Poll countdown drama as Slaa, Mrema now endorse Magufuli
Poll countdown drama as Slaa, Mrema now endorse Magufuli
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
WITH the countdown to the general election approaching the big day, there has come a dramatic turn of events. 4 Comments. The National Chairman of the opposition Tanzania Labour Party (TLP), Mr Augustino Mrema, and former Chadema Secretary ...
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen09 Aug
Ruling party set to endorse candidates for October poll
10 years ago
Daily News08 Jan
Drama in Dar as poll losers pose as winners
Daily News
IT was all drama as six persons attended the swearing- in ceremonies for the three posts of chairperson in the justended local government elections in the three streets of Ilala Municipality in Dar es Salaam City, forcing authorities to postpone installation of ...
5 years ago
The Citizen Daily11 Mar
Tanzania Labour Party to endorse Magufuli in 2020 elections
10 years ago
TheCitizen23 Sep
Magufuli in campaign drama
10 years ago
Dewji Blog09 Oct
Magufuli apigiwa kampeni na Mrema

Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa chama cha Tanzania Labour Party (TLP) Ndugu Augustino Lyatonga Mrema mara baada ya kukutana njia panda ya Himo.

Mwenyekiti wa chama cha Tanzania Labour Party (TLP) Ndugu Augustino Lyatonga Mrema akizungumza mbele ya mgombea wa urais kupitia CCM na kuwataka wananchi wa Vunjo kumpigia kura mgombea wa urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli kwani ni rafiki wa kweli kwa maendeleo ya...
10 years ago
Mtanzania09 Oct
Magufuli ampigia debe Mrema
*Asema akishindwa atamtafutia kazi nyingine
NA BAKARI KIMWANGA, VUNJO
MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema kama wananchi wa Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro hawataki kukichagua chama hicho katika nafasi ya ubunge, ni bora wamchague mgombea wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Augustine Mrema.
Dk. Magufuli, alitoa kauli hiyo jana, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika mji mdogo wa Himo.
Alisema pamoja na kutaka Mrema achaguliwe, anahitaji zaidi...
10 years ago
TheCitizen09 Oct
Magufuli ‘backs’ Mrema for Vunjo
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Mrema, Dk Magufuli wapigiana kampeni Vunjo
9 years ago
Habarileo05 Nov
Mrema amkumbusha Magufuli ahadi yake
ALIYEKUWA Mbunge wa Jimbo la Vunjo na Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Augustine Mrema amempongeza Rais Mteule, Dk John Magufuli kwa kushinda urais na kumuomba katika uongozi wake amfikirie.