamepatikana wakiwa hai.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mchimba migodi auwawa Afrika Kusini

Afisa wa chama cha wachimba migodi auwawa katika mgomo wa Afrika Kusini lakini aliyemuuwa bado hajulikani

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi Afrika Kusini Matatani

Maafisa 2 wa polisi nchini Afrika Kusini watiwa mbaroni baada ya picha za video kuonyeshwa wakimdhulumu mtu mmoja kutoka Nigeria

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani