Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Programu ya mashoga yafadhiliwa Uchina

Programu ya kuwaunganisha mashoga nchini Uchina imejipatia ufadhili wa dola millioni 30 kutoka kwa wawekezaji wa kampuni ya DCM.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Shule ya Msingi Neville iliyopo Mbokomu, Moshi Vijijini yafadhiliwa madarasa mapya

 Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Neville iliyopo Mbokomu, Moshi Vijijini, wakipozi mbele ya moja ya madarasa mapya. Mgeni rasmi katika hafla hiyo alikuwa Ofisa Elimu wa Wilaya ya Moshi, Simon Sheshe na ilihudhuriwa na wabunge, Waziri Kivuli wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Susan Lyimo na Mbunge Lucy Owenya Zawadi za khanga kwa Wafadhili kutoka Ufaransa wakiwa na  Bibi Sarah Temba-Marchand na mumewe Bw. Gabriel Marchand ambao kwa pamoja wanaongoza Chama cha Elimu kwa Kilimanjaro huko...

 

11 years ago

GPL

RC AAGIZA MASHOGA...

Na Francis Godwin, Iringa
SERIKALI ya Mkoa wa Iringa imeagiza  kukamatwa kwa wanawake wanaouza miili (ukahaba) na wanaume mashoga kama inavyofanywa na Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM,’ ya Global Publishers. Agizo hilo limetolewa hivi karibuni katika kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Iringa kilichofanyika katika Ukumbi wa Siasa ni Kilimo chini ya mkuu wa mkoa huo, Christine Ishengoma. Hayo yamekuja baada ya...

 

11 years ago

GPL

AUNT AKERWA NA MASHOGA

Stori: Emelder Tarimo KERO! Mtendea haki sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa anakerwa sana na wanaume wenye hulka za kike (mashoga). Staa wa sinema za Kibongo Aunt Ezekiel. Akichonga na paparazi wetu, Aunt alisema mashoga wanamstaajabisha kwa jinsi wanavyojiweka na kujishaua katika jamii kitu ambacho anaamini ni tabia mbaya ambayo mtu anaweza kuiacha mara moja.
“Mashoga hunistaajabisha sana kwa kweli, kila...

 

11 years ago

BBCSwahili

Gazeti lawataja 'mashoga' Uganda

Gazeti la udaku nchini Uganda la Red Pepper limechapisha orodha ya majina 200 wanayodai ni ya wale wanaojihusisha na mapenzi ya watu wa jinsia moja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Unyanyasaji wa mashoga washtumiwa Uganda

Wakereketwa wa haki za binadamu nchini Uganda wanawashutumu polisi wa nchi hiyo, kwa kuwanyanyasa na kuwapiga mashoga

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashoga wapinga Urais wa Kutesa UN

Wakereketwa wa kutetea haki za watu wa jinsia moja nchini Uganda wamepinga kuchaguliwa kwa Waziri Sam Kutesa kama Rais katika UN.

 

10 years ago

Mtanzania

Maaskofu Katoliki wawagomea mashoga

VaticanVATICAN CITY, VATICAN

MAASKOFU wa Kanisa la Katoliki juzi waligoma kupitisha mabadiliko makubwa ya kihistoria kuhusu msimamo wao mkali dhidi ya masuala ya ushoga, utoaji mimba na wanandoa waliotalikiana.

Uamuzi huo,ulifichua uwapo wa pengo kubwa ndani ya kanisa hilo mwishoni wa mkutano huo wa wiki mbili.

Maaskofu wa kanisa hilo walikuwa wamekutana kujadili jinsi mafunzo ya kanisa hilo yanavyoweza kufanyiwa mageuzi ili kuambatana na maisha ya kisasa.

Hiyo ni pamoja na kukaribisha ‘zawadi na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakatoliki wakataa kuwatambua mashoga.

Makundi ya kikatoliki yanayopigania haki za wapenzi wa jinsia moja yamekasirishwa na hatua ya kanisa hilo ya kuwakataa mashoga.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mswada wa kuwabagua mashoga wakatiliwa.

Gavana wa jimbo la Arizona nchini Marekani aukataa mswada ambao ungesababisha kubaguliwa kwa watu wa jinsia moja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani