Anna Mghwira mwanamke pekee aliyejitosa urais
ACT-Wazalendo; Taifa kwanza leo na kesho au mabadiliko na uwazi; chukua hatua, ni salamu ilinayotumiwa na mgombea urais wa chama hicho kipya kwenye anga za siasa, Anna Mghwira.Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Anna Mghwira, mwanamke pekee aliyejitosa kuwania urais
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MTsNnmnVYps/Vi0x9c5zeqI/AAAAAAAICyY/wPku1XSy2Pk/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
Mgombea Urais Mwanamke pekee kupitia tiketi ya ACT Wazalendo Mhe. Anna MGhwira apiga kura Singida
![](http://4.bp.blogspot.com/-MTsNnmnVYps/Vi0x9c5zeqI/AAAAAAAICyY/wPku1XSy2Pk/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ANrd8nMjfwA/Vi0x9oCluMI/AAAAAAAICyc/tqlnuLhnAQo/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
9 years ago
Mwananchi21 Aug
Anna Mghwira mgombea urais ACT-Wazalendo
9 years ago
Vijimambo26 Sep
MJUE MGOMBEA URAIS ANNA MGHWIRA KUPITIA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO
![](https://scontent.cdninstagram.com/hphotos-xaf1/t51.2885-15/s320x320/e15/11350896_934831816583429_401382035_n.jpg)
Mgwira alianza safari ya kielimu katika Shule ya...
9 years ago
BBCSwahili19 Oct
Anna Mghirwa mgombea urais mwanamke TZ
9 years ago
TheCitizen24 Oct
PROFILE: Anna Mghwira
10 years ago
Mwananchi24 Oct
ARAFA: Mwanamke aliyejitosa kutokomeza selimundu
9 years ago
IPPmedia21 Aug
ACT names Anna Mghwira its flag bearer
IPPmedia
Newly formed Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo) yesterday named its Secretary General Anna Mghwira its presidential candidate and her running mate will be Hamad Musa Yusuph. The announcement makes her the single female ...
5 years ago
Bongo514 Feb
Anna Mghwira -Tanzania haina uchaguzi wa demokrasia
Aliyekuwa mgombea wa kiti cha Urais kupitia chama cha siasa ACT – Wazalendo, Anna Mghwira amedai Tanzania bado haina uchaguzi wa demokrasia huku akiweka wazi mpango wake wa kugombea ubunge katika uchaguzi ujao wa mwaka 2020 jimbo la Singida.
Mwanamama huyo ambaye alionyesha ujasiri mkubwa katika mbio za kuwania kiti cha Urais katika uchaguzi wa mwaka 2015, amesema hayo Jumatatu hii wakati akizungumza kupitia kipindi Cha Dakika 45 cha ITV.
“Siwazi siioni Tanzania ya uchaguzi ya mwaka 2020....