Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ARAFA: Mwanamke aliyejitosa kutokomeza selimundu

Ujasiri alionao unatosha kabisa kumuelewa ni mtu wa aina gani. Wakati wote anaonekana mwenye furaha na matumaini. Unapokutana naye kwa mara ya kwanza, si rahisi kudhani kuwa ana tatizo la kiafya linaloweza hata kumwweka kwenye sononeko la maisha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Anna Mghwira mwanamke pekee aliyejitosa urais

ACT-Wazalendo; Taifa kwanza leo na kesho au mabadiliko na uwazi; chukua hatua, ni salamu ilinayotumiwa na mgombea urais wa chama hicho kipya kwenye anga za siasa, Anna Mghwira. 

 

9 years ago

Mwananchi

Anna Mghwira, mwanamke pekee aliyejitosa kuwania urais

Anna Mghwira ni Mwenyekiti wa kitaifa wa chama kipya cha siasa, ACT – Wazalendo.Alizaliwa Januari 23, 1959 katika hospitali ya Mkoa wa Singida, Kata ya Mungumaji, Kitongoji cha Irao Manispaa ya Singida Mjini.

 

11 years ago

Habarileo

Watakiwa kujitokeza kupima selimundu

WATANZANIA wametakiwa kujitokeza kupima damu ili kufahamu kama wana ugonjwa ama vinasaba vya ugonjwa wa selimundu (sikoseli) ili waweze kupewa matibabu mapema.

 

10 years ago

Habarileo

Muongozo wa tiba selimundu watolewa

HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Afya na Tiba cha Muhimbili(MUHAS) wamezindua mwongozo wa matibabu kwa ajili ya utoaji wa huduma za ugonjwa wa selimundu utakaotumika katika hospitali zote nchini.

 

9 years ago

Habarileo

Rashid mgeni rasmi bonanza la selimundu

WAZIRI wa Afya, Dk Seif Rashid anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa bonanza maalumu kwa ajili ya kuhamasisha watanzania kwa upimaji wa selimundu. Katika bonanza hilo wasanii Banana Zoro, Mwana Fa, Yvonne Cherry (Monalisa), Wema Sepetu na mwanamitindo maarufu aliyewahi kuwa Miss Tanzania mwaka 1998, Basila Mwanukuzi watapamba.

 

10 years ago

Mwananchi

Grace: msomi aliyejitosa kuwapa wahitimu maarifa, mbinu za ajira

Ongezeko la vyuo vikuu nchini, limesababisha pia kukua kwa idadi ya Watanzania hasa vijana wanaopata elimu ya juu.

 

11 years ago

GPL

TUZO YA MWANAMKE BORA, HESHIMA YA KWELI YA MWANAMKE, PINDA NI MSOMI WA UWAZI

Mgeni rasmi, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akihutubia kabla ya kukabidhi tuzo. Na Luqman Maloto Mwanamke wa…

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE ALIYEMKWAPULIA 20,000/= MWANAMKE MWENZAKE ‘ATAITIWA’ DAR

Umati wa watu ukiwa unashangaa kitendo cha mwanadada (kushoto mwenye kitambaa cha zambarau kichwani) aliyemkwapulia 20,000 mwenzake.  Wengine wakitaka apigwe kama mwizi, wengine wakiomba asamehewe.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani