Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PROFILE: Anna Mghwira

Anna Mghwira was born on January 23, 1959 at Mungumaji Ward in Singida. Her father was a councillor through Tanu.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Anna Mghwira mwanamke pekee aliyejitosa urais

ACT-Wazalendo; Taifa kwanza leo na kesho au mabadiliko na uwazi; chukua hatua, ni salamu ilinayotumiwa na mgombea urais wa chama hicho kipya kwenye anga za siasa, Anna Mghwira. 

 

9 years ago

Mwananchi

Anna Mghwira mgombea urais ACT-Wazalendo

Hatimaye Chama cha ACT – Wazalendo kimempitisha mwenyekiti wake, Anna Mghwira (56) kuwania urais baada ya mshauri wake, Profesa Kitila Mkumbo aliyekuwa amechukuliwa fomu kukataa kubeba jukumu hilo.

 

9 years ago

IPPmedia

ACT names Anna Mghwira its flag bearer


ACT names Anna Mghwira its flag bearer
IPPmedia
Newly formed Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo) yesterday named its Secretary General Anna Mghwira its presidential candidate and her running mate will be Hamad Musa Yusuph. The announcement makes her the single female ...

 

5 years ago

Bongo5

Anna Mghwira -Tanzania haina uchaguzi wa demokrasia

Aliyekuwa mgombea wa kiti cha Urais kupitia chama cha siasa ACT – Wazalendo, Anna Mghwira amedai Tanzania bado haina uchaguzi wa demokrasia huku akiweka wazi mpango wake wa kugombea ubunge katika uchaguzi ujao wa mwaka 2020 jimbo la Singida.

Mwanamama huyo ambaye alionyesha ujasiri mkubwa katika mbio za kuwania kiti cha Urais katika uchaguzi wa mwaka 2015, amesema hayo Jumatatu hii wakati akizungumza kupitia kipindi Cha Dakika 45 cha ITV.

“Siwazi siioni Tanzania ya uchaguzi ya mwaka 2020....

 

9 years ago

Mwananchi

Anna Mghwira amdai Magufuli Katiba mpya

Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Anna Mghwira amemtaka Rais Mteule Dk John Magufuli kutekeleza utashi wa wananchi kwa kuwapatia Katiba mpya.

 

10 years ago

Mwananchi

Anna Mghwira: Najivunia nafasi niliyonayo ACT- Wazalendo

Ikiwa ni miaka 23 sasa tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa nchini, mwanamke mwingine amejitokeza kuwa mwenyekiti wa chama cha siasa.

 

9 years ago

Mwananchi

Anna Mghwira, mwanamke pekee aliyejitosa kuwania urais

Anna Mghwira ni Mwenyekiti wa kitaifa wa chama kipya cha siasa, ACT – Wazalendo.Alizaliwa Januari 23, 1959 katika hospitali ya Mkoa wa Singida, Kata ya Mungumaji, Kitongoji cha Irao Manispaa ya Singida Mjini.

 

9 years ago

Daily News | The National Newspaper (Press Release) (Blog)

Anna Mghwira: Tanzania's sole female presidential candidate


Anna Mghwira: Tanzania's sole female presidential candidate
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
"True leaders are born, not made," is a statement that rightly applies to none other than Anna Elisha Mghwira, who is the only female presidential candidate during the forthcoming general election. As if that is not enough, she is also the chairperson ...

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAGUZI UPINZANI 2015: Anna Mghwira, Mwenyekiti ACT- Wazalendo

>Anna Mghwira ni Mwenyekiti wa kitaifa wa chama kipya cha siasa, ACT – Wazalendo. Alizaliwa Januari 23, 1959 katika hospitali ya Mkoa wa Singida, Kata ya Mungumaji, Kitongoji cha Irao Manispaa ya Singida Mjini. (Januari mwaka huu alitimiza miaka 56).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani