Anna Mghwira, mwanamke pekee aliyejitosa kuwania urais
Anna Mghwira ni Mwenyekiti wa kitaifa wa chama kipya cha siasa, ACT – Wazalendo.Alizaliwa Januari 23, 1959 katika hospitali ya Mkoa wa Singida, Kata ya Mungumaji, Kitongoji cha Irao Manispaa ya Singida Mjini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Anna Mghwira mwanamke pekee aliyejitosa urais
ACT-Wazalendo; Taifa kwanza leo na kesho au mabadiliko na uwazi; chukua hatua, ni salamu ilinayotumiwa na mgombea urais wa chama hicho kipya kwenye anga za siasa, Anna Mghwira.Â
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MTsNnmnVYps/Vi0x9c5zeqI/AAAAAAAICyY/wPku1XSy2Pk/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
Mgombea Urais Mwanamke pekee kupitia tiketi ya ACT Wazalendo Mhe. Anna MGhwira apiga kura Singida
![](http://4.bp.blogspot.com/-MTsNnmnVYps/Vi0x9c5zeqI/AAAAAAAICyY/wPku1XSy2Pk/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ANrd8nMjfwA/Vi0x9oCluMI/AAAAAAAICyc/tqlnuLhnAQo/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
9 years ago
Mwananchi21 Aug
Anna Mghwira mgombea urais ACT-Wazalendo
Hatimaye Chama cha ACT – Wazalendo kimempitisha mwenyekiti wake, Anna Mghwira (56) kuwania urais baada ya mshauri wake, Profesa Kitila Mkumbo aliyekuwa amechukuliwa fomu kukataa kubeba jukumu hilo.
9 years ago
Vijimambo26 Sep
MJUE MGOMBEA URAIS ANNA MGHWIRA KUPITIA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO
![](https://scontent.cdninstagram.com/hphotos-xaf1/t51.2885-15/s320x320/e15/11350896_934831816583429_401382035_n.jpg)
Mgwira alianza safari ya kielimu katika Shule ya...
9 years ago
BBCSwahili19 Oct
Anna Mghirwa mgombea urais mwanamke TZ
Anna Mghirwa ambaye mgombea urais pekee mwanamke katika uchaguzi wa mwaka huu nchini Tanzania.
9 years ago
TheCitizen24 Oct
PROFILE: Anna Mghwira
Anna Mghwira was born on January 23, 1959 at Mungumaji Ward in Singida. Her father was a councillor through Tanu.
10 years ago
Mwananchi24 Oct
ARAFA: Mwanamke aliyejitosa kutokomeza selimundu
Ujasiri alionao unatosha kabisa kumuelewa ni mtu wa aina gani. Wakati wote anaonekana mwenye furaha na matumaini. Unapokutana naye kwa mara ya kwanza, si rahisi kudhani kuwa ana tatizo la kiafya linaloweza hata kumwweka kwenye sononeko la maisha.
9 years ago
Mwananchi31 Oct
Anna Mghwira amdai Magufuli Katiba mpya
Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Anna Mghwira amemtaka Rais Mteule Dk John Magufuli kutekeleza utashi wa wananchi kwa kuwapatia Katiba mpya.
9 years ago
IPPmedia21 Aug
ACT names Anna Mghwira its flag bearer
IPPmedia
Newly formed Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo) yesterday named its Secretary General Anna Mghwira its presidential candidate and her running mate will be Hamad Musa Yusuph. The announcement makes her the single female ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania