Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachimba migodi wakwama mgodini A.Kusini

Waokozi nchini Afrika Kusini wanafanya kila juhudi kuwaokoa wachimba migodi wengi wanaohofiwa kukwama ndani ya mgodi wa dhahabu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Polisi watawanya wachimba migodi A.Kusini

Polisi nchini Afrika Kusini wametumia maguruneti na risasi za mipira kuwatawanya wachimba migodi waliokuwa wanadai haki yao

 

11 years ago

BBCSwahili

17 wakwama mgodini Afrika Kusini

Vikosi vya uokozi vimeingia katika mgodi wa dhahabu nchini Afrika Kusini kujaribu kuwaokoa wafanyakazi 17 waliokwama ndani ya mgodi huo

 

10 years ago

BBCSwahili

Wachimba migodi wa Guinea

Mpiga picha Tommy Trenchard, anaonyesha wachimba migodi katika machimbo ya dhahabu katika mpaka wa Guinea na Mali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wachimba migodi haramu wasakwa A.K

Polisi wa Afrika Kusini wamesema watawasaka Wachimba madini wanaoendesha kazi zao kinyume na sheria, wakati miili zaidi ikigundulikana katika mgodi wa dhahabu uliokuwa hautumiki nje ya Johannesburg.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wachimba migodi wakumbuka Marikana

Wachimba migodi wa Marikana Afrika Kusini wakumbuka wenzao waliouwawa

 

10 years ago

BBCSwahili

Wachimba migodi wafariki CAR

Watu kadha wafa ndani ya mgodi wa dhababu Afrika ya Kati katika eneo la ghasia

 

11 years ago

BBCSwahili

Wachimba migodi SA wadai haki

Polisi nchini Afrika kusini wametumia risasi za mpira kutawanya takriban wafanyikazi elfu tatu wa migodi wanaogoma karibu na mji wa Rustenburg.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wachimba migodi wapatikana hai China

Wachimba migodi wanane waliokwama ardhini kwa siku tano huko China wamepatikana wakiwa hai.

 

11 years ago

BBCSwahili

Miili 8 yapatikana mgodini A. Kusini

Waokozi nchini Afrika Kusini wanasema kuwa wamepata miili 8 ndani ya mgodi walimokuwa wamekwama wachimba migodi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani