Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PRESS RELEASE: FGM GRADUATION IN MARA “Mara youth: vessels and voices of change in ending FGM”

Masanga, 05 January 2015 – As efforts to end female genital mutilation (FGM) are intensifying in the country, 836 young people– 634 girls and 202 boys from Tarime and Loliondo districts, have gone through alternative rites of passage training. The young people were awarded certificates of merit during a graduation ceremony organized by Daughters of Charity of St. Vincent De Paul on Monday 5th January 2015 and officiated by Minister of Labour and Employment, Hon. Gaudensia Kabaka.

The...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Daily News

Mara to launch campaign against child marriage, FGM


Daily News
Mara to launch campaign against child marriage, FGM
Daily News
Mara region will this week witness the launch of what is tipped to be a historic campaign aimed at eliminating child marriages and female genital mutilation(FGM) in the region. Minister for Community Development, Gender and Children, Ms Sophia Simba, ...

 

9 years ago

TheCitizen

2,000 Mara girls forced to flee homes to escape FGM

A total of 2,118 girls have fled their homes since November 15 this year to escape female genital mutilation (FGM) in some areas of Mara Region.

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Tanzania: 2000 Mara Girls Forced to Flee Homes to Escape FGM


Tanzania: 2000 Mara Girls Forced to Flee Homes to Escape FGM
AllAfrica.com
Tarime — A total of 2,118 girls have fled their homes since November 15 this year to escape female genital mutilation (FGM) in some areas of Mara Region. The girls have been sheltered at Masanga Rescue Centre, which is managed by the Catholic Church ...

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS AADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA MARA (MARA DAY) BUTIAMA MKOANI MARA

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasha Mshumaa katika Kaburi ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kama ishara ya Kumbukumbu wakati alipofika katika Jumba la makumbusho Butiama mkoani Mara leo Sept 15, 2015 baadda ya kuadhimisha Kilele cha Siku ya Mara (Mara Day) iliyofanyika Butiama.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiweka Shada la Maua katika Kaburi ya Hayati Baba wa Taifa...

 

10 years ago

Daily News

TSN scribe to head Mara press club


TSN scribe to head Mara press club
Daily News
MR Jacob Mugini, the 'Daily News on Saturday' journalist based in Mara Region, has been elected new Chairman of Mara Regional Press Club (MRPC). Mr Mugini was voted to the post during the MPRC's general meeting held in Musoma on Thursday.

 

10 years ago

Vijimambo

Mabadiliko ya mara kwa mara ya Mitaala shule za Msingi inawachanganya wanafunzi.


Fikra Pevu
BAADHI ya Walimu wa Shule za Msingi katika jiji la Dar es Salaam wamelalamikia mabadiliko ya mara kwa mara ya mitaala kwa shule za msingi pamoja na idadi kubwa ya masomo kwa wanafunzi wa madarasa yote na kwamba yamekuwa yakiwachanganya wanafunzi na kuwafanya washindwe kumudu masomo yao.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti na FikraPevu jijini humo Novemba 17, 2014 walimu hao wamesema mabadiliko ya mara kwa mara kwa mitaala yanayofanywa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi bila...

 

9 years ago

Mwananchi

Kinachosababisha rangi ya mkojo, kwenda haja ndogo mara kwa mara

Miongoni mwa maswali ya wasomaji wetu ni sababu za mtu kukojoa mkojo wenye rangi ya njano, kwenda haja ndogo mara kwa mara na hisia za maumivu wakati ukiwa na mkojo.

 

9 years ago

StarTV

Waendesha Bajaji Dodoma wagoma madai ya faini za mara kwa mara

 

Wafanyabiashara wa pikipiki za magurudumu matatu maarufu kama  bajaji wa manispaa ya Dodoma wamesitisha kutoa huduma ya usafiri kwa zaidi ya saa nne wakipinga kutozwa faini za mara kwa mara na Mamlaka ya udhibiti wa usafiri wa nchi kavu na majini SUMATRA kwa madai kuwa wamekiuka agizo la mamlaka hiyo kwa kuegesha katika maeneo yasiyo rasmi.

Mgomo huo umekuja baada ya mamlaka hiyo kuzikamata Bajaji 12 za wafanyabiashara hao kwa kuegesha eneo lisilo husika wakitakiwa kulipa faini ya shilingi...

 

5 years ago

Michuzi

Uhamiaji Mkoa wa Mara yapokea Kontena kutoka Barrick North Mara


Katika kuendelez can a jitihada za kuunga mkono serikali katika ulinzi na usalama hapa nchini Mgodi wa Barrick North Mara Mkoani Mara umetoa kontena moja (tupu) kwa Idara ya Uhamiaji  wilayani Butiama Mkoani Mara litakalotumika kama Ofisi ndogo katika Kizuizi cha Kirumi ikiwa na lengo la kurahisisha utendaji kazi katika kizuizi hicho.

Akiongea wakati akipokea kontena hilo Afisa uhamiaji Mkoa wa Mara Naibu Kamishna wa Uhamiaji DCI Albert Rwelamila aliwapongeza wakurugenzi wa Barrick North Mara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani